Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Sasa kama alikua anatoa maoni yake,ninani alikua anayasajili maoni yake?,kwa kua wajumbe wa tume wa kusanya hawakuwepo mule ndani na walikua wameshakamilisha zozi la ukusanyaji maoni na walimkabidhi yeye mwenyewe?.
Inawezekana anaugonjwa wa kusahau nini?.
 
huo ukweli kuufahamu ni kazi kweli mm j.k na ccm yake siwakubali lakini kuhusu ishu hii ni ngumu sana kuamini,ila philip marmo ndiyo anaujuaa ukweli wote labda wasije wakawa wamempiga pini asiseme.....
 
JK huwa hana kawaida ya kukiri anapokosea...
 
pamoja na kutokumkubali rz1 lakini jaribuni kufikiria kwa nafasi yake ya utoto wa rais angekosa mapunda hata ndani ya usalama wa taifa?

kama mapedeshee wa kawaida wana mapunda kwa nini rz1 asiwageuze hata wakuu wa wilaya na mikoa mapunda kwa kuwatisha kufutwa kazi?

Ntakubali mkiniambia rz1 kakutwa na kete kadhaa kwenye gari lake zikiwa zake kwa matumizi na sio biashara.

kwa cheo cha mtoto wa rais rz1 haitaji kusafiri mpaka china kwa biashara yeyote.Anaweza kufanya patnership na wafanyabiashara haramu/halali na kutengeneza mamilioni ya shilingi kwa saa.
 
Lengo la kurugenzi ya Rweyemam ni kufanya kuache kufatilia mjadala wa Warioba.
 
JK huwa hana kawaida ya kukiri anapokosea...
jk anakosea lakini kwa hili la unga/rz1 skubaliani nanyi hata chembe kwamba rz1 angekosa mapunda in case amejiingiza kwenye kuuza unga
 
Sasa kama alikua anatoa maoni yake,ninani alikua anayasajili maoni yake?,kwa kua wajumbe wa tume wa kusanya hawakuwepo mule ndani na walikua wameshakamilisha zozi la ukusanyaji maoni na walimkabidhi yeye mwenyewe?.
Inawezekana anaugonjwa wa kusahau nini?.

kukariri kubaya sana. Tangu amewakaririsha Lipumba basi kila mtu wimbo ni huo huo
 
Rais Kikwete akiwa Marekani ameongea na watanzania na kukanusha madai kuwa alimuokoa mwanae Ridhiwani nchimi China baada ya kukutwa na dawa za kulevya.

Rais amesema huo ni upuuzi na hawezi kuongelea upuuzi wa aina hiyo ambao ni uzushi usio na maana.

JK pia amewaambia watanzania waishio marekani kuwa sio kweli kwamba kusainiwa mikataba 12 kati ya Tanzania na China ilikuwa ni sehemu ya masharti yaliyotolewa na China wakati wa kumuachia Ridhiwani.

Jakaya-Kikwete.jpg


=======================================
Hivi ni kweli anachosema JK;"Ninaipenda nchi yangu na sifikirii kuiweka rehani?"
 
jk anakosea lakini kwa hili la unga/rz1 skubaliani nanyi hata chembe kwamba rz1 angekosa mapunda in case amejiingiza kwenye kuuza unga

kweli kabisa Mkuu. Kuna watu wamechemsha sana katika hili. Wanajua kuwa wamezua uongo na wanachokifanya sasa ni kuunakshi uongo wao
 
Back
Top Bottom