Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

Kaka nimeishaipata,sasa nikuulize ni kipi kimemfanya Putin akaufyata na kupisha mwenye nguvu kuvinjari mitaa ya Kyiv bila wasi wasi kabisa? Huoni ulikuwa wasaa mzuri kabisa wa Putin kuionyesha US kuwa yeye hajaribiwi?
Ficha ujinga. Putini sio mjinga. Biden amekwenfa kama marais wengine waliotembelea kyiv wakati wa vita, wamekwenda marais wa UK, France, Germany, Poland, rais wa umoja wa ulaya, kiongozi wa NATO nk nk. Hapa hakuna deal na vita ina sheria zake
 
Mtaelewa tu..
Screenshot_20230221-103054_Chrome.jpg
Screenshot_20230221-103123_Chrome.jpg
 
HUjui kitu Putin ameshasafiri mara kibao tena kwa gari akiendesha yeye mwenyewe akapita kwenye daraja lilokuwa limevunjwa. Biden yeye katembea usiku kucha kwa train na uzee huo atakuwa amepata shida sana kwa safari hiyo.
Je ulisikia chochote kutoka kwa Putin Biden jana alipokuwa Kyiv? Putin hajaondoka Russia toka vita ianze anajifungia tu na kubadilisha walinzi wake kila leo, maamae hofu imemtanda
 
Kaka nimeishaipata,sasa nikuulize ni kipi kimemfanya Putin akaufyata na kupisha mwenye nguvu kuvinjari mitaa ya Kyiv bila wasi wasi kabisa? Huoni ulikuwa wasaa mzuri kabisa wa Putin kuionyesha US kuwa yeye hajaribiwi?
Wtu mnajadili masuala muhimu yaliyobeba mustakabali wa dunia, kama vile mnajadili habari za simba na Yanga!

Unadhani Putin akiwa anafanya ziara zake Marekani huwa hawajui? Nini huwa kinawafanya wasijipenyeze na kumshambulia Putin?

Hii dunia iko very complex kuliko ushabiki wenu. Warusi wanajua, kumgusa rais wa marekani ni kuanzisha vita ya dunia. Upande wa pili, Marekani pia wanajua kumgusa Putin ni kutangaza vita ya nyuklia. Wote wawili hawako tayari kufanya hivyo!

Ndio maana wanataarifiana.

NB: viongozi wengi tu wa ulaya wameshuka hapo Kiev na kuondoka salama. Wakubwa wanajua wanachokifanya!
 
Wtu mnajadili masuala muhimu yaliyobeba mustakabali wa dunia, kama vile mnajadili habari za simba na Yanga!

Unadhani Putin akiwa anafanya ziara zake Marekani huwa hawajui? Nini huwa kinawafanya wasijipenyeze na kumshambulia Putin?

Hii dunia iko very complex kuliko ushabiki wenu. Warusi wanajua, kumgusa rais wa marekani ni kuanzisha vita ya dunia. Upande wa pili, Marekani pia wanajua kumgusa Putin ni kutangaza vita ya nyuklia. Wote wawili hawako tayari kufanya hivyo!

Ndio maana wanataarifiana.

NB: viongozi wengi tu wa ulaya wameshuka hapo Kiev na kuondoka salama. Wakubwa wanajua wanachokifanya!
Walau wewe umekuwa objective zaidi katika hii comment kuliko hao wengine wanaotuletea blah blah za 'Bideni kuomba poo'
 
Kaka nimeishaipata,sasa nikuulize ni kipi kimemfanya Putin akaufyata na kupisha mwenye nguvu kuvinjari mitaa ya Kyiv bila wasi wasi kabisa? Huoni ulikuwa wasaa mzuri kabisa wa Putin kuionyesha US kuwa yeye hajaribiwi?
Ulitaka RUSSIA afanye nini ili kuionesha DUNIA kua hajaribiwi

Kwanini US asingeenda pale bila taarifa kwa MOSCOW ili kuionesha DUNIA kua yeye hatishiki na wala hatishwiii !!!??
 
Alivyotaarifiwa kafanya nini sasa zaidi ya kutii maagizo aliyopewa kutoka WH
Aliheshimu sheria za UN zakutoshambulia wanadiplomasia

Kama alivyowaheshimu kina stoltenberg na wengineo woote

Kwanini WH ilitoa taarifa MOSCOW wakat anaenda UKRAINE

Yaani uende kenya halaf utoe taarifa Uganda

Us kaonesha udhaifu haswaaa
 
Ulitaka RUSSIA afanye nini ili kuionesha DUNIA kua hajaribiwi

Kwanini US asingeenda pale bila taarifa kwa MOSCOW ili kuionesha DUNIA kua yeye hatishiki na wala hatishwiii !!!??
Nimemuelewa tu mtu mmoja hapa amecomment very objective.Nyinyi wengine tuendelee kuongea kama tunabishana mambo ya Simba na Yanga
 
Je ulisikia chochote kutoka kwa Putin Biden jana alipokuwa Kyiv? Putin hajaondoka Russia toka vita ianze anajifungia tu na kubadilisha walinzi wake kila leo, maamae hofu imemtanda
PUT IN yupi [emoji16][emoji23][emoji16]
 
Wtu mnajadili masuala muhimu yaliyobeba mustakabali wa dunia, kama vile mnajadili habari za simba na Yanga!

Unadhani Putin akiwa anafanya ziara zake Marekani huwa hawajui? Nini huwa kinawafanya wasijipenyeze na kumshambulia Putin?

Hii dunia iko very complex kuliko ushabiki wenu. Warusi wanajua, kumgusa rais wa marekani ni kuanzisha vita ya dunia. Upande wa pili, Marekani pia wanajua kumgusa Putin ni kutangaza vita ya nyuklia. Wote wawili hawako tayari kufanya hivyo!

Ndio maana wanataarifiana.

NB: viongozi wengi tu wa ulaya wameshuka hapo Kiev na kuondoka salama. Wakubwa wanajua wanachokifanya!
Usichokijua ni kwamba US ina-control Urusi.
Kwa maana nyingine ni kwamba Biden akiamua aishi Ukraine, vita itakuwa imeisha kwasababu vijana wa putin hawatafanya shambulio lolote ndani ya UKRAINE kwasababu ya uwepo wa Biden ila mwambie yule babu asogeze pua lake kwenye ukingo Odesa oine mizinga itakavyomiminika ndani ya ilo eneo.
 
Nimemuelewa tu mtu mmoja hapa amecomment very objective.Nyinyi wengine tuendelee kuongea kama tunabishana mambo ya Simba na Yanga
Shida mnabishana na ukweli

Muliamini kwamba jamaa kakurupuka tu kwenda bila taarifa kama ulivyodai hpo juuu

Muda huu tena baada ya kuona kama jamaa alitoa taarifa munageuka

Ukweli nikwamba taarifa ilitoka halaf kama kuna mengine yanaingia hapa

Ila hope uko salama dada ake maana umepotea kwel kwel


Jiandae kusikiliza hotuba ya RAIS wa TAIFA na DUNIA
 
Usichokijua ni kwamba US ina-control Urusi.
Kwa maana nyingine ni kwamba Biden akiamua aishi Ukraine, vita itakuwa imeisha kwasababu vijana wa putin hawatafanya shambulio lolote ndani ya UKRAINE kwasababu ya uwepo wa Biden ila mwambie yule babu asogeze pua lake kwenye ukingo Odesa oine mizinga itakavyomiminika ndani ya ilo eneo.
Aende akaishi anangojea nn

Ila wala asiishi aweke tu No Fly Zone
 
Aliheshimu sheria za UN zakutoshambulia wanadiplomasia

Kama alivyowaheshimu kina stoltenberg na wengineo woote

Kwanini WH ilitoa taarifa MOSCOW wakat anaenda UKRAINE

Yaani uende kenya halaf utoe taarifa Uganda

Us kaonesha udhaifu haswaaa
Sasa mbona unajichanganya mwenyewe,mara aliheshimu sheria za UN,mara US kaonyesha udhaifu,kwa hiyo US alionyesha udhaifu kwa kufuata sheria za UN za kutoa taarifa lakini Putin yeye kuheshimu hizo sheria za UN za kutokushambulia wana Diplomasia siyo kuonyesha udhaifu?

Sasa kama ni hivyo Putin angeonyesha umahiri wake kwa kutokuheshimu hizo sheria za UN,otherwise umeamua kuigeuza hii mada kuwa ushabiki wa Simba na Yanga kwenye vibanda umiza.
 
Shida mnabishana na ukweli

Muliamini kwamba jamaa kakurupuka tu kwenda bila taarifa kama ulivyodai hpo juuu

Muda huu tena baada ya kuona kama jamaa alitoa taarifa munageuka

Ukweli nikwamba taarifa ilitoka halaf kama kuna mengine yanaingia hapa

Ila hope uko salama dada ake maana umepotea kwel kwel


Jiandae kusikiliza hotuba ya RAIS wa TAIFA na DUNIA
Nipo salama kabisa Kaka,kupotea ni majukumu wakati mwingine yanatufanya tuwe tunachungulia tu na ku comment hapa na pale mara chache.

Najiandaa kumsikiliza Putin nimeona Sky News watafanya coverage ya hiyo hotuba.Wacha tumsikilize anakuja na yapi mapya leo.
 
Back
Top Bottom