TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kweli katika hotuba ya rais hakuna mahali alipoonyesha wazi uongo wa Lisu juu ya kutoheshimiwa kwa maoni ya TEC, CCT, na wengine. Nilitegemea rais aseme hivi (ilikudhibitisha uongo wa Lisu), ...."TEC, CCT, n.k walipendekeza hivi na wakatoa majina haya..nami mimi kama rais kwa fursa niliyonayo ni chagua majina haya kutoka kwenye orodha zao..." hiki kitu hakikuonyeshwa na rais...katika maelezo yake. Labda kama kuna aliyekiona/ sikia katika hotuba yake anaijuze