Mama paradigm
JF-Expert Member
- Apr 17, 2010
- 372
- 755
Na ndio maana malalamiko hayaishi!!Upo sahihi kabisa
Umaskini ndiyo chanzo kikuu cha hayo yote
Wanalalamika Sana jamani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana malalamiko hayaishi!!Upo sahihi kabisa
Umaskini ndiyo chanzo kikuu cha hayo yote
TunazoTatizo ni nguvu za kiume sijui zimeenda wapi?☹️ Wala msiwalaumu
AmeeenVijana wetu...shida lishe duni, sress za maisha, porns...
Tatizo wazazi wanakwepa majukumuNa ndio maana malalamiko hayaishi!!
Wanalalamika Sana jamani!!
Haya mambo ya nyota tarehe muda mwingine inaangukia saggitarrius muda mwingine scorpio kwann inakuwa hiviYupo sahihi,
Ana Nyota ya ng'e (scorpio)
Watu wengi wenye nyota ya ng'e wanapenda sana tendo la ndoa kuliko kitu kingine chochote
Wanapenda pia vita
Wanapenda kula vizuri
Baadhi yao wanapenda sana kusali
Hawa wanazaliwa kati ya tarehe 23 oktoba hadi 22 Novemba
Nimezikusanya ninazo.Tatizo ni nguvu za kiume sijui zimeenda wapi?☹️ Wala msiwalaumu
Wewe umezaliwa tarehe gani na unapenda kufahamu nini zaidi?Haya mambo ya nyota tarehe muda mwingine inaangukia saggitarrius muda mwingine scorpio kwann inakuwa hivi
Naonaga unakuta tarehe fulani mwezi huu inaangukia kundi fulani la nyota mwezi ujao kundi lingine sasa mtu atajua hasa yupo kundi lipiWewe umezaliwa tarehe gani na unapenda kufahamu nini zaidi?
Ndiyo hata sagittarius wanapenda sana tendo la ndoa
Sawa wazazi tumekusikia.Tatizo wazazi wanakwepa majukumu
Mzazi anamsomesha Mtoto kisha anamwacha badala ya kumpambania mwanae ama aajiriwe au amwezeshe Mtoto afanye Biashara
Wazazi wanasomesha watoto halafu wanaiachia serikali iwape ajira kitu ambacho hakiwezekani
Wewe Mzazi ukishazaa Mtoto hakikisha haumuachi mtoto akiishi maisha ya kimaskini
Hakuna kitu kama hichoNaonaga unakuta tarehe fulani mwezi huu inaangukia kundi fulani la nyota mwezi ujao kundi lingine sasa mtu atajua hasa yupo kundi lipi
🤣🤣🤣yaan hatariiiNimezikusanya ninazo.
Hatari sana
Nasema uongo dyadya? [emoji23][emoji23][emoji23]Hahah[emoji23][emoji23][emoji23]
Umesema ukweli ndugu yangu.. Kausha damu inakausha hadi nyege zote😃😂Nasema uongo dyadya? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ndiyo mambo tunayotakaka yajadiliwe huku JF. Big up president Joe Biden
Rais Biden wa Marekani anasema msingi wa ndoa yake ni mapenzi motomoto na mkewe, good sex.
Biden anasema huwashauri wasaidizi wake wasiache kufanya mapenzi kadri wawezavyo.
Biden ana miaka 81, kikongwe kabisa lakini bado anapeleka moto ajuza wake, cha ajabu unakuta kijana mdogo wa miaka 20-40 inajiunga na NoFab challenge.
====
He infuriates wife Jill by joking that the key to their 47-year marriage is 'good sex'.
His racy comment has been revealed for the first time by Katie Rogers in her forthcoming book 'American Woman: The Transformation of the Modern First Lady, from Hillary Clinton to Jill Biden,' in an exclusive excerpt obtained by DailyMail.com.
The president gives that marital advice to aides 'much to his wife's chagrin,' reports Rogers, a longtime White House reporter for the New York Times.
Daily Mail
Mada ya kujadili serikali haitakiwi hukuHaya ndiyo mambo tunayotakaka yajadiliwe huku JF. Big up president Joe Biden