Rais kateleza kutumia lugha za vijiweni kutetea Katiba - Matamko Kurugenzi Ikulu yafanana

Rais kateleza kutumia lugha za vijiweni kutetea Katiba - Matamko Kurugenzi Ikulu yafanana

Hajitambui kwamba yeye ni rais wa nchi... anadhani yuko kijiweni.
Na hili linatokana na kuwa na washauri kama rweyemamu... rejea press release za ikulu zilivyojaa mipasho ya taarabu !
Siku hizi viongozi woote wa ccm hawawezi kujenga na kujibu hoja.... wamejikita zaidi kwenye mipasho na personal attacks; Ni aibu kwamba hata raisi amefikia huko. But it is not surprising... rejea hotuba yake miaka kadhaa iliyopita alivyomshambulia Mgaya wa TUCTA.

Umenena! Pamoja na kutumia lugha isiyostahiki kwa nafasi ya uzito wake kitaifa hali kadhalika mazingira na mazingara aliyotumia kutoa kauli hiyo si kosa kutafsirika kwamba alichomfanyia Tundu Lissu ni personal attacks. Kuna kitu ambacho kimemshinda ndicho uvumilivu, maneno huangamiza zaidi pengine kuliko silaha.
 
Jk ni rais wa kuambiwa
Muswada hajauona wala kuusoma
Hotuba kaandikiwa
JK anaendeshwa na waliomweka
Hana maamuzi binafsi kama rais
Tumsamehe bure.
 
Kunawatu kama chadema wanajifanya hii nchi ni yao ndiyo maana wanataka wao watukane wapigane na kuzua uongo halafu wasiambiwe baada ya jk kuwachana ukweli wao viroho vinawauma.

Kitu alichofanya jk ndicho kinachotakiwa kufanywa na viongozi wote kama ni mbea na mnafiki kama lisu ambiwe ukweli wake hakuna kumchekea ajue mapungufu yake.
 
JK kiatu cha uraisi kinampwaya vibaya sana
Mkuu hayo maumivu anayokupa jk hata kwa maji ya barafu hutayatoa pole bwana vumilia nani kama jk hapa tanzani hana akili kama za wale wazinzi.
 
Mkuu umeeleza jambo ambalo binafsi lilinichanganya kichwa kwani ukiona Rais wa nchi anaongea vile ni wazi watendaji wengine wameoza zaidi. Sio mara ya kwanza kuongea lugha kama hiyo nakumbuka wakati wa Mgomo wa waalimu alimwongelea Mgaya ktk lugha isiyomkidhi Rais wa nchi. Na mengine mengi yaliyokuwa yanaonyesha kwamba amegadhifika. Lazima tuwe makini sana tunapozungumzia mustakabadhi wa taifa letu kiuongozi kwani tunakoelekea ni pabaya zaidi. Mimi ningependekeza vyama vya siasa vitumie utaratibu wa nchi kama Marekani kupata Wagombea wa Urais ili mwisho wa siku tupate cream ya wagombea urais. Kipimo tunachotumia cha kikundi cha watu 10 au 50 kuchagua Rais wa wananchi mil 40 ndio matokeo yake haya.

Unakumbuka kipindi cha Kampeni uchaguzi Mkuu uliopita Kikwete alikimbia na kukataa kata kata kufanya debate na presidential candidates wenzake. Aliogopa udhaifu huu usijejulikana. Viongozi wa aina hii mara nyingi utaona wanakwepa sana maswali toka kwa waandishi na watu mbalimbali. Pia ikibidi wanaambiwa wapeleke maswali kabla wayaone na wakiona pagumu wanakwepa press conference kwa vile hawakosi visingizio.
 
Jk ni rais wa kuambiwa
Muswada hajauona wala kuusoma
Hotuba kaandikiwa
JK anaendeshwa na waliomweka
Hana maamuzi binafsi kama rais
Tumsamehe bure.
Wewe unaendeshwa na nani kwa tarifa yako jana kasaini mtapasuka mwaka huu,
hizi chuki zenu wala hazimstui wewe ungeuza kalanga na mwezako auze mandazi lakini jk siyo saizi yenu.
 
Jk ni rais wa kuambiwa
Muswada hajauona wala kuusoma
Hotuba kaandikiwa
JK anaendeshwa na waliomweka
Hana maamuzi binafsi kama rais
Tumsamehe bure.

Inawezekana hotuba ile aliandikwa na kurugenzi ya habari Ikulu, ndo maana lugha yake haitofautiani na ile mipasho inayotoka kwenye kurugenzi hiyo inapotoa matamko.
 
Kuna mambo mengine Marais wa Nchi huongea kwa kuwa wanajua hakuna mtu yoyote wa kuwafanya kitu chochote...

exactly ila nahisi anayafikiria baada ya kuonekana kuna uwongo ambao alidanganywa,makumbuka wakat anakabidh ambulence aliwai kumkemea mtu hadharan na baadae ikadhihirika,hao watu wake walijikanyaga,,,,,
 
Inawezekana hotuba ile aliandikwa na kurugenzi ya habari Ikulu, ndo maana lugha yake haitofautiani na ile mipasho inayotoka kwenye kurugenzi hiyo inapotoa matamko.

hata watangazaj makanjanja nao wapotumiwa msg na wasikilzaj,wakiona ina maneno makali huwa hawazisomi,sasa kwanini yeye hakuacha????
 
Unakumbuka kipindi cha Kampeni uchaguzi Mkuu uliopita Kikwete alikimbia na kukataa kata kata kufanya debate na presidential candidates wenzake. Aliogopa udhaifu huu usijejulikana. Viongozi wa aina hii mara nyingi utaona wanakwepa sana maswali toka kwa waandishi na watu mbalimbali. Pia ikibidi wanaambiwa wapeleke maswali kabla wayaone na wakiona pagumu wanakwepa press conference kwa vile hawakosi visingizio.
Mkuu utakuwa umevurugwa pakubwa kwa hapa tanzania hakuna kiongozi hata mmoja mwenye uwezo kama jk wa kuchambua mbaswala.

hizi data za kusema jk alikwepa mdahalo ni za uongo na unafiki kama wa lisu hakijawahi kutokea kitu kama hicho slaa mwenyewe akimuona jk nguo zinabana anatafuta pakutokea.
 
Hivi lugha za matusi na kupigana kunakofanywa na biongozi wa chadema unaweza kulinganisha na hotuba mwanana aliyotoa jk.
 
Kunawatu kama chadema wanajifanya hii nchi ni yao ndiyo maana wanataka wao watukane wapigane na kuzua uongo halafu wasiambiwe baada ya jk kuwachana ukweli wao viroho vinawauma.

Kitu alichofanya jk ndicho kinachotakiwa kufanywa na viongozi wote kama ni mbea na mnafiki kama lisu ambiwe ukweli wake hakuna kumchekea ajue mapungufu yake.

bora atukane wa chadema hakuna headlines kuliko akitukana rais,,,,kalaghabahooo
 
Kauli yake hiyo ilishatokea mara kadhaa Kurugenzi ya Habari Ikulu kwa lugha za mitaani za uzandiki nk, pengine naweza kufikiria na kushawishika kwamba iliandikwa hivyo kwa maelekezo yake, vinginevyo hicho alichokisema kwenye hotuba yake angepima kwanza, lakini Mmmmmm, ukubwa nao kazi ndio maana unatakiwa kuwa na washauri mahiri.

Watu wanaokuzunguka wakishajua wewe ni mtu wa aina gani, watajitahidi kufanya yale wanayofikiri utayafurahia hata kama wao binafsi wanajua sio sahihi ila kwa sababu tu wanakuelewa vizuri wanajitahidi kufanya kila jitihada kuhakikisha wanatekeleza kazi yao vizuri.

Huwezi mpelekea mkapa hayo maneno kwenye hotuba, utajiuliza mara mbilimbili, atayapokeaje?
 
Mkuu utakuwa umevurugwa pakubwa kwa hapa tanzania hakuna kiongozi hata mmoja mwenye uwezo kama jk wa kuchambua mbaswala.

hizi data za kusema jk alikwepa mdahalo ni za uongo na unafiki kama wa lisu hakijawahi kutokea kitu kama hicho slaa mwenyewe akimuona jk nguo zinabana anatafuta pakutokea.

ua right,,,ni kweli 2010 JK alishiriki mdahalo,,,,,,
haya kuna lingine?????
Maana unamtetea JK kama amekuahidi kukupa U-DC,
 
Jakaya+Kikwete+at+the+Doha+Conference+earlier+this+month%252C+also+attended+by+Robert+Mugabe.jpg

Kikwete hajaonyesha ukomavu wa kisiasa na kushindwa kujibu hoja badala yake kumshambulia Tundu Lissu kwa lugha za vijiwe kitu kisichokubalika kwa nafasi na heshima yake kama Rais. Lugha hii aliyotumia hapa chini katika nukuru pengine amehamasika na labda kuelekezwa namna ya kujibu kwa vile amezoea ya kuambiwa bila kufanyia utafiti kujiridhisha na kile anachoambiwa.

Kwa namna nyingine lugha aliyotumia si ya kiwango chake na kwa nafasi yake na kabisa anapolihutubia taifa, amejiruhusu kushuka chini mno kiasi cha kutoa lugha isiyostahiki kwa jamii na pengine si kile kilichotazamiwa na watanzania walio wengi kusikia live toka kwake mwenyewe.

Kwenye kumbukumbu zangu zimetokea lugha za vijiweni toka Kurugenzi ya Habari Ikulu inapotoa matamko ya utetezi mara kadhaa, na lugha hizo zilizotumika hazitofautiani sana na hii ambayo Kikwete ameitoa safari hii kwenye hotuba yake ya Mwisho wa Mwezi alipoamua kumtolea uvivu Mbunge na Mnazimu Bungeni Tundu Lissu.

Kama nilivyoainisha mara moja kuhusu Dr Slaa katika mada mojawapo hapa juu kuhusu kupima lugha ambayo inatakiwa kama kiongozi mwenye nafasi kubwa kitaifa kutuliza kichwa na kutoa kitu ambacho kinaonekana hekima, busara na uvumilivu kuwepo.

Hivyo basi Kikwete naye kama rais wa nchi hii kauli aliyotoa hailingani na nafasi, wajibu, hekima na busara kwa nafasi aliyo nayo na wakati alipoitoa. Kwa nchi zilizopaa kidemokrasia hiyo lugha ingekuwa gumzo kubwa na pengine kuwa ni kashfa kitaifa, lakini kwa kuwa tumezoea basi tunaendelea na mazoea.

Mimi sikustuka maana ninafaham fika Taasisi ya Urais kwa Tanzania inaongozwa na mtu mwenye upeo wa kutatanisha kidogo, Mungu inusuru nchi yetu katika kipindi ambacho tunaongozwa na mteule wa Tume ya Taifa ya uchaguzi
 
Mkuu utakuwa umevurugwa pakubwa kwa hapa tanzania hakuna kiongozi hata mmoja mwenye uwezo kama jk wa kuchambua mbaswala.

hizi data za kusema jk alikwepa mdahalo ni za uongo na unafiki kama wa lisu hakijawahi kutokea kitu kama hicho slaa mwenyewe akimuona jk nguo zinabana anatafuta pakutokea.

Sioni sababu ya kuendelea kujadiliana nawe wakati unatetea kitu kilicho wazi ambacho Kikwete na CCM walikataa kata kata midahalo uchaguzi Mkuu uliopita, nadhani kwa kauli yako ni kundi moja na taswira za kikwete ndio maana huoni aibu kutamka kitu kisicho na ukweli.
 
Jakaya+Kikwete+at+the+Doha+Conference+earlier+this+month%252C+also+attended+by+Robert+Mugabe.jpg

Kikwete hajaonyesha ukomavu wa kisiasa na kushindwa kujibu hoja badala yake kumshambulia Tundu Lissu kwa lugha za vijiwe kitu kisichokubalika kwa nafasi na heshima yake kama Rais. Lugha hii aliyotumia hapa chini katika nukuru pengine amehamasika na labda kuelekezwa namna ya kujibu kwa vile amezoea ya kuambiwa bila kufanyia utafiti kujiridhisha na kile anachoambiwa.

Kwa namna nyingine lugha aliyotumia si ya kiwango chake na kwa nafasi yake na kabisa anapolihutubia taifa, amejiruhusu kushuka chini mno kiasi cha kutoa lugha isiyostahiki kwa jamii na pengine si kile kilichotazamiwa na watanzania walio wengi kusikia live toka kwake mwenyewe.

Kwenye kumbukumbu zangu zimetokea lugha za vijiweni toka Kurugenzi ya Habari Ikulu inapotoa matamko ya utetezi mara kadhaa, na lugha hizo zilizotumika hazitofautiani sana na hii ambayo Kikwete ameitoa safari hii kwenye hotuba yake ya Mwisho wa Mwezi alipoamua kumtolea uvivu Mbunge na Mnazimu Bungeni Tundu Lissu.

Kama nilivyoainisha mara moja kuhusu Dr Slaa katika mada mojawapo hapa juu kuhusu kupima lugha ambayo inatakiwa kama kiongozi mwenye nafasi kubwa kitaifa kutuliza kichwa na kutoa kitu ambacho kinaonekana hekima, busara na uvumilivu kuwepo.

Hivyo basi Kikwete naye kama rais wa nchi hii kauli aliyotoa hailingani na nafasi, wajibu, hekima na busara kwa nafasi aliyo nayo na wakati alipoitoa. Kwa nchi zilizopaa kidemokrasia hiyo lugha ingekuwa gumzo kubwa na pengine kuwa ni kashfa kitaifa, lakini kwa kuwa tumezoea basi tunaendelea na mazoea.

Hotuba kaandikiwa, na mengine kaelexwa na kuambiwa na hiyo hiyo Kurugenzi. Full stop.
 
Back
Top Bottom