Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hivi wenzetu hamuwajui vizuri wakenya? Ingekuwa rahisi hivyo Bakhressa angekuwa tayari ana kiwanda kikubwa hukoTwende tukafungue kwao tusage unga tuwapige mabei ya kufwa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wenzetu hamuwajui vizuri wakenya? Ingekuwa rahisi hivyo Bakhressa angekuwa tayari ana kiwanda kikubwa hukoTwende tukafungue kwao tusage unga tuwapige mabei ya kufwa mtu
Sio kweli, watakimbiliaa Brazil, hukuona wakati ule wanazungumzia mahindi yetu Yana sumu Mara Yana bei kubwa Sana, haoo wakakimbilia kununua mahindi brazilsisi ndio wenye mahindi. we can force them
Ni kweli wao wanataka mahindi siyo unga Ili watengeneze kulingana na standard zao, unga upo pia japo bado standard za kwetu ni duni sana huwezi kusagia watu unga wa kupikia Kama vile unasagia wanyama yaani unga ni maparata matupu, ukiamua kuchekecha kwenye kilo tano unapata kilo moja na mengine ni maparata ya kuwapa wanyama.Wao wanataka mahindi siyo unga!
Huu Sasa nj uongo, unga wa Kenya wanaosaga kula ugali hauna na wa huku Tz. Sizungumzij unga ule unaaouzwa supermarket kwa kuwa hata huku unga wa supermarket ni mzuri sanaNi kweli wao wanataka mahindi siyo unga Ili watengeneze kulingana na standard zao, unga upo pia japo bado standard za kwetu ni duni sana huwezi kusagia watu unga wa kupikia Kama vile unasagia wanyama yaani unga ni maparata matupu, ukiamua kuchekecha kwenye kilo tano unapata kilo moja na mengine ni maparata ya kuwapa wanyama.
Magufuli hakuwa mtu wa kawaida,hata wanaomshangilia hadi leo,yapaswa wakamatwe kinguvu wakapimwe akiliHili ni moja kati ya mambo niliyotaka yafanyiwe kazi, kumbe yale mahindi hayakuwa na sumu ni ulipaji kisasi tu cha kile Magufuli alichowafanyia wakenya kwa kuku wao, Samia kaenda kupata Suluhu.
Wasukuma mlituharibia nchi na mungu wenuSumu imeisha?
Mwendazake alikuwa mweupe kichwaniMwendazake aliendesha nchi kwa utemi na ugumu ugumu mno, unaona sasa kumbe mambo ni laini hivi....
Mkuu hizi hoja unazileta leo 2021?, mwaka 1985 Mzee Mwinyi alipoapishwa kuwa rais wa pili ya Jamhuri ya Muungano ulikuwa wapi?.Hakuna uwezekano wa Rais wa Zanzibar kuwa Mtanganyika.. lakini uwezekano wa Mzanzibari kuwa rais wa Tanzania ambayo ni kama Tanganyika upo je swala la vitu ambavyo si vya muungano na ambavyo vipo ndani ya mipaka ya Tanganyika inakuwaje Mzanzibari kuanza kutia sahihi na kuanza kuuza mfano Gas na Mafuta havipo ktk mambo 22 ya muungano.
Leo ukianimbia sijui Samia ni Rais wa jamuhuri ya muungano ya Tanzania haya eneo ya ilo jamuhuri ni wapi? Watuonyeshe tu kwamba hapa ni Eneo la Jamuhuri hapa kwa maana sifa ya Taifa au Serikali lazima iwe na eneo na mipaka yake eneo la Zanzibari linajulikana kila mtu analijua.
Ime disolve kwenye Nitrogen peroxide na kutoa white fumeSumu imeisha?
Haya ndo mapungufu tena ni makubwa sana wanasema jamuhuri ya muungano ambayo aina ardhi au eneo lake eneo lake ni Tanganyika lakini Zanzibar inakuwa kama nchi ambayo Mtanganyika hana haki zote ikiwemo kupata vitambulisho vya ukazi lakini kwenye eneo la Mtanganyika mzanzibari ana haki zote za kufanya anachotaka
IMF wametoa hela lini hivi karibuni...hii nchi inaangamia kwa kukosa maarifaIngawa si mwehu, ila ametia sana hasara, na kuaribu mahusiano, ona leo IMF awanatoa fedha kwa haraka wakati wa jiwe akiomba apati kitu.
Bunge lijadili tena umuhimu wake kwa uhuru si kujipendekeza kulikofanywa!
Wakenya hawatakubali maana hayo mahindi wanasafirisha Sudan kusini na nyie pimbi watanzania hamtakuwa na cha kufanyaTunarudi tena kufanya export ya uhakika
Ushauri naomba tuwekeze kwenye viwanda vya sembe tuwe tunapeleka unga sio mahindi.
Nimekuelewa!Wakenya hawatakubali maana hayo mahindi wanasafirisha Sudan kusini na nyie pimbi watanzania hamtakuwa na cha kufanya
Kipindi kile mliasapoti sana etii oooh wale Wanahangaika tuu wanatutegemea sana Tanzania 🤣🤣🤣, Mamb ya economic hayahitaji nguvu kubwa.Hii ni habari njema kwa wakulima wa mahindi kwamba mzigo wao uliozuiliwa mpakani utaingia nchini Kenya ndani ya wiki mbili zijazo na hapatakuwepo na usumbufu tena.
Rais Uhuru amemtaka waziri wake kusimamia hilo.
Rais Samia amesema Kenya wana bahati wanaye Uhuru atakeyewaletea Uhuru wa kufanya biashara na yeye Suluhu ataleta Suluhisho.
Kazi Iendelee!
===
President Uhuru Kenyatta has on Wednesday May 5, ordered the relevant authorities to clear the barriers that have prevented the flow of trade at the borders in over a month with immediate effect.
While addressing the high level business forum between Tanzania and Kenya held today May 05, 2021 at the Serena Hotel, Nairobi, President Uhuru Kenyatta asked his Agricultural Minister to make sure that the maize that is stranded at the borders are cleared in two weeks.
|”I know you intend to have a meeting in four weeks time but there are things that cannot wait any longer. So make sure in the coming two weeks all maize at the border is cleared,” he said.
Speaking on trade issues between the two countries, President Kenyatta said sometimes Tanzanians get hard time when they want to do business in Kenya because of the protocols.
Kenyatta said he wants to set good environment for investors from Tanzania to invest in Kenya, “from now on you can come and invest here in without asking for work permit and visas as long as you follow the country’s laws.”
He also asked the minister of health to clear cars from Tanzania that are stranded at borders of Holili and Namanga.
“If the issue is Covid-19 why don’t the ministers of health meet and discuss how they will deal with the tests so that it doesn’t affect business sector. If they get tested in Tanzania and they come with certificates allow them to travel in Kenya because this is among the issue we have agreed with my sister President Samia,” he added.
Source: President Kenyatta orders quick clearance of maize stranded at border
Sisi hatujapewa kitu kiongozi bali mahindi yatauzwa Kenya kama kawaida hilo ni suala la kibiashara na sio kupeanaipo siku yatagaga watatuweka wazi hizi offer tunazo zipata kwa sabab zisizo eleweka
sisikii tz imetowa nin bali imepewa tu
Nani pimbi jombaa? Usilete NGEBE zako aseeeWakenya hawatakubali maana hayo mahindi wanasafirisha Sudan kusini na nyie pimbi watanzania hamtakuwa na cha kufanya
mada nzuri mkuu ungeandika uzi wake ingependeza zaidi mkuu, hapa tutachanganyaHakuna uwezekano wa Rais wa Zanzibar kuwa Mtanganyika.. lakini uwezekano wa Mzanzibari kuwa rais wa Tanzania ambayo ni kama Tanganyika upo je swala la vitu ambavyo si vya muungano na ambavyo vipo ndani ya mipaka ya Tanganyika inakuwaje Mzanzibari kuanza kutia sahihi na kuanza kuuza mfano Gas na Mafuta havipo ktk mambo 22 ya muungano.
Leo ukianimbia sijui Samia ni Rais wa jamuhuri ya muungano ya Tanzania haya eneo ya ilo jamuhuri ni wapi? Watuonyeshe tu kwamba hapa ni Eneo la Jamuhuri hapa kwa maana sifa ya Taifa au Serikali lazima iwe na eneo na mipaka yake eneo la Zanzibari linajulikana kila mtu analijua.