pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Nieleze ni shule gani hiyo huku Kenya ambayo wanafunzi hawali chakula shuleni? Kenya wanafunzi huwa hawarudi nyumbani saa saba. Hiyo ni kupoteza muda bure. Muda ambao wangekuwa wanautumia kwa mambo ya manufaa kwao. Huna hoja ni ushamba tu.Badala ya kuwapa pads wapatieni chakula wale washibe. Hizo pads zina mbadala wake wanaweza wakatumia vitambaa. Lakini njaa haina baunsa.