Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?

CCM hakunaga cha kulipwa ni Uzalendo tu wa watu kwa chama chao,
 
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia😍😍
 
wewe ni mboge la mpumbavu..kwamba bomba la mafuta limerudishwa Tanzania na Samia..kweli?
 
 
Daah
 
Nakubaliana na mleta mada, investors wanapopata assurance kutoka kwa namba moja hata confidence ya kuja kuwekeza inakuwa juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…