wao tayari wana backup ya serikali yao..
yaani wafanya biashra wakikenya, serikali ipo nyuma yao kuwasapot kwa kila jambo tofauti na sisi, serikali hututelekeza kama yatima..
ukiwa tanzania, km chache kabla hujafika mpakani mwa tanzania na kenya, tayr unapokea text upo kenya, wakt vice versa haipo hivyo.
tuna bank gani kwao? wao wanazo huku kwetu wakishindana na hizi zetu. Uhur au mzalendo lipo kenya kama citizen la kwao huku?
sikatai ushindani kwamba waje, ila na sisi intellijensi yetu ijipange kuwasapot wafanya biashar watanzania kwanza, kabla ya kufungua hizo permit