Rais Kamuzu Banda alizitaka Mbeya, Njombe na Songea kuwa sehemu ya Malawi

Rais Kamuzu Banda alizitaka Mbeya, Njombe na Songea kuwa sehemu ya Malawi

Hii kitu iliwahi ongelewa humu miaka ya nyuma ni kama ramani ilichezeshwa mahali.

Iliwahi tokea hadi hiyo mipaka ikawa inalindwa muda wote.

Hata sasa najua wapo wanajeshi wetu muda wote wanalinda huo mpaka.

Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.
 
Kabla ya hata kusikiliza huu upuuzi wa Kamuzu Banda; you knew kupitia kwenye mada ya:

Wengine tuliandika ipo siku watasema sio ziwa Nyasa tu, bali sehemu za Tanzania ni zao pia.

Kama Ukifuatilia mada yote ndio uelewe kwa nini wengine tulitaka huyu Zanzibar-ASP anyofolewe kucha kwa ule upuuzi alioandika.

Hana heshima na mipaka ya Tanzania.
 
Ngoja waje...Tanzania tumekuwa shamba la bibi, ziwa nyasa hilo linakwenda, ziwa victoria tayari tumepigwa pini, Bagamoyo nayo Zanzibar wanaivutia pumzi waibebe...Bandari,mito na maziwa makuu tumekabizi Dipiiweldi, Mbuga zote na Misitu , tumekabizi kwa waarabu, Madini na Gesi tumekabizi kwa Mchina na Mzungu wanajichotea wanavyotaka...Mwisho wa siku tumebaki na Pumbu tu Mazafanta, #Tusi
 
Ngoja waje...Tanzania tumekuwa shamba la bibi, ziwa nyasa hilo linakwenda, ziwa victoria tayari tumepigwa pini, Bagamoyo nayo Zanzibar wanaivutia pumzi waibebe...Bandari,mito na maziwa makuu tumekabizi Dipiiweldi, Mbuga zote na Misitu , tumekabizi kwa waarabu, Madini na Gesi tumekabizi kwa Mchina na Mzungu wanajichotea wanavyotaka...Mwisho wa siku tumebaki na Pumbu tu Mazafanta, #Tusi
Tuko imara kwenye mipaka yetu,

Huko kwenye dipii world, misitu na mbuga ni katiba inayompa mamlaka makubwa raisi (kweli tumepigwa).

Lakini mipaka ya Tanzania sio ya kuchezea ulinzi wake upo chini ya (JWTZ) hakuna siasa hapo.

Mengine ni kuomba mungu tu na kuwaachia wanasiasa.
 
Ishu ya mipaka ilishakuwa settled zamani sana anayetaka kuzusha haya mambo anatafuta yatakayompata sababu hata hao wanaoishi maeneo hayo japo wana ukaribu na undugu na walio Malawi lakini hawatamani kuwa wamalawi maana ukiwa ndani ya Tanzania kuna faida zake nyingi zaidi kushinda nchi zote zinazituzunguka. I believe kama kuna watu wanataka kuhamia malawi ni heri waende kimyakimya tusijaribiane wandugu mtatuona wabaya.
 
Ishu ya mipaka ilishakuwa settled zamani sana anayetaka kuzusha haya mambo anatafuta yatakayompata sababu hata hao wanaoishi maeneo hayo japo wana ukaribu na undugu na walio Malawi lakini hawatamani kuwa wamalawi maana ukiwa ndani ya Tanzania kuna faida zake nyingi zaidi kushinda nchi zote zinazituzunguka. I believe kama kuna watu wanataka kuhamia malawi ni heri waende kimyakimya tusijaribiane wandugu mtatuona wabaya.

Background of the current dispute ☝️

Credit: Kiranga

Worth reading.

Malawi is desperate
 

Background of the current dispute ☝️

Credit: Kiranga

Worth reading.

Malawi is desperate
They are stupid najua hata wakati wa uongozi wa yule mama ndio alianzisha hii chokochoko, aisee pale panalindwa kuliko wanavyodhani na hatutaachia hata hatua moja mipaka ilishakuwa settled zamani so wasitutafute ubaya sababu wanajua vema uwezo tulionao.

Africa iligawanywa na wazungu ikawekwa mipaka kila nchi ikapigania uhuru wake na kulinda mipaka yake. Haya yanayokuja kuibuka baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru ni uhuni tu na hakika hakuna ardhi wataipata kama ni ziwa Nyasa tulishakubaliana miaka kibao ligawanywe katikati na hiyo imekuwa hivyo miaka yote sasa haya wanayoleta kuna kitu wanakitafuta na watakipata watanzania sio wapole kiasi hicho mbona tunawaacha tunwanakaa kwetu hatuwapi shida hata kuwasumbua kuhusu permits zao? Si tunaishi nao tu ? Hakika kwa hili diplomasia ikishindwa naamini kila mtanzania atakuwa tayari kuvaa konbati na kuingia front uzuri watanzania halisi tunajijua when it comes to national interests.
 
Tuko imara kwenye mipaka yetu,

Huko kwenye dipii world, misitu na mbuga ni katiba inayompa mamlaka makubwa raisi (kweli tumepigwa).

Lakini mipaka ya Tanzania sio ya kuchezea ulinzi wake upo chini ya (JWTZ) hakuna siasa hapo.

Mengine ni kuomba mungu tu na kuwaachia wanasiasa.
Mkuu ukiangalia kwa jicho la Tatu utagundua mipaka iko wazi kabisa kwa sababu dunia ya leo watu wanaiba kwa kutumia kalamu , watu wanatumia akili, sisi tunapumbazwa na maneno ya kitapeli tu utasikia mara Diplomasia Mara uwekezaji, hiyo yote ni wizi tu.

Wenzetu siasa zao wanafanya kisayansi na kutumia hesabu kali ila sisi tumekalia porojo tu. Hivi unajua kuna ndege binafsi zinatua direct huko migodini na mbugani? Unajua zinabeba mali kiasi gani? Unajua mwelekeo wa dunia kwenye matumizi ya Nishati ya Gesi? Unajua sisi tuna huge deposit ya Gesi ila hatuwezi kunufaika ipasavyo? Jeshi badala ya kulinda rasilimali za nchi linatumika kulinda maslahi ya watu wachache na kuizanisha nchi.

Shtuka mkuu dunia ya sasa haipigani vita kwa mitutu na mabomu bali kwa maneno, kalamu, akili kubwa na mahesabu makali.
 
Sehemu pekee ambako unakutana na watanzania ambao unahisi hawa hawakupaswa kuwa watanzania ila kuwa wamalawi nafikri ni vijiji vyote vulivyo karibu na Nang'ombo mwaziwa nyasa nyumbani kwao Judge Samatha na maeneo fulani ya Ileje. Kule lugha wanayozungumza ni ya Malawi kabisa. Yote kwa yote mipaka iheshimiwe maana ikisemwa maeneo yote yachukuliwe itakuwa shida. Kuna maeneo fulani ya Mhukuru Ruvuma kule ndani kabisa mambo mengi yanafanyika ni ya nchi ya msumbiji. Bidhaa zinatoka msumbiji hadi Kanga za kina Frelimo na Fanta ni za huko..

Fikiria Wazambia pia wakiamua kuchukua eneo la Wamambwe kule mambwe Kenya Rukwa pia linaweza enda Zambia maana wakina Sinkala ndio watawala wa eneo la Tanzania na Zambia kule mpakani.
 
Mkuu ukiangalia kwa jicho la Tatu utagundua mipaka iko wazi kabisa kwa sababu dunia ya leo watu wanaiba kwa kutumia kalamu , watu wanatumia akili, sisi tunapumbazwa na maneno ya kitapeli tu utasikia mara Diplomasia Mara uwekezaji, hiyo yote ni wizi tu.

Wenzetu siasa zao wanafanya kisayansi na kutumia hesabu kali ila sisi tumekalia porojo tu. Hivi unajua kuna ndege binafsi zinatua direct huko migodini na mbugani? Unajua zinabeba mali kiasi gani? Unajua mwelekeo wa dunia kwenye matumizi ya Nishati ya Gesi? Unajua sisi tuna huge deposit ya Gesi ila hatuwezi kunufaika ipasavyo? Jeshi badala ya kulinda rasilimali za nchi linatumika kulinda maslahi ya watu wachache na kuizanisha nchi.

Shtuka mkuu dunia ya sasa haipigani vita kwa mitutu na mabomu bali kwa maneno, kalamu, akili kubwa na mahesabu makali.
Kiongozi ya ndani kwetu ni magumu, kutokana na katiba yetu; mengine kuyaongelea sio salama.

Iła mipaka ya Tanzania sio swala la mzaha kabisa, hilo ndio eneo kama nchi JWTZ aicheki.
 
They are stupid najua hata wakati wa uongozi wa yule mama ndio alianzisha hii chokochoko, aisee pale panalindwa kuliko wanavyodhani na hatutaachia hata hatua moja mipaka ilishakuwa settled zamani so wasitutafute ubaya sababu wanajua vema uwezo tulionao.

Africa iligawanywa na wazungu ikawekwa mipaka kila nchi ikapigania uhuru wake na kulinda mipaka yake. Haya yanayokuja kuibuka baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru ni uhuni tu na hakika hakuna ardhi wataipata kama ni ziwa Nyasa tulishakubaliana miaka kibao ligawanywe katikati na hiyo imekuwa hivyo miaka yote sasa haya wanayoleta kuna kitu wanakitafuta na watakipata watanzania sio wapole kiasi hicho mbona tunawaacha tunwanakaa kwetu hatuwapi shida hata kuwasumbua kuhusu permits zao? Si tunaishi nao tu ? Hakika kwa hili diplomasia ikishindwa naamini kila mtanzania atakuwa tayari kuvaa konbati na kuingia front uzuri watanzania halisi tunajijua when it comes to national interests.
Malawi ni desperate, wanajitekenya na kucheka wenyewe tu (ni waropokaji). Akili zao uwa zinawatosha wenyewe. Washawahi zusha tunaingilia uranium yao (as if kuna nchi east Africa) inaweza fanya uranium enrichment.

JWTZ sio ya mzaha-mzaha, vinginevyo ungeona wanafanya video za mazoezi ziwa Nyasa kama kweli kuna mtu anatishia mipaka yetu.
 
Ishu ya mipaka ilishakuwa settled zamani sana anayetaka kuzusha haya mambo anatafuta yatakayompata sababu hata hao wanaoishi maeneo hayo japo wana ukaribu na undugu na walio Malawi lakini hawatamani kuwa wamalawi maana ukiwa ndani ya Tanzania kuna faida zake nyingi zaidi kushinda nchi zote zinazituzunguka. I believe kama kuna watu wanataka kuhamia malawi ni heri waende kimyakimya tusijaribiane wandugu mtatuona wabaya.
Sisi ambao tuko mipakani karibu na Malawi ikitokea tukapiga kura ya kuwa sehemu ya Malawi hatukatai.Malawi kunamifumo mizuri ya kielimu,kiuchumi , kibiashara na,kijamii kuliko Tanzania.
 
Hii kitu iliwahi ongelewa humu miaka ya nyuma ni kama ramani ilichezeshwa mahali.

Iliwahi tokea hadi hiyo mipaka ikawa inalindwa muda wote.

Hata sasa najua wapo wanajeshi wetu muda wote wanalinda huo mpaka.

Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.
Kwa huyu Chizimkazi km ana hela atapewa mpaka Makambako sio Njombe tu akiweza mpaka Tabora yote atapewa ni hela yake tu, kuna vijiji watu wanafukuzwa wameishi hapo kabla ya Uhuru leo wanaambiwa wapo ndani ya eneo la hifadhi wahame wapishe mwekezaji
 
Hii speech ni ya kujiamini sana. Sijui alipata wapi hizi nguvu za kujiamini kiasi hiki kutaka chukua maeneo hayo.

View attachment 3186715
Dah!

Watu (wasikilizaji) wa hotuba hiyo walikuwa wakisisimkwa, kila mara Mbeya, Njombe na Songea ilipo kuwa ikitajwa! Bila shaka wakati huo inge wezekana kuwagawia silaha, wange piga mguu kuja kuikomboa sehemu ya nchi yao!

Lakini, kwa upande mwingine, hii ingekuwa sababu nzuri nasi kuidai Malawi yote nzima nzima kuwa ni sehemu yetu na kuwapasha nia yetu hiyo ya kuikomboa sehemu hiyo na kuirudisha mahala pake.

Banda anadai sehemu ya Tanzania, Kagame naye angepata nguvu za kudai Kagera nzima au sehemu yake. Nduli Idd naye Mtukula angemega; na kama ilivyo kwa wale wanao tamani mlima uwe kwao!

Mbona nchi hii tunazongwa hivi?
 
Back
Top Bottom