Rais Joe Biden: Ndoa yangu umejengwa kwenye ' Good Sex'

Na ndio maana malalamiko hayaishi!!
Wanalalamika Sana jamani!!
Tatizo wazazi wanakwepa majukumu

Mzazi anamsomesha Mtoto kisha anamwacha badala ya kumpambania mwanae ama aajiriwe au amwezeshe Mtoto afanye Biashara

Wazazi wanasomesha watoto halafu wanaiachia serikali iwape ajira kitu ambacho hakiwezekani

Wewe Mzazi ukishazaa Mtoto hakikisha haumuachi mtoto akiishi maisha ya kimaskini
 
Haya mambo ya nyota tarehe muda mwingine inaangukia saggitarrius muda mwingine scorpio kwann inakuwa hivi
 
Wewe umezaliwa tarehe gani na unapenda kufahamu nini zaidi?

Ndiyo hata sagittarius wanapenda sana tendo la ndoa
Naonaga unakuta tarehe fulani mwezi huu inaangukia kundi fulani la nyota mwezi ujao kundi lingine sasa mtu atajua hasa yupo kundi lipi
 
Sawa wazazi tumekusikia.
Ila kuna wengine hata Kula yao duni lakini. Ukimaliza shule wanashukuru kupunguza mzigo.
 
Haya ndiyo mambo tunayotakaka yajadiliwe huku JF. Big up president Joe Biden
 
Take it with a pinch of salt.Habari yenyewe kwa kiingereza inasema alikuwa anatania.Sio kusema kwamba hawezi kabisa lakini haiwezi kuwa good sex kwa viwango vya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…