Pedi in nnAisee hii hatari sasa. Hivi Pedi ndilo hitaji la muhimu kwa wakenya? Kwanini asiwawezeshe wakenya waweze kununua pedi?
Yaani wakenya wanautoto fulani.
Taulo za kikePedi in nn
Most of Kenya news ...nazipata hapa...Taulo za kike
Nani ametuc mwingineSasa unapotoa matusi unataka tukusaidie nini?
Hahahaha!! Nimesema uwezo wa wakenya kufikiri ni mdogo sana. Hivi pads ndicho kipaumbele cha msingi? Ndio maana Tanzania inasita kidogo kwenye hii EAC mpaka Kenya watakapopatikana viongozi wanaojali maisha ya waafrica.Nani ametuc mwingine
Acha ujinga wewe mzee. Haya ni mambo madogo madogo ambayo yana impact kubwa kwa mwanafunzi wa kike. Suluhisho la mwanafunzi kukosa kufika shuleni limepatikana. Inamaanisha kwamba baadae ataweza kujikimu kimaisha kama ataaendelea kusoma bila hitilafu. Wewe mwanaume mzima mambo ya pedi yanakuwashia nini?Hahahaha!! Nimesema uwezo wa wakenya kufikiri ni mdogo sana. Hivi pads ndicho kipaumbele cha msingi? Ndio maana Tanzania inasita kidogo kwenye hii EAC mpaka Kenya watakapopatikana viongozi wanaojali maisha ya waafrica.
Hiyo ni moja ya mradi wa kula pesa za serikali. Mtakuja kuambiwa kila mwezi serikali inatumia $1billion. Amkeni wakenya acheni kujinga.
Badala ya kuwapa pads wapatieni chakula wale washibe. Hizo pads zina mbadala wake wanaweza wakatumia vitambaa. Lakini njaa haina baunsa.Acha ujinga wewe mzee kama mwanafunzi wa kike anakosa kufika shuleni na performance yake inakuwa affected. Hili ni suluhisho la kuhkikisha kwamba baadae hawa wanafunzi watakuwa na uwezo wa kujikimu kimaisha. Huna hoja wewe mwanaume mzima mambo ya pedi yanaakuwashia nini?
Hili ndilo tatizo lenu wakenya, kutotumia utafiti katika kufikia maamuzi ya miradi ya serikali, kila mtu anasema vile mawazo yake yanavyomtuma, matokeo yake miradi mingi inayotekelezwa na serikali yenu inakuwa haifanyiki ipasavyo, au ni ghali sana, au sio kipaumbele. Jaribu kupanga vipaumbele vya primary education hapa Africa katika haya yafuatayo; vyumba vya madarasa, desks, vitabu, chakula, maji, umeme, laptops, nyumba za walimu, vifaa vya kufundishia, pedi za kike, na masilahi ya walimu.Acha ujinga wewe mzee kama mwanafunzi wa kike anakosa kufika shuleni na performance yake inakuwa affected. Hili ni suluhisho la kuhkikisha kwamba baadae hawa wanafunzi watakuwa na uwezo wa kujikimu kimaisha. Huna hoja wewe mwanaume mzima mambo ya pedi yanaakuwashia nini?
Nani amekuambia wako na njaa,Badala ya kuwapa pads wapatieni chakula wale washibe. Hizo pads zina mbadala wake wanaweza wakatumia vitambaa. Lakini njaa haina baunsa.
Always hunaga pointHili ndilo tatizo lenu wakenya, kutotumia utafiti katika kufikia maamuzi ya miradi ya serikali, kila mtu anasema vile mawazo yake yanavyomtuma, matokeo yake miradi mingi inayotekelezwa na serikali yenu inakuwa haifanyiki ipasavyo, au ni ghali sana, au sio kipaumbele. Jaribu kupanga vipaumbele vya primary education hapa Africa katika haya yafuatayo; vyumba vya madarasa, desks, vitabu, chakula, maji, umeme, laptops, nyumba za walimu, vifaa vya kufundishia, pedi za kike, na masilahi ya walimu.
Hivi mlishanya tafiti zozote zilizoonyesha kwamba pedi za kike zinachangia kwa % ngapi wa utoro wa wanafunzi?, hivi mnaweza kulinganisha na njaa?
Jibu swali nimeuliza swali?Pads
Always hunaga point
Kipi bora kati ya Pads na hikiNani amekuambia wako na njaa,
mkiona njaa turkana mnadhani ni kenya yote,stupid
wewe ndio akili yako bado sana ,maana maadam wewe upo kwenye AC HUJUI ATHARI ZINAZOWAKABILI WASICHANA WETU WANAPOKUWA KWENYE MPs,sometimes tumia kichwa kufikiri sio miguuHahahaha!! Nimesema uwezo wa wakenya kufikiri ni mdogo sana. Hivi pads ndicho kipaumbele cha msingi? Ndio maana Tanzania inasita kidogo kwenye hii EAC mpaka Kenya watakapopatikana viongozi wanaojali maisha ya waafrica.
Hiyo ni moja ya mradi wa kula pesa za serikali. Mtakuja kuambiwa kila mwezi serikali inatumia $1billion. Amkeni wakenya acheni kujinga.
Kwani mimi nakataa kuwa wanakuwa na matatizo kipindi hicho? Lakini kweli hilo ndilo tatizo la msingi?wewe ndio akili yako bado sana ,maana maadam wewe upo kwenye AC HUJUI ATHARI ZINAZOWAKABILI WASICHANA WETU WANAPOKUWA KWENYE MPs,sometimes tumia kichwa kufikiri sio miguu