Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae akili hunaPro Russia mnajaribu kujifariji baada ya Biden kwenda Kyiv huku Putin akibaki mpenzi mtazamaji na hakuwa na la kufanya zaidi ya kusubiri mkubwa aondoke Kyiv.
Kuna watu eti ndio wameweka hii link. Hivi pro russia huwa ni wendawazimu au? Mtu mwenye akili anaita hii ndio source kweli?Kuna watu wanajipoza kuwa waliwasiliana kwanza.
Tupe link ya hiyo AP walipoconfirm tusome wenyewe tafadhari
Marekani iliiiomba Urusi isitishe mashambulizi wakati wa ziara ya Biden Ili kuepusha madhara na ugonjwa wa moyo na presha kwa babu Yao..Cha ajabu Ukrain wakabonyeza switch ya king'ora Ili kilie pasipo kujua big boys wanachati inbox kwamba bro Leo usirushe kombora kwa hawa madogo Ili Babu atoke salamaView attachment 2524255
Dunia itawaka moto.Yani marekani ni marekani tu,pamoja na uchafuzi wote haogopi katinga tu,tena kaingia kwa train
Natamani aguswe nione nini kitatokea.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Putin kwisha habari yake toka watu wako porini vita ilipoanza mapaka sasa wana visit mchana kweupee tena mji mkuu Kyiv, wakati yeye putin ameshindwa ata kusogeza pua yake pale mpakaniRais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo
US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.
Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora
Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine
Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.
Ukisikia taifa kubwa duniani ni hao US mkuu, hawo jamaa wako vizuri intelligentsia yao hawabahatishi, sasa Putin akawashe japo kiberiti karibu Bideni uwake kamoto japo mduchu aone adabuIla Marekani nao, unaruhusu vipi rais kwenda huko...
Mkuu putin alimtaka Zelensky amchukue ili asimamishe kibaraka mwengine Kyiv mpaka leo imeshindikana, wakala shaba za nguvu sasa wako pemben pemben huko wanakata mbunoHakuna lolote russia akiamua kushambulia anashambulia hila kuna mikataba inalinda viongozi kwani unafikiri hata russia hawajui anapolala zelensky
Putin mpaka akapembejee ka-drone kutoka Iran ndio apige Kyiv kwisha habar yakeWe nae akili huna
Sasa ulitaka putin afanyaje
Kutaarifiwa Urusi maana yake anaambiwa kama ni mwanamme aangushe japo kacheche kadogo jirani na Biden aone mziki wa US na Nato., kama mpango ni huo basi Putin na yeye aombe ruhusa akaonane na wanajeshi wake kule siteKama utakuwa umesikiliza taarifa ya habari ya DW leo jioni wamesema hivi Marekani iliitaarifu Urusi juu ya ujio wa Biden nchini Ukrain sasa nadhani twende sambamba
China pia waliarifiwa kwamba Pelosi anaenda Taiwan wakasema wataangusha ile ndege lakini wakaishia kuiangalia hewani kwa kuionyeshea kwa vidole tu kama mtoto ile ilee ileee ileee hakuna kutu yoyote aliyejaribu chochoteKuna watu wanajipoza kuwa waliwasiliana kwanza.
Hata yeye anatamani iwe hivyo ila ndo hawezi.Inamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?
Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Kaenda kwa kujificha kama pakaRais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo
US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.
Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora
Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine
Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.
Umeshaambiwa vikosi vyake vipo ktk utayari Poland.Anga ya Ukraine itakuwa iko mikononi beberu mwenyewe
Si tayari mlishajua alipo? Haya shambulieni Sasa tule tu Kalibr Missiles tuone ubabe WA Putin.Kaenda kwa kujificha kama paka
Trump alisema waafrika ni pit shit nadhani bado hatukumwelewaMkuu punguza basi kutudanganya,yani aingie kwa siri sana hata maafisa wa WH wasijue halafu wewe wa hapa kwa Mama Samia ujue details zote.
Umeipata wapi hiyo ya kuwa hata baadhi ya maafisa wa white house hawajui.Kaingia kwa siri sana hata baadhi ya mafisa wa white House walikuwa hawajui kama jamaa katua Ukraine.. USA nao wamefikia hatua ya kuficha siri za safari za raisi kukwepa hujuma kutoka kwa urusi.....
HUjui kitu Putin ameshasafiri mara kibao tena kwa gari akiendesha yeye mwenyewe akapita kwenye daraja lilokuwa limevunjwa. Biden yeye katembea usiku kucha kwa train na uzee huo atakuwa amepata shida sana kwa safari hiyo.Putin kwisha habari yake toka watu wako porini vita ilipoanza mapaka sasa wana visit mchana kweupee tena mji mkuu Kyiv, wakati yeye putin ameshindwa ata kusogeza pua yake pale mpakani
Ww3Yani marekani ni marekani tu,pamoja na uchafuzi wote haogopi katinga tu,tena kaingia kwa train
Natamani aguswe nione nini kitatokea.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Hakuna lolote russia akiamua kushambulia anashambulia hila kuna mikataba inalinda viongozi kwani unafikiri hata russia hawajui anapolala zelensky