KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 729
Lazima ipinduliwe hadi kinshasa,new regime lazima ifanyikeSerikali ya DRC itawezaje kuwatambua Banyamulenge wakati wako na silaha mkononi, huku wakipigana kutaka kuipindua serikali halali ya DRC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima ipinduliwe hadi kinshasa,new regime lazima ifanyikeSerikali ya DRC itawezaje kuwatambua Banyamulenge wakati wako na silaha mkononi, huku wakipigana kutaka kuipindua serikali halali ya DRC?
hiki kikao cha leo ndo kimewahalisha wanyamurenge kuwa sasa nao ni wananchi halali kabisa wa drc maana hadi wametajwa kabisa kwenye makubaliano ya kikao na tshisekedi kaagizwa akae nao na awasikilize.Serikali ya DRC itawezaje kuwatambua Banyamulenge wakati wako na silaha mkononi, huku wakipigana kutaka kuipindua serikali halali ya DRC?
Ongeza israel
Tatizo lenyewe sasa ni yeye Kagame. Suluhishio ni SADC-EAC kuwapa kipigo M23 kisha kutengeneza Buffer Zone katika mpaka wa Rwanda.Kagame kaongea ukweli mtupu
Hatuwezi kupotezeana muda wa mavikao yasiyo na tija kila siku wakati tatizo linajulikana.
kama hataki vikao je anataka vita ili watu waendelee kufa hii siyo sawaKagame kaongea ukweli mtupu
Hatuwezi kupotezeana muda wa mavikao yasiyo na tija kila siku wakati tatizo linajulikana.
Bila kufanya hivyo nini itakuwa suluhu?Kagame ameleta msimamo wa M 23 kuwa watambulike na congo DR, sijui ni kivipi serikali ya Congo haiwatambui Wanyamulenge?
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amesema nchi yake haiwezi kukaa kimya wakati usalama wake unahatarishwa na DRC na kubainisha kuwa Rwanda imejaribu mara nyingi kuzungumza na Congo bila mafanikio huku akisisitiza kuwa suluhisho la kudumu linahitajika badala ya lawama zinazoelekezwa kwa Rwanda kila tatizo linapotokea DRC.
"Congo hawawezi kutuambia tukae kimya wakati wanasababisha matatizo makubwa ya kiusalama dhidi yetu, hakuna wa kutuambia tukae kimya, tumeongea na Congo mara nyingi tumewaita tukae tuongee hawataki, Mimi naomba tusiwe na vikao vingi sana kama ambavyo tayari tumeshakuwa navyo.” — amesema Kagame akizungumza kwenye mkutano wa EAC-SADC.
“Hatuwezi kila siku kukaa kujadili matatizo maana kinachoendelea pale ni vita ya Kikabila ni suala la kutambuana, kujadiliana na kuwapa haki yao, tutumie kikao hiki kupata suluhu ya kudumu na sio matatizo yatokee Congo kisha ubaya anapewa Rwanda" — amesema Kagame.
Kama anataka kuvunjwa ile miguu yake kama ngongoti aseme.PK amechanga karata zake vizuri sasa anaenda kuwa mtawala wa rwanda na eneo la kivu na icho ndo alikuwa anakitaka siku zote.
We nae hueleweki kama kagameHapo aliposema vita ya kikabila yuposahih. Nkweli ni vita ya kikabila. Ila kuhusu congo kukaa na m23 amebugi, kwani yeye kama nani mpaka congo wakubali anachotaka?.
Kwanin hafikilii ugumu au hatari anayoipata kukaa meza moja na FDLR?badala yake anaona ni rahisi kwa congo kukaa na m23?.
Sema jambo zuri ni kwamba ameeleweka vizuri sana.
Dawa ya Kagame ni kumchapa tu, naamini zikiungana nchi tatu au nne hatoboi.Naye akaae chini na waasi wa kihutu wamalize tofauti.
Na watamvunja kweli, kijitu kama fidodido kimeshajizeekea bado kinaleta vurugu.Kama anataka kuvunjwa ile miguu yake kama ngongoti aseme.
PK ameimaliza kazi yake jana pale dar. M23 wameshatambuliwa rasmi na T'Kedi kaagizwa akakae nao wakubaliane. kitachofata apo M23 wanapewa Kivu. PK ataitawala Kivu kwa mgongo wa hao M23.Kama anataka kuvunjwa ile miguu yake kama ngongoti aseme.
Na yeye awatambue wahutu waliokimbilia uhamishoniKagame ameleta msimamo wa M 23 kuwa watambulike na congo DR, sijui ni kivipi serikali ya Congo haiwatambui Wanyamulenge?
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amesema nchi yake haiwezi kukaa kimya wakati usalama wake unahatarishwa na DRC na kubainisha kuwa Rwanda imejaribu mara nyingi kuzungumza na Congo bila mafanikio huku akisisitiza kuwa suluhisho la kudumu linahitajika badala ya lawama zinazoelekezwa kwa Rwanda kila tatizo linapotokea DRC.
"Congo hawawezi kutuambia tukae kimya wakati wanasababisha matatizo makubwa ya kiusalama dhidi yetu, hakuna wa kutuambia tukae kimya, tumeongea na Congo mara nyingi tumewaita tukae tuongee hawataki, Mimi naomba tusiwe na vikao vingi sana kama ambavyo tayari tumeshakuwa navyo.” — amesema Kagame akizungumza kwenye mkutano wa EAC-SADC.
“Hatuwezi kila siku kukaa kujadili matatizo maana kinachoendelea pale ni vita ya Kikabila ni suala la kutambuana, kujadiliana na kuwapa haki yao, tutumie kikao hiki kupata suluhu ya kudumu na sio matatizo yatokee Congo kisha ubaya anapewa Rwanda" — amesema Kagame.
Hebu tuliza kichwa kidogo basi umuelewe anachosema..Huyu mtu ni mnafiki sana, Kikwete akimshauri akae na wahutu wakimbizi waliopo kongo alikataa,kwa matusi na vitisho! Mbwa sana huyu
Huyo Shekedi atakuwa anaumwa, unakubali kuwapa waasi nchi kwa sababu gani?PK ameimaliza kazi yake jana pale dar. M23 wameshatambuliwa rasmi na T'Kedi kaagizwa akakae nao wakubaliane. kitachofata apo M23 wanapewa Kivu. PK ataitawala Kivu kwa mgongo wa hao M23.
mkuu umeisoma komunikee ya jana? itafute uisome km bado ipo humu.Huyo Shekedi atakuwa anaumwa, unakubali kuwapa waasi nchi kwa sababu gani?
Hizo vita huwa zinapiganwa hadi tone la mwisho.
Tshekedi ashauriwe, aache huo upumbavu.
Itoshe kusema we ni mpumbavuHapo tunasema kweli Rais kaongea, hapa kwetu sasa mtu anaongea macho yamelegea legea. Hivi hawa wahuni wakina Mwigulu ndio watamheshimu kweli mtu anaongea tuvitu twa hovyo hovyo kama mtoto wa chekechea?
Kwake kuna Vita kwani ? Congo wanazingua wenyewe na ilo jimbo heri liwe chini ya utawala mwingine kuwe na amani, wao wameshindwa kuilinda ,Na yeye awatambue wahutu waliokimbilia uhamishoni