Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
Kumbuka JK ni Raisi mkuu....
Rais anapaswa kuwa mwazi na mkweli kama anavyofanya JK. Tundu Lissu ni mtovu wa nidhamu, mzandiki, mnafiki, mwongo na mzushi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka JK ni Raisi mkuu....
Mkuu utakuwa umevurugwa pakubwa kwa hapa tanzania hakuna kiongozi hata mmoja mwenye uwezo kama jk wa kuchambua mbaswala.
hizi data za kusema jk alikwepa mdahalo ni za uongo na unafiki kama wa lisu hakijawahi kutokea kitu kama hicho slaa mwenyewe akimuona jk nguo zinabana anatafuta pakutokea.
Hivi lugha za matusi na kupigana kunakofanywa na biongozi wa chadema unaweza kulinganisha na hotuba mwanana aliyotoa jk.
Inawezekana utotoni alikuwa mtu kukaa sana vijiweni!!
Sioni sababu ya kuendelea kujadiliana nawe wakati unatetea kitu kilicho wazi ambacho Kikwete na CCM walikataa kata kata midahalo uchaguzi Mkuu uliopita, nadhani kwa kauli yako ni kundi moja na taswira za kikwete ndio maana huoni aibu kutamka kitu kisicho na ukweli.
exactly ila nahisi anayafikiria baada ya kuonekana kuna uwongo ambao alidanganywa,makumbuka wakat anakabidh ambulence aliwai kumkemea mtu hadharan na baadae ikadhihirika,hao watu wake walijikanyaga,,,,,
au aliimba sana taarabu na mchiriku
Rais anapaswa kuwa mwazi na mkweli kama anavyofanya JK. Tundu Lissu ni mtovu wa nidhamu, mzandiki, mnafiki, mwongo na mzushi
Umenikumbusha mkuu.....Lazima tubadilike, sio kuwa na viongozi tusioweza kuwatofautisha na vijana na vijiweni. Lazima kiongozi awe na nidhamu ya uongozi na sio kuropoka kama mtoto mdogo.Unakumbuka kipindi cha Kampeni uchaguzi Mkuu uliopita Kikwete alikimbia na kukataa kata kata kufanya debate na presidential candidates wenzake. Aliogopa udhaifu huu usijejulikana. Viongozi wa aina hii mara nyingi utaona wanakwepa sana maswali toka kwa waandishi na watu mbalimbali. Pia ikibidi wanaambiwa wapeleke maswali kabla wayaone na wakiona pagumu wanakwepa press conference kwa vile hawakosi visingizio.
Hapa lugha ya kijiweni iko wapi?
"... Mheshimiwa Tundu Lissu alitoa maoni yake."
"Siyo tu kauli ya Mheshimiwa Tundu Lissu ni uzushi na uongo mtupu, bali pia ni ya unafiki, fitina na uzandiki wa hali ya juu."
"... (K)wa Mheshimiwa Tundu Lissu kudai kuwa mapendekezo ya TEC na CCT hayakuheshimiwa ni uongo wa mchana usiokuwa na kichwa wala miguu."
"Kama ni kwa sababu za Mheshimiwa Tundu Lissu nimeshasema hazina ukweli wowote."
kwani Tindu Lissu siyo mzushi, mwongo na mnafiki?
Mkuu ngoja nikujulishe jambo moja, lugha za "mzandiki, mnafiki, mwongo na mzushi" hazimaanishi ukweli na uwazi. Na vilevile sifurahishwi sana na mheshimiwa Tundu Lissu anavyopambana na Rais japo hoja zake ni za msingi.
Unapokua na wadhifa mkubwa kama wa JK lazima uangalie na uwe makini sana na maneno unayoyatumia.
Kuna mambo mengine Marais wa Nchi huongea kwa kuwa wanajua hakuna mtu yoyote wa kuwafanya kitu chochote...
Mi sishangai kwa sanabu Kikwete ni mwimba taarabu kama mzee nani yule.... Huyu wa jahazi. Tena JK ana mp3 kabisa inaitwa neno.