The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Wewe Ni kilaza hujielewiHauna Akili acha kunipotezea muda!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Ni kilaza hujielewiHauna Akili acha kunipotezea muda!!
Kama Mamaako.Wewe Ni kilaza hujielewi
Mwisho wa watu kama hawa huwa ni mbaya sana...Ukiona mbwa anabweka hovyohovyo jua kabisa humo hamnamo mbwa
Kabisa.Uzuri East Africa haina maneno mengi. Yenyewe inataka waasi wasiwepo Congo. Hizi nyingine ni riwaya.
Alilopoka tu, angeonyesha ushujaawake wakati msoga anampelekea moto.Alimwambia Mstaafu wenu 'Kikatiba' kuwa anaongoza 'Maiti' na kwamba hana Akili pia.
Tulipiga m23 wake mpaka akawarudisha Rwanda kwa muda akamnununia kikwete. Angejaribu na ushoga wake alafu aone. Usimpe sifa ambazo Hana. Anatumiwa na mabwana zake kuiba congo Leo anajifanya ana nguvu mpuuzi kweli. USEME MIAFRIKA MINGI NI MIJINGA ILITAKIWA WARUHUSU TUPIGE WAVAMIZI WA CONGO NA NCHI WATAKAYOKIMBILIA TUNAITANDIKA NAYO UONE KAMA ANGEBINUA BAKULI LAKE MUUWAJI MKUBWA NA MNUKA DAMU ZA WATU.Maneno mengi ya nini? Mchokozeni muone....!!!!!
Rwanda kama ina nia njema itulie tu hao waasi washughulikiwe. Kama ana nia njema atume na fungu la fedha kwa serikali ya DRC itasaidia kwenye kupambana.Kabisa.
Labda anamaanisha hao waasi wakikimbilia Rwanda wasiguswe.
Sasa ndio utajua nani anawatuma.
Muda ni mwalimu mzuri....
Hicho ndicho kilitakiwa naanaewafadhir akamatwe.Tulipiga m23 wake mpaka akawarudisha Rwanda kwa muda akamnununia kikwete. Angejaribu na ushoga wake alafu aone. Usimpe sifa ambazo Hana. Anatumiwa na mabwana zake kuiba congo Leo anajifanya ana nguvu mpuuzi kweli. USEME MIAFRIKA MINGI NI MIJINGA ILITAKIWA WARUHUSU TUPIGE WAVAMIZI WA CONGO NA NCHI WATAKAYOKIMBILIA TUNAITANDIKA NAYO UONE KAMA ANGEBINUA BAKULI LAKE MUUWAJI MKUBWA NA MNUKA DAMU ZA WATU.
We Mtutsi ngoja nikwambie. Kama Kagame ni mtemi mbona haichokozi Tanzania? Na, je, unajua kwanini Tanzania huwa inakaaGA kimya?Mchokozeni sasa muone kwani Kawazuia?
Huyo ana mikwala tuHakika umeweka vzr na pia nimeona video hyo akazungumza kwa kiswahili alilenga waKenya waelewe kitu anachozungumza
Alizungumza kwa kujiamini San nimependa alvyo address taifa kwa lugha yetu
Anawajua hao maiti vizuri,walimnyoosha drc na wanalisha taifa lake kila siku,anataka tuwe na vurugu na Vita ndiyo tusiwe maiti!!?..anafurahia kilichotokea 1994,ndiye muasisi wa yaleAlimwambia Mstaafu wenu 'Kikatiba' kuwa anaongoza 'Maiti' na kwamba hana Akili pia.
"Nimeshiriki mazungumzo ya amani ya Congo DR na hata kushauri mambo mema ila nasikitika mwenzangu hataki kuwajibika kwa upande wake."
"Wanasema Rwanda inaipiga Congo DR ila hawasemi wala hawaoni jinsi Congo DR inavyoivamia mara kwa mara Rwanda."
"Napenda mno amani na sipendi machafuko kwani huenda nikawa ni mmoja wa watu na wapiganaji walioshiriki vita, hivyo najua madhara yake."
"Kuna ndizi fupi na ndefu lakini kuna watu wanatudharau na kutuona Rwanda ni kama ndizi ndefu, ila nawaambia tuko imara kivita pengine kuliko wanavyojidanganya."
"Nani kawaambia vita inaamriwa na ukubwa wa kijiografia wa nchi? Rwanda ina jeshi imara na lililokamilika katika kila idara na tukichokozwa tu, hao wanaotuchokoza watajuta kutufahamu"
"Amani ya Congo DR ni muhimu na naiunga mkono ila wajue pia kuwa hata amani ya Rwanda nayo ni muhimu vile vile na tunajua athari za vita pengine hata zaidi yao. Acha waendelee kutudharau Rwanda mpaka wakituchokoza ndipo watajua na wataujua uwezo wetu"
Chanzo: BBC Swahili (Dira ya Dunia) leo
Ukiona mpaka GENTAMYCINE anampenda Rais genius and hero Paul Kagame wa Rwanda jua nimeshajiridhisha kuwa ana uwezo mkubwa kuliko Marais wengi wa Afrika na baadhi kwingineko wanywa wine, washinda na eanawake (wadada) kutwa faragha na wazururaji wa kwenda kununua pafyumu za gharama Ulaya, nguo za ndani (vyupi na boksa) na kutibiwa na madaktari wa gharama wa kikoloni (Ulaya, Marekani na Asia), wakati hata huku kwetu barani Afrika wamejaa wengi na wana uzalendo uliyotukuka.
Ujinga"Nimeshiriki mazungumzo ya amani ya Congo DR na hata kushauri mambo mema ila nasikitika mwenzangu hataki kuwajibika kwa upande wake."
"Wanasema Rwanda inaipiga Congo DR ila hawasemi wala hawaoni jinsi Congo DR inavyoivamia mara kwa mara Rwanda."
"Napenda mno amani na sipendi machafuko kwani huenda nikawa ni mmoja wa watu na wapiganaji walioshiriki vita, hivyo najua madhara yake."
"Kuna ndizi fupi na ndefu lakini kuna watu wanatudharau na kutuona Rwanda ni kama ndizi ndefu, ila nawaambia tuko imara kivita pengine kuliko wanavyojidanganya."
"Nani kawaambia vita inaamriwa na ukubwa wa kijiografia wa nchi? Rwanda ina jeshi imara na lililokamilika katika kila idara na tukichokozwa tu, hao wanaotuchokoza watajuta kutufahamu"
"Amani ya Congo DR ni muhimu na naiunga mkono ila wajue pia kuwa hata amani ya Rwanda nayo ni muhimu vile vile na tunajua athari za vita pengine hata zaidi yao. Acha waendelee kutudharau Rwanda mpaka wakituchokoza ndipo watajua na wataujua uwezo wetu"
Chanzo: BBC Swahili (Dira ya Dunia) leo
Ukiona mpaka GENTAMYCINE anampenda Rais genius and hero Paul Kagame wa Rwanda jua nimeshajiridhisha kuwa ana uwezo mkubwa kuliko Marais wengi wa Afrika na baadhi kwingineko wanywa wine, washinda na eanawake (wadada) kutwa faragha na wazururaji wa kwenda kununua pafyumu za gharama Ulaya, nguo za ndani (vyupi na boksa) na kutibiwa na madaktari wa gharama wa kikoloni (Ulaya, Marekani na Asia), wakati hata huku kwetu barani Afrika wamejaa wengi na wana uzalendo uliyotukuka.
Kabisa mkuu maana wanafadhiliwa na mfadhili kaanza kubwekaHicho ndicho kilitakiwa naanaewafadhir akamatwe.