washa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 626
- 370
Rais Uhuru Kenyatta amesaini muswada ambao sasa utakuwa sheria kamili, inayoitaka serikali kugawa pedi bure kwa wanafunzi wa kike nchini humo.
Hapa kwetu ushauri kama huu ulipoletwa bungeni na Mh. Upendo, jamaa wale waliukunjakunja na kuutupilia mbali.
Hivi sisi tunatatizo gani ktk kupanga masuala yanayohusu ustawi wa watu wetu?...
Hapa kwetu ushauri kama huu ulipoletwa bungeni na Mh. Upendo, jamaa wale waliukunjakunja na kuutupilia mbali.
Hivi sisi tunatatizo gani ktk kupanga masuala yanayohusu ustawi wa watu wetu?...