Rais Kagame ataka M23 watambuliwe na Serikali ya DR Congo

Serikali ya DRC itawezaje kuwatambua Banyamulenge wakati wako na silaha mkononi, huku wakipigana kutaka kuipindua serikali halali ya DRC?
hiki kikao cha leo ndo kimewahalisha wanyamurenge kuwa sasa nao ni wananchi halali kabisa wa drc maana hadi wametajwa kabisa kwenye makubaliano ya kikao na tshisekedi kaagizwa akae nao na awasikilize.

drc kwishnei. na hiki ndo alichokuwa anakitafuta PK sikuzote hizi. kikao cha leo ni pigo kubwa sana kwa tshisekedi na jamaa zake wa drc. haya maazimio ya leo hayatekelezi kwa tshisekedi. ni back to square one vita itaendelea.
 
Kagame kaongea ukweli mtupu

Hatuwezi kupotezeana muda wa mavikao yasiyo na tija kila siku wakati tatizo linajulikana.
Tatizo lenyewe sasa ni yeye Kagame. Suluhishio ni SADC-EAC kuwapa kipigo M23 kisha kutengeneza Buffer Zone katika mpaka wa Rwanda.
Au wawafurushe hadi Rwanda ndani kabisa ili Rwanda wapate joto la vita
 
Bila kufanya hivyo nini itakuwa suluhu?
 
We nae hueleweki kama kagame
 
Naye akaae chini na waasi wa kihutu wamalize tofauti.
Dawa ya Kagame ni kumchapa tu, naamini zikiungana nchi tatu au nne hatoboi.

Hao wanyamulenge anataka wapewe haki gani?

Wanyamulenge ni watusi wanaokaa DRC kinyemela, vipi wapewe haki?

Huyu Kagame ni mpuuzi, anaongea kana kwamba yeye ndiyo msemaji wa M23?
 
Na yeye awatambue wahutu waliokimbilia uhamishoni
 
PK ameimaliza kazi yake jana pale dar. M23 wameshatambuliwa rasmi na T'Kedi kaagizwa akakae nao wakubaliane. kitachofata apo M23 wanapewa Kivu. PK ataitawala Kivu kwa mgongo wa hao M23.
Huyo Shekedi atakuwa anaumwa, unakubali kuwapa waasi nchi kwa sababu gani?

Hizo vita huwa zinapiganwa hadi tone la mwisho.

Tshekedi ashauriwe, aache huo upumbavu.
 
Huyo Shekedi atakuwa anaumwa, unakubali kuwapa waasi nchi kwa sababu gani?

Hizo vita huwa zinapiganwa hadi tone la mwisho.

Tshekedi ashauriwe, aache huo upumbavu.
mkuu umeisoma komunikee ya jana? itafute uisome km bado ipo humu.
 
Na yeye awatambue wahutu waliokimbilia uhamishoni
Kwake kuna Vita kwani ? Congo wanazingua wenyewe na ilo jimbo heri liwe chini ya utawala mwingine kuwe na amani, wao wameshindwa kuilinda ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…