Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ndio uje wako juu.Ila Marekani nao, unaruhusu vipi rais kwenda huko...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uje wako juu.Ila Marekani nao, unaruhusu vipi rais kwenda huko...
Yuko live mkuu ngoja numuite mzee wa mbutu bloku a yerikoNipo salama kabisa Kaka,kupotea ni majukumu wakati mwingine yanatufanya tuwe tunachungulia tu na ku comment hapa na pale mara chache.
Najiandaa kumsikiliza Putin nimeona Sky News watafanya coverage ya hiyo hotuba.Wacha tumsikilize anakuja na yapi mapya leo.
Asante Mkuu,ngoja nijongee kwenye RuningaYuko live mkuu ngoja numuite mzee wa mbutu bloku a yeriko
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwanini Marekani anamuwekea vikwazo Urusi? Yeye kama nani?
Kwanini Urusi asimuwekee vikwazo Marekani?
Kama nchi ikikuwekea vikwazo na vikatiki basi hauna uwezo wa kumpiga huo ndiyo ukweli.
Kuna nchi ilishawahi kumuwekea vikwazo Marekani?
Kama Russia ameshindwa kuichukua Ukraine mpk sasa hivi, hana ubavu wa kupigana na Marekani. Hata China analijua hilo ndiyo maana wanawekewa vikwazo
Biden yeye mwenyewe ni flyzone ndiyo maana hakuna hata gunzi limerushwa toka urusi😁😁Aende akaishi anangojea nn
Ila wala asiishi aweke tu No Fly Zone
Umewaza kama mmUnaweza Kuta hata marekani na Russia lao Moja, hao wazungu ni washenzi sana sisi bara la Giza hawatuwezi kujua mipango yao
Hujui kingereza au unajitoa ufahamu brother?Ndiyo mmeamua kujifichia hapo,sasa alivyotaarifiwa si ndiyo sasa angeonyesha makeke yake.Kumbe kataarifiwa na akaufyata kimya kama hayupo vile.
The term "Deconfliction" maana yake U.S.A aliiomba Russia kupunguza mashambulizi eneo la tukio ili rais wao aweze kuwa salama.Ndiyo mmeamua kujifichia hapo,sasa alivyotaarifiwa si ndiyo sasa angeonyesha makeke yake.Kumbe kataarifiwa na akaufyata kimya kama hayupo vile.
Sijui kingereza brother naomba msaada wa kunitafsiria tafadhari.Hujui kingereza au unajitoa ufahamu brother?
Oh ahsante sana kwa kuniongezea maarifa,elimu haina mwisho.The term "Deconfliction" maana yake U.S.A aliiomba Russia kupunguza mashambulizi eneo la tukio ili rais wao aweze kuwa salama.
Maswala kama haya ni nyeti na usiri ni kitu cha muhimu, wangeweza kutangaza hiyo safari ingekua na tension kubwa sana lakini wamejiandaa kiusalama na kujiridhisha kwamba wanaweza kuingia Ukraine bila dhara lolote, ndio maana imekua ghafla kwetu sisi lakini kijasusi ni mpango wa muda mrefu.Biden kaingia kwa siri kubwa sana huko Ukraine hata maafisa wa white house wengi wao walikuwa hawajui kama kuna safari ya rais Kenda Ukraine...US nao wamekuwa waoga sasahivi ..wamedhihilisha wazi kuwa wanamuogopa Urusi
Uko sahihi.Unaweza Kuta hata marekani na Russia lao Moja, hao wazungu ni washenzi sana sisi bara la Giza hawatuwezi kujua mipango yao
Wewe unaitafsiri tofauti. Hivi kama wewe unarushiana mawe na jirani yako halafu mbabe mmoja awape taarifa kwamba niko napita njia hiyo kwahiyo acheni kurusha mawe yenu nipite kwanza halafu nikitoka ndio muendelee kurushiana mawe yenu. Hivi hapo Nani kaufyata? Aliyesitisha kurusha mawe ili mbabe apite au aliyetoa taarifa kwamba napita njia hiyo kwahiyo acha kurusha mawe?.Ulitaka RUSSIA afanye nini ili kuionesha DUNIA kua hajaribiwi
Kwanini US asingeenda pale bila taarifa kwa MOSCOW ili kuionesha DUNIA kua yeye hatishiki na wala hatishwiii !!!??
Acha uongo wewe. Umesahau mlivyovurumisha makombora kule Kiev wakati katibu mkuu WA UN Antonio Guteresh yupo Kiev mpaka kulazimika kuingia kwenye SHELTERS? Rusheni makombora Sasa ili na Biden akimbilie kwenye SHELTERS tuone. Yaani adui yako amtembelee mnayepigana naye vita na wewe utii ziara yake?Aliheshimu sheria za UN zakutoshambulia wanadiplomasia
Kama alivyowaheshimu kina stoltenberg na wengineo woote
Kwanini WH ilitoa taarifa MOSCOW wakat anaenda UKRAINE
Yaani uende kenya halaf utoe taarifa Uganda
Us kaonesha udhaifu haswaaa
Watch: Biden promises to support Ukraine for 'as long as it takes' during Kyiv visit
👇🏿👇🏿
🔴
Daah jamaa anazidi kuonesha vita haviishi leo wala kesho.Watch: Biden promises to support Ukraine for 'as long as it takes' during Kyiv visit
[emoji1541][emoji1541]
[emoji837]
Pia unaweza kusikiliza hapa kupitia DW Swahili alichoongea Biden alipokuwa Ukraine
[emoji1541][emoji1541]
[emoji837]
Na PUT IN kaonesha SMO itaisha lini !!!??Daah jamaa anazidi kuonesha vita haviishi leo wala kesho.