Rais Kenyatta aruhusu Watanzania kuanza kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na Work Permit wala Business visa

Rais Kenyatta aruhusu Watanzania kuanza kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na Work Permit wala Business visa

Wewe muuza madawa utamuota sana Jiwe mpaka uingie kaburini alivyokufanya hutamsahau. Lakini sahau kurudi kwenye biashara hiyo ya madawa. Kuhusu Kenya wewe akili kichwani huna. Unafikiri wewe utaweza kwenda kufanyakazi Kenya bila vikwazo nchi ya kibaguzi hivyo utakwenda kufanyakazi kwenye Kampuni ya Mkenya!! Labda iwe International Organization!! Wengine tumefanyakazi huko kwenye International Org. tunapajua vika jinsi walivyowabaguzi.
Punguza upuuzi wako wewe mtoto wa mama.
Naandika hii post nipo Kenya na shughuli zangu nazifanyia hapa Kenya .

Huu ni mwaka wa 6 na shughuli zangu zinaenda bila tatizo lolote.
Punguzeni majungu ili mjitafutie ridhiki zenu.
 
UWOGA WAKO NDIO UMASIKINI WAKO.
utajifungia kwenye BOKSI mpaka lini?!!

Ndugu zangu acheni uwoga wa kizamani, changamkieni fursa, punguzeni maneno maneno tufanye kazi kwa bidii, biashara sasa zipo wazi,.
Kenya fursa ya kupeleka na kuchukua biashara kuleta TZ zipo,lkn sio ajira
 
Roho mbaya yenu ndio inafanya kampuni za Tanzania ziwe chache,imagine mtu ana usd 130 mln anataka kuwekeza kwenu lakini hamtaki eti sababu tu ni Mtanzania,unadhani jamaa angecreate ajira ngapi kwa wakenya!rostam ana makampuni south africa,uk,dubai lkn kenya hapo pamekua pagumu!
Hakuna cha roho mbaya bali ni uvivu wenu wabongo.
 
Ni kweli, lakini Elimu inakusaidia kuwa na wigo mpana , to think out of the box , kuwa creative pia unakua unajiamini na biashara yako kwq kuwa unaelewa protocols nzima za masoko na nini kufanya kusogea mbele kibiashara
Nakubaliana na wewe
 
Hakuna cha roho mbaya bali ni uvivu wenu wabongo.
Ina maana rostam alietaka kuwekeza kenya mpaka anazungushwa ni mvivu!hlf usikariri watz sio wavivu labda wewe peke yako,we r hard working hamna mfano ukanda huu na ndio kwenye halali na haramu tunaongoza kimapambano,mbongo kwenye fursa hajiweki nyuma hata,nenda migodini huko uone wake kwa waume wa kitanzania wanavyopambania,mashambani ndio usiseme,kabla ya corona ungejaribu siku 1 ukaone ile ethiopia airline wabongo wanavyojazana safari za ghuangzhou
 
Punguza upuuzi wako wewe mtoto wa mama.
Naandika hii post nipo Kenya na shughuli zangu nazifanyia hapa Kenya .

Huu ni mwaka wa 6 na shughuli zangu zinaenda bila tatizo lolote.
Punguzeni majungu ili mjitafutie ridhiki zenu.
Haya niambie Kenya sehemu gani mkuu? Au wewe ni Mkenya!! I have been there for years I know them very well!!
 
Biashara sawa lkn sio ajira,kenya ajira ngumu kwa mkenya mwenyewe ndio ije kuwa mtanzania!
Achana nao hao wengine kazi kulalamika tu

Kenya wamejivua lawama kuwa nsiseme ohh permit ngumu kupata ohh visa ngumu kupata .Haya njooni mfanye kazi au biashara zenu free bila kisingizio .

KENYATTA KAFANYA JAMBO KUBWA
 
Watz wengi hawajawahi kufika hata hapo kenya, hawajui the impact itakayotokea once wakifanya wanachotaka kufanya. Wakenya wenzetu Sijui walimpa nini Mungu , wako very sharp kichwani, wana akili za kutisha na ni quick learner , mkenya unaweza kumuweka kwenye kazi ambayo hajasomea ukamtrain within a short period of time akawa maste kuliko hat waliosomea. Huyu Mama Sijui anatupeleka wapi , tufanye tu uchaguzi kwa kqeli tunahitaji kiongozi makini sana
Vile ninavyo ona ni wakati hizi nchi mbili zilipopata uhuru wale viongozi wa enzi hizo had different ideologies for their respective nation.

Thats the only thing that makes sense to me.
 
Kenya ni Giants wa Viwanda na Biashara

kwnye ulimwengu wa boxing huwezi mchukua Heavy weight ukampambanisha na lightweight. lazma umlinde huyu dhaifu hadi atakapo komaa ndio uwapambanishe..

katika kujibu swali lako, sio kwakua tulikosea basi tuendelee kukosea. Wanachokitaka Kenya ni sisi kuwa soko kwao, sio ushindani, maana hatuna products za kuuza kwao.

Sipingi kwamba tusiwape free permit kama walivyoomba, ila kabla hatujawapa lazmma tuniandae na kutengeneza sera za kuwalinda wafanyabiashr, wafanyakzi na viwanda vyetu dhidi yao.

hilo tu
mkuu acha waje watuamshe , tumelala sana , sio kosa la jamii bali ni kosa la kisera zaidi ,
ndo sababu leo wenzetu ni ma giant wa viwanda wakati kipindi fulani huko nyuma tuliwahi kuwa sawa
leo hii mkuu wa wilaua anakwenda kuharibu shamba la maua la mkulima kwa sababu za kisiasa halafu kesho tunadhangaa kwa nini wakenya wanaexport maua kwa wingi kwenda nje, tumelogwa
 
Kigelegele kwa Kenyatta aruhusu watanzania kuanzia sasa ruksa kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na work permit wala Business visa.

Kasema mida hii mkutano wa wafanya biashara.

---
Tanzanian investors intending to set up businesses in Kenya will not be asked for visas or work permits, President Uhuru Kenyatta has announced.

This comes as the first step in the removal of non-tariff barriers between the two countries that were announced on Tuesday, May 4, 2021.

“Tanzanians are free to engage in business transactions without VISAs or work permits provided all laws of the land are adhered to,” said President Kenyatta.

“The East African Community has opened our borders and have unlocked opportunities for the free movement of goods, services and products. Trade within our countries has thrived but we must accept it is yet to reach the level we expect.”

President Kenyatta who spoke during a business forum attended by Kenyan and Tanzanian businessmen and women commissioned the Kenyan Ministry of Trade to ensure that all agreements signed between the two nations worked.

“The prosperity for our two countries hinges on creating a conducive business environment and growing mutually beneficial trade. Kenya and Tanzania enjoy cordial relations going back to our pre-independence days,” said Kenyatta.

President Kenyatta also ordered the release of maize held at the Tanzania border within two weeks and the harmonization of Covid-19 testing to reduce congestion.

On the other hand, visiting President of Tanzania Samia Suluhu urged Tanzanian investors to leverage on the technological advancements in Kenya.

“There is an opportunity for Tanzania to leverage on Kenya’s technology. I urge Kenyan and Tanzanian investors to establish partnerships. Real development is realised when we develop together. The private sector is key in driving economic growth,” added Suluhu.

“Tanzania is highly committed to seeing a vibrant private sector capable of facing the challenges of the global economy through our industrialization drive.”

Source: Tanzanians Free To Do Business In Kenya Without Work Permits, Visas – President Uhuru Kenyatta


Hotuba yake hii hapa

Nyie enzi za mtu wenu mlikuwa mnafurahia kila ujinga aliokuwa anafanya

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Jiwe aliharibu kila sehemu na wafuasi wake kama wewe mkawa mnashangila kama vile makasuku tu.
Walishikilia wimbo wa kipumbavu walioutunga chato, eti wanyinge sijui nini na nini huko
 
Kigelegele kwa Kenyatta aruhusu watanzania kuanzia sasa ruksa kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na work permit wala Business visa.

Kasema mida hii mkutano wa wafanya biashara.

---
Tanzanian investors intending to set up businesses in Kenya will not be asked for visas or work permits, President Uhuru Kenyatta has announced.

This comes as the first step in the removal of non-tariff barriers between the two countries that were announced on Tuesday, May 4, 2021.

“Tanzanians are free to engage in business transactions without VISAs or work permits provided all laws of the land are adhered to,” said President Kenyatta.

“The East African Community has opened our borders and have unlocked opportunities for the free movement of goods, services and products. Trade within our countries has thrived but we must accept it is yet to reach the level we expect.”

President Kenyatta who spoke during a business forum attended by Kenyan and Tanzanian businessmen and women commissioned the Kenyan Ministry of Trade to ensure that all agreements signed between the two nations worked.

“The prosperity for our two countries hinges on creating a conducive business environment and growing mutually beneficial trade. Kenya and Tanzania enjoy cordial relations going back to our pre-independence days,” said Kenyatta.

President Kenyatta also ordered the release of maize held at the Tanzania border within two weeks and the harmonization of Covid-19 testing to reduce congestion.

On the other hand, visiting President of Tanzania Samia Suluhu urged Tanzanian investors to leverage on the technological advancements in Kenya.

“There is an opportunity for Tanzania to leverage on Kenya’s technology. I urge Kenyan and Tanzanian investors to establish partnerships. Real development is realised when we develop together. The private sector is key in driving economic growth,” added Suluhu.

“Tanzania is highly committed to seeing a vibrant private sector capable of facing the challenges of the global economy through our industrialization drive.”

Source: Tanzanians Free To Do Business In Kenya Without Work Permits, Visas – President Uhuru Kenyatta


Hotuba yake hii hapa


Mtego huu...mama awe mwangalifu. Sio kirahisi rahisi hivi
 
Back
Top Bottom