Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Njaa ni mwalimu mzuri sana. Magufuli asinge funga vianzo vya chakula Kenya bado mungesikia maringo na majivuno mengi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukiwa tunadeal na waKenya tunakua waTz tukikutana wenyewe ndiyo tunakua ccm, chadema, nccr, wasio na vyama n.k.
Wanapambana kwenye kupima ili wawafikie uingereza idadi ya maambukizi.Tatizo hata mfanyeje hamuwezi kuwa waingereza (wazungu) mtabaki kuwa nyang'au tu.
Mbowe na Zitto walikuwa pamoja na KenyaTukiwa tunadeal na waKenya tunakua waTz tukikutana wenyewe ndiyo tunakua ccm, chadema, nccr, wasio na vyama n.k.
What matters is the fact that, there is big number of new infections recorded daily, that needs measures to curb the spread need to be tightened not otherwiseIt's no brainer that the more you increase on the number of tests, the possibilities of having an increased number of infected persons!..
Uganda wamepima watu wengi kuliko Kenya, mbona maambukizi ni machache?Wewe ndio unasema vipimo vinakuja na maambukizi wala sio Mimi. Kukiwa na wale ambao washaa ambukizwa bila ya kupima utaona ni Kama hakuna maambukizi. Ukipima wachache, vilevile utapata idadi chache. Inamaanisha ukiongeza vipimo ndio uwezekano ya kunasa wengi wa waathiriwa.
Kuna uwezekano kweli maambukizi yameongezeka au vipimo fake vimeongeza idadi ya wagonjwa ambao ni wazima.Ndio maambukizi yameongezeka lakini sio kama vile hakungekuwa na hizo hatua zikizowekwa. Halafu ukumbuke idadi ya vipimo vimeongezwa hapo lazima idadi ya waathiriwa itaenda juu!..
Hakuna mtu anaweza jua idadi kamili ya maambukizi mahali pale popote duniani. Lakini kwa kupima waweza kadiria na kujua ni wapi waathiriwa ni wengi!
Hakuna mtu anaweza jua idadi kamili ya maambukizi mahali pale popote duniani. Lakini kwa kupima waweza kadiria na kujua ni wapi waathiriwa ni wengi!
Woi! 🤣🤣
Awakumbushe na kupiga ngungu- Rais alisema serikali imeafikia uamuzi wa kuwa haiwezi kuendelea kuwafungia watu
- Alisema sasa itafikia wakati wa watu wenyewe kujilinda dhidi ya maambukizi ya coronavirus
- Nchi jirani ya Tanzania ni mojawapo wa zile ambazo hazikufunga shughuli zake za kuchapa kazi kwa ajili ya covid-19
Rais Uhuru Kenyatta ameashiria huenda 'curfew' iliyowekwa ikafunguliwa baada ya kukamilika wiki ijayo siku 21 zilizowekwa zikikamilia.
"Tumeona sisi kama serikali kuwa hatuwezi kuendelea kuwa na lockdown . . . na 'curfew'. Sasa ni lazima Wakenya warudi kwenye makazi yao na shughuli zao," Rais alisema.
Rais alisema sasa nijukumu la Wakenya kuhakikisha kuwa maambukizi ya coronavirus yanakabiliwa wakati ambapo taifa litafunguliwa.
"Sasa kwa sababu hatuwezi kuendelea na kufunga, tukifungua, halafu ugonjwa huu uendelee ujue ni wewe, na mimi na Matiang'i kuhakikisha kuwa tunalinda kila mmoja," alisema Rais.
Rais Uhuru Kenyatta alisema serikali imeafikia uamuzi wa kuwa haiwezi kuendelea kuwafungia watu.
"Nimewaeleze hawa mawaziri, haswa wa Afya kuwa Wakenya sasa wajue ni wakati wa kulindana.
Wewe ukienda kazi ni wajibu wako kulinda mama na watoto, kama serikali zile zingine kila pahali hatuwezi kuendelea kufungia watu," aliongeza Rais.
Rais alisema hayo wakati ambapo idadi ya maambukizi imefikia watu 1192 na watu 50 kufariki.
Wakenya wamekuwa kwenye kafyu ya kutokuwa nje ifikapo saa moja usiku kwa siku 28.
Kaunti tano za Nairobi, Mombasa, Kwale, Kilifi na Mandera pia zilifungiwa kwa kuwa na idadi kubwa ya maambukizi.
Mitaa ya Eastleigh Nairobi na ule wa Kale Mombasa pia ilifungwa na hakuna watu kuingia au kutoka.