Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

"As the world prepares to mark the one-year anniversary of Russia’s brutal invasion of Ukraine, I am in Kyiv today to meet with President Zelenskiy and reaffirm our unwavering and unflagging commitment to Ukraine’s democracy, sovereignty, and territorial integrity. When Putin launched his invasion nearly one year ago, he thought Ukraine was weak and the west was divided. He thought he could outlast us. But he was dead wrong.”
 
Rais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo

US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.

Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora

Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine

Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.

Washingito iliwapa Moscow notification kua Rais anelekea kyiv!. hawawezi kufanya bilia kuwambia Moscow.
 
Back
Top Bottom