zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Hamia Malawi Dada unachelewesha watoto shuleSisi ambao tuko mipakani karibu na Malawi ikitokea tukapiga kura ya kuwa sehemu ya Malawi hatukatai.Malawi kunamifumo mizuri ya kielimu,kiuchumi , kibiashara na,kijamii kuliko Tanzania.
Banda alipewa kibano ndani ya ziwa, tokea hapo hakusikika tena akiota ndoto mchana!Nyerere alipambana na washenzi wengi sana kuanzia wakoloni, IDI Amin pamoja na huyo Banda
Urusi vs Ukraine...!?🤔Shtuka mkuu dunia ya sasa haipigani vita kwa mitutu na mabomu bali kwa maneno, kalamu, akili kubwa na mahesabu makali.
Banda alitikisa kiberiti wakati huo; akapewa kibano cha masaa machache tu, na hakusikika tena hadi alipo aga dunia!Nakumbuka miaka ile ya 70 wakati tunaimba nyimbo za kumkejeli Banda
Banda wa Malawi, atuvalia ngozi ya simba, kututishia watanzania hatujali hatujali
Unapuga kura ili iwe nini kama unataka kuhamia malawi si unaenda tu au mpaka uvunje international borders ? Kama unaona kuna maisha mazuri huko we vuka hamia huko tuone kama watakupikea kirahisi kama unavyodhani.Sisi ambao tuko mipakani karibu na Malawi ikitokea tukapiga kura ya kuwa sehemu ya Malawi hatukatai.Malawi kunamifumo mizuri ya kielimu,kiuchumi , kibiashara na,kijamii kuliko Tanzania.
Hawatujui hao.They are stupid najua hata wakati wa uongozi wa yule mama ndio alianzisha hii chokochoko, aisee pale panalindwa kuliko wanavyodhani na hatutaachia hata hatua moja mipaka ilishakuwa settled zamani so wasitutafute ubaya sababu wanajua vema uwezo tulionao.
Africa iligawanywa na wazungu ikawekwa mipaka kila nchi ikapigania uhuru wake na kulinda mipaka yake. Haya yanayokuja kuibuka baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru ni uhuni tu na hakika hakuna ardhi wataipata kama ni ziwa Nyasa tulishakubaliana miaka kibao ligawanywe katikati na hiyo imekuwa hivyo miaka yote sasa haya wanayoleta kuna kitu wanakitafuta na watakipata watanzania sio wapole kiasi hicho mbona tunawaacha tunwanakaa kwetu hatuwapi shida hata kuwasumbua kuhusu permits zao? Si tunaishi nao tu ? Hakika kwa hili diplomasia ikishindwa naamini kila mtanzania atakuwa tayari kuvaa konbati na kuingia front uzuri watanzania halisi tunajijua when it comes to national interests.
Na akikomaa? Mzee Kamuzu Banda aliwahi kuja kwa Mwalimu Nyerere na liramani lake Mwalimu aliishia kumwangalia yeye Mzee Banda hadi akaona aibu na kuikunja ramani yake na kuirudisha kwenye mfumo wake wa suruali.Hii kitu iliwahi ongelewa humu miaka ya nyuma ni kama ramani ilichezeshwa mahali.
Iliwahi tokea hadi hiyo mipaka ikawa inalindwa muda wote.
Hata sasa najua wapo wanajeshi wetu muda wote wanalinda huo mpaka.
Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.
Kqbisa naon akuna wanyakyusa wanaona heri wahamie malawi sasa si waende huko watuachie palr mbeya watanzania halisi watakaa na kuenjoy maeneo yao ealiyoyapata kwa kupiganiwa uhuru wa taifa hili oamoja na kulinda mipaka yake.Hawatujui hao.
You hit the jackpot 🎰 !Mkuu ukiangalia kwa jicho la Tatu utagundua mipaka iko wazi kabisa kwa sababu dunia ya leo watu wanaiba kwa kutumia kalamu , watu wanatumia akili, sisi tunapumbazwa na maneno ya kitapeli tu utasikia mara Diplomasia Mara uwekezaji, hiyo yote ni wizi tu.
Wenzetu siasa zao wanafanya kisayansi na kutumia hesabu kali ila sisi tumekalia porojo tu. Hivi unajua kuna ndege binafsi zinatua direct huko migodini na mbugani? Unajua zinabeba mali kiasi gani? Unajua mwelekeo wa dunia kwenye matumizi ya Nishati ya Gesi? Unajua sisi tuna huge deposit ya Gesi ila hatuwezi kunufaika ipasavyo? Jeshi badala ya kulinda rasilimali za nchi linatumika kulinda maslahi ya watu wachache na kuizanisha nchi.
Shtuka mkuu dunia ya sasa haipigani vita kwa mitutu na mabomu bali kwa maneno, kalamu, akili kubwa na mahesabu makali.
Akikomaa kwa vipi; na amkamalie nani, Chura Kiziwi?Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.
Shukurani mkuu. Shukurani zaidi kwa muandishi aliyefanya kazi kubwa.Big up Kiranga
Duuu hatari kwa umaskini uliopo Malawi hii hatari haya ndo mambo ya Ukraine na urusHii kitu iliwahi ongelewa humu miaka ya nyuma ni kama ramani ilichezeshwa mahali.
Iliwahi tokea hadi hiyo mipaka ikawa inalindwa muda wote.
Hata sasa najua wapo wanajeshi wetu muda wote wanalinda huo mpaka.
Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.
Hahahaha!!!!Ngoja waje...Tanzania tumekuwa shamba la bibi, ziwa nyasa hilo linakwenda, ziwa victoria tayari tumepigwa pini, Bagamoyo nayo Zanzibar wanaivutia pumzi waibebe...Bandari,mito na maziwa makuu tumekabizi Dipiiweldi, Mbuga zote na Misitu , tumekabizi kwa waarabu, Madini na Gesi tumekabizi kwa Mchina na Mzungu wanajichotea wanavyotaka...Mwisho wa siku tumebaki na Pumbu tu Mazafanta, #Tusi
Acha kudanganya watu, Malawi kamwe haiwezi kuipita TzSisi ambao tuko mipakani karibu na Malawi ikitokea tukapiga kura ya kuwa sehemu ya Malawi hatukatai.Malawi kunamifumo mizuri ya kielimu,kiuchumi , kibiashara na,kijamii kuliko Tanzania.
Ngoja nishauri tupeleke kikosi kikaweke kambi upande wa pili tuchukue kama 100km kutoka ziwani.Kabla ya hata kusikiliza huu upuuzi wa Kamuzu Banda; you knew kupitia kwenye mada ya:
Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu
Serikali ya Tanzania imetoa tamko la marufuku ya kuzuia matumizi ya google map yenye kuonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye ziwa Nyasa ulipo kutumika kufundishia mashuleni. Kwenye ramani hiyo ya google inaonyesha mpaka wa kisheria uko pwani ya Ziwa Nyasa upande wa Tanzania na hapo hapo...www.jamiiforums.com
Wengine tuliandika ipo siku watasema sio ziwa tu Nyasa, bali sehemu za Tanzania ni zao.
Kama Ukifuatilia mada yote ndio uelewa kwa nini wengine tulitaka yule Zanzibar-ASP anyofolewe kucha kwa ule upuuzi alioandika.
Hana heshima na mipaka ya Tanzania.