Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,268
- 3,429
Uoga upi wakati alikuwa live anaongea na waandishi wa habari???Biden kaingia kwa siri kubwa sana huko Ukraine hata maafisa wa white house wengi wao walikuwa hawajui kama kuna safari ya rais Kenda Ukraine...US nao wamekuwa waoga sasahivi ..wamedhihilisha wazi kuwa wanamuogopa Urusi
Kwani alipomaliza alitoweka ghafla kama mchawi??? Si ulimwengu wote ulijua yuko huko???