Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Kwanza lazima ujue kuwa waliouliza swali hilo ni hao hao waliozusha uzushi huo
Hakika Mkuu. Wananilipa vema sana. Buku saba per post si hela ndogoIla kwa kutetea tu nakuaminia, tatizo tu ni kuwa uko biased, hoja ikitolewa inayohusu upande flani unatamani uwaaminishe watanzania wote uongo wako, bila shaka wanakulipa vizuri. Congr....
Propaganda za kipuuzi sana hiziangeachwa tu anyongwe na sio kutoa ges yetu kisa rzone
Mimi naona hajielewi. Muda wa kutoa maoni ulishakwisha labda useme alikuwa anaongea akiwa hajijui kuwa yeye ni rais.Juzi amekanusha kwamba hakuzindua Bunge maalum la Katiba, ila alikuwa anatoa maoni yake tu!
Rais Kikwete akiwa Marekani ameongea na watanzania na kukanusha madai kuwa alimuokoa
mwanae Ridhiwani nchimi China baada ya kukutwa na dawa za kulevya.
Rais amesema huo ni upuuzi na hawezi kuongelea upuuzi wa aina hiyo ambao ni uzushi usio na maana.
JK pia amewaambia watanzania waishio marekani kuwa sio kweli kwamba kusainiwa mikataba 12 kati ya Tanzania na China ilikuwa ni sehemu ya masharti yaliyotolewa na China wakati wa kumuachia Ridhiwani.
=======================================
Khaa!! Kumbe hata wewe uliamini???!!! Basi kuna kundi kubwa sana la watu hawaUlitegemea akubali?
Yake pamoja na mafisadi. Si unakumbuka wale jamaa waliokwapua pesa za EPA walivyosameheana kimtindo? Sasa hivi anakula bata Marekani. Naona tujenge ikulu ndogo kule. Kila siku Marekani, hebu mara moja moja awe anakwenda Somalia na Palestina!......``Haya ni maneno ya kipuuzi.....ni kuota jinsi ya kuyumbisha ajenda yetu ambayo imefanikiwa sana katika kubadilisha hali ya maisha ya Watanzania"_ jamani, ni maisha yapi hayo yamebadilishwa?
Mkuu, ndo utakapoamini kuwa Mwana Mpotevu ana lake jamboToka 2012 leo 2014 ndio wanakanusha?
juzi amekanusha kwamba hakuzindua bunge maalum la katiba, ila alikuwa anatoa maoni yake tu!