Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?

Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?





QUOTE="Tangawizi, post: 40269425, member: 16913"]
Kwahiyo PK ndio standard mnayotumia kulinganisha mambo ya uongozi? Tanzania ni nchi tofauti na Rwanda. Usiwabeze hawa watanzania ambao wanapevuka kila uchao kuhusu mustakabali wa nchi yao, kwa kutoa mifano ambayo ni irerevant.
Rais kusafiri kuna sababu za umuhimu. Ni bora kutoa elimu kwa wanaohoji kuliko kutoa hii mifano mfu
[/QUOTE]
Na ww kaka unakaa unaamini South Africa,Ethiopia na Rwanda ni safest places!?
Ndugu yumzima kweli?
SouthAfrica kila mwaka ugomvi na mauaji ya xenophobia yanatokea je ni sehem salama kwa wawekezaji?
Ethiopia kila uchwao makabila hupigana na serikali kuu mathalan tigrignia/tigray je hiyo ni sehem salama?
Rwanda bado ukabila wa chini chini upo je huko ni salama?
Embu kuwa serious basi angalau uwe mtafiti sio copy and pasting.
 
HUIJUI RWANDA YA SASA NADHANI
_____________________________________

rekodi zinaoneaha ndio nchi yenye usalama zaidi Africa,

rekodi zinaonesha ndio nchi yenye gharama ndogo za umeme|tarrif E. Africa,

rekodi zinaonesha ndio nchi nzuri kwa uwekezaji Africa Mash,

rekodi zinaonesha ni nchi ambao uchumi wake unakua kwa kasi Africa Tanzania haipo,

Rwanda imefunguka kimataifa zaidi ya Tanzania kwa Sasa,

NIMATOKEA YA ZIARA ZA KAGAME


_____________________________________
Hizi propaganda za kagame zinawapumbaza nyie.
Kipindi cha lockdown Rwanda ya corona ndipo uhalisia wa Rwanda ulioneshwa.
Ni nchi yenye njaa kali ikishindana na Kenya upande wa Turkana kesha unaipaje sifa zote hizo?
Hata kiusalama bado sana Rwanda maanaa bado ukabila baridi upo.
Hizi rikodi za kujifariji mbaya sana zinaenda kinyume na uhalisia.
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

#HONGERA RAIS SAMIA
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

#HONGERA RAIS SAMIA
 
Na ww kaka unakaa unaamini South Africa,Ethiopia na Rwanda ni safest places!?
Ndugu yumzima kweli?
SouthAfrica kila mwaka ugomvi na mauaji ya xenophobia yanatokea je ni sehem salama kwa wawekezaji?
Ethiopia kila uchwao makabila hupigana na serikali kuu mathalan tigrignia/tigray je hiyo ni sehem salama?
Rwanda bado ukabila wa chini chini upo je huko ni salama?
Embu kuwa serious basi angalau uwe mtafiti sio copy and pasting.
[/QUOTE]
Click to expand...
Viva Samia Viva

Mimi ni chadema ila Samia dam
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59|Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona,Je,Niushamba,Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
________________________________
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu,
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma,
2. Ziara za Rais zinafungua nchi,

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA.

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA ( FDI)
____________________
_____________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19.
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL ,

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get,

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje ||

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji,Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi,

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice,

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu,




View attachment 1945274


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59|Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona,Je,Niushamba,Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
________________________________
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu,
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma,
2. Ziara za Rais zinafungua nchi,

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA.

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA ( FDI)
____________________
_____________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19.
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL ,

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get,

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje ||

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji,Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi,

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice,

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu,




View attachment 1945274


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59|Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona,Je,Niushamba,Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
________________________________
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu,
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma,
2. Ziara za Rais zinafungua nchi,

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA.

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA ( FDI)
____________________
_____________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19.
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL ,

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get,

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje ||

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji,Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi,

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice,

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu,




View attachment 1945274


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,

_______
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59|Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona,Je,Niushamba,Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
________________________________
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu,
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma,
2. Ziara za Rais zinafungua nchi,

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA.

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA ( FDI)
____________________
_____________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19.
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL ,

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get,

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje ||

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji,Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi,

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice,

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu,




View attachment 1945274


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Safari zote alizofanya samia ni muhimu na zineleta faida kubwa kwenye nchi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59|Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona,Je,Niushamba,Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
________________________________
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu,
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma,
2. Ziara za Rais zinafungua nchi,

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA.

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA ( FDI)
____________________
_____________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19.
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL ,

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get,

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje ||

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji,Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi,

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice,

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu,




View attachment 1945274


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Kumlinganisha Samia na Kagame ni kumuaibisha. Yule ni dikteta anayefuja nchi yake kwa manufaa binafsi wakati Samia ni rais wa Tanzania. Isitoshe nchi zinazotawaliwa na madikteta kama Rwanda, Uganda, Gabon, Togo, Equatorial Guinea, Cameroon wananchi hawana uhuru wa kuhoji bali kuburuzwa. Ukihoji wanakupoteza. Pia si vizuri kujilinganisha na majizi na wagonjwa kisiasa.
 
Kwanini
👇🏿👇🏿👇🏿


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
kutupima na Rwanda
 
Kumlinganisha Samia na Kagame ni kumuaibisha. Yule ni dikteta anayefuja nchi yake kwa manufaa binafsi wakati Samia ni rais wa Tanzania. Isitoshe nchi zinazotawaliwa na madikteta kama Rwanda, Uganda, Gabon, Togo, Equatorial Guinea, Cameroon wananchi hawana uhuru wa kuhoji bali kuburuzwa. Ukihoji wanakupoteza. Pia si vizuri kujilinganisha na majizi na wagonjwa kisiasa.
Nikweli ila kusafiri ni Safari tu
 
Paul kagame anamiradi yake huko nje,kwannza ni mmoja Kati ya wamiliki ya club ya arsenal(anahisa zake kibao tu pale),pia ana masupermarket kibao huko,ana maduka ya fedha huko nje,ana miliki visima vya mafuta huko ,anafanya biashara za usafiri wa majini huko nje,so safari nyingi alizofanya fanya sio za kiserikali ,ni za Mambo yake binafsi ikiwemo biashara zake!!!
 
Tanzania kuifananisha na Rwanda kwa vyovyote vile, ni kutuvunjia heshima, na nidharau na kejeli kwa CCM chama tawala toka tupate Uhuru.
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
Daaah
Paul kagame anamiradi yake huko nje,kwannza ni mmoja Kati ya wamiliki ya club ya arsenal(anahisa zake kibao tu pale),pia ana masupermarket kibao huko,ana maduka ya fedha huko nje,ana miliki visima vya mafuta huko ,anafanya biashara za usafiri wa majini huko nje,so safari nyingi alizofanya fanya sio za kiserikali ,ni za Mambo yake binafsi ikiwemo biashara zake!!!
H
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59|Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona,Je,Niushamba,Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
________________________________
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu,
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma,
2. Ziara za Rais zinafungua nchi,

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA.

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA ( FDI)
____________________
_____________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19.
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL ,

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get,

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje ||

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji,Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi,

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice,

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu,




View attachment 1945274


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Back
Top Bottom