Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

Biden kaingia kwa siri kubwa sana huko Ukraine hata maafisa wa white house wengi wao walikuwa hawajui kama kuna safari ya rais Kenda Ukraine...US nao wamekuwa waoga sasahivi ..wamedhihilisha wazi kuwa wanamuogopa Urusi
Uoga upi wakati alikuwa live anaongea na waandishi wa habari???

Kwani alipomaliza alitoweka ghafla kama mchawi??? Si ulimwengu wote ulijua yuko huko???
 
Nyamizi nakuaminia sana kutoka na uwepo wako kila siku kwenye jukwaa hill... sitaki nikupakulie taarifa hapa neenda mwenyewe bbc utaona hiyo taarifa imeandikwa kwa uwazi kabisa kuwa hata baadhi ya maafisa white House walikuwa hawajui hiyo ratiba... wamepata taarifa jamaa keshapaa aeaelekea Ukraine......
Kwani hao maafisa wakisema hawajui kuhusu hio safari kumbe wanajua, hao BBC watawafanya nini????

Hiyo ni kitu rahisi tu mbona.
 
Hizi details zimetolewa kila mahari hiyo BBC,CNN,Aljazeera,FOX News na vyombo vyote.Nachokukatalia ni kusema Security Officers wa WH walikuwa hawafahamu wakati kumekuwa na preparations za hiyo safari kwa muda mrefu sana unless uwe unamanisha hawa maafisa wa kawaida tu.Pengine naweza kubaliana na wewe kuwa uamuzi rasmi wa siku gani anakwenda Kyiv kautoa Biden siku ya Ijumaa kwa mujibu wq CNN
ok nilisema baadhi ya
Umeipata wapi hiyo ya kuwa hata baadhi ya maafisa wa white house hawajui.
fuatilia bbc habari online Leo.... tatizo mmezoea kupakuliwa taarifa.....
 
Uoga upi wakati alikuwa live anaongea na waandishi wa habari???

Kwani alipomaliza alitoweka ghafla kama mchawi??? Si ulimwengu wote ulijua yuko huko???
tunaonglea jinsi alivyopanga safari ya kwenda huko na jinsi alivyofika huko... alienda kwa siri sana.....
 
Rais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo

US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.

Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora

Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine

Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.

Tuwambie mara ngapi kwamba Amerika hana ubavu wa kupigana vita ya ana kwa ana na Urusi.

How many times must we repeat ourselves kwamba Russian Federation is not some Banana Republics - HIMARS mlizo kuwa mnazipigia debe hapa zimeishia wapi - hata vifaru vya Ujerumani na Uingereza vitatiwa kiberiti - USA wanajua vizuri jinsi ya latest Kornet AT misiiles zilivyo so effective ndio maana wanabuni visinginzio vya kuchelewesha kupeleka Abram TANKS huko Ukraine sitashangaa wakisita kupeleka kifaru hata kimoja wakiona vifaru vya Ujerumani na Uingereza vikiteketezwa na jeshi la Urusi.
 
Inamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?

Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Kuna nchi yoyote duniani ambayo ishawahi kumuwekea vikwazo marekani?
Rusia na China tunaambiwa zina majeshi makubwa na silaha kali lkn kwanini zinawekewa vikwazo? Kwanini wasigome km kweli wapo na ubavu kushinda Marekani?
Kama mtu anakuwekea vikwazo, utaweza kumudhuru? Thubutu
Russia atapigwa achakae
 
Tuwambie mara ngapi kwamba Amerika hana ubavu wa kupigana vita ya ana kwa ana na Urusi.

How many times must we repeat ourselves kwamba Russian Federation is not some Banana Republics - HIMARS mlizo kuwa mnazipigia debe hapa zimeishia wapi - hata vifaru vya Ujerumani na Uingereza vitatiwa kiberiti - USA wanajua vizuri jinsi ya latest Kornet AT misiiles zilivyo so effective ndio maana wanabuni visinginzio vya kuchelewesha kupeleka Abram TANKS huko Ukraine sitashangaa wakisita kupeleka kifaru hata kimoja wakiona vifaru vya Ujerumani na Uingereza vikiteketezwa na jeshi la Urusi.
Kwanini Marekani anamuwekea vikwazo Urusi? Yeye kama nani?
Kwanini Urusi asimuwekee vikwazo Marekani?
Kama nchi ikikuwekea vikwazo na vikatiki basi hauna uwezo wa kumpiga huo ndiyo ukweli.
Kuna nchi ilishawahi kumuwekea vikwazo Marekani?
Kama Russia ameshindwa kuichukua Ukraine mpk sasa hivi, hana ubavu wa kupigana na Marekani. Hata China analijua hilo ndiyo maana wanawekewa vikwazo
 
Back
Top Bottom