Rais hana muda wa kuzungumzia mambo ya kipuuzi Kwahiyo Dr Slaa ni mpuuzi teh teh teh dah! ngoja nipite tu.
Mpuuzi number moja DUNIANi ni kikwete!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais hana muda wa kuzungumzia mambo ya kipuuzi Kwahiyo Dr Slaa ni mpuuzi teh teh teh dah! ngoja nipite tu.
Rais Kikwete akiwa Marekani ameongea na watanzania na kukanusha madai kuwa alimuokoa mwanae Ridhiwani nchimi China baada ya kukutwa na dawa za kulevya.
Rais amesema huo ni upuuzi na hawezi kuongelea upuuzi wa aina hiyo ambao ni uzushi usio na maana.
JK pia amewaambia watanzania waishio marekani kuwa sio kweli kwamba kusainiwa mikataba 12 kati ya Tanzania na China ilikuwa ni sehemu ya masharti yaliyotolewa na China wakati wa kumuachia Ridhiwani.
![]()
=======================================
Maoni alitakiwa akatoe kwenye tume ya kukusanya maoni juu ya katiba mpya...........kwenye BMK yeye si mjumbe alienda kufanya nini? kama ni mtanzania wa kawaida...............? asitudanganye aliingia kama Rais wa nchi kwa lengo la kuzindua BMK..................haya ndiyo mambo ambayo baadae yakiharibika unashitakiwa................!!!! kwa kuiingiza Nchi kwenye machafuko.............................Juzi amekanusha kwamba hakuzindua Bunge maalum la Katiba, ila alikuwa anatoa maoni yake tu!
Ulitegemea akubali?
...Hii habari ya China ni ya kweli kabisa.....Huu ni wakati wa JK kujisafisha kabla hajaachia ngazi....ameanza juzi kujitahidi kujisafisha dhidi ya tuhum za kuharibu mchakato wa katiba mpya alipofungua bunge.....Leo anajisafisha dhidi ya tuhuma za kutuweka rehani kama nchi China ili kumwokoa mwanae.....baadae atakuja na kutaka kujisafisha dhidi ya richmond na IPTL.....na wale wezi wa EPA aliowaachia.....na wauza unga anaowafahamu lakini hawachukulii hatua......huu ni mkakati maalumu wa ikulu na JK personally...Watashindwa tu.....Rais Kikwete akiwa Marekani ameongea na watanzania na kukanusha madai kuwa alimuokoa mwanae Ridhiwani nchimi China baada ya kukutwa na dawa za kulevya.
Rais amesema huo ni upuuzi na hawezi kuongelea upuuzi wa aina hiyo ambao ni uzushi usio na maana.
JK pia amewaambia watanzania waishio marekani kuwa sio kweli kwamba kusainiwa mikataba 12 kati ya Tanzania na China ilikuwa ni sehemu ya masharti yaliyotolewa na China wakati wa kumuachia Ridhiwani.
![]()
=======================================
Juzi amekanusha kwamba hakuzindua Bunge maalum la Katiba, ila alikuwa anatoa maoni yake tu!
Natamani km angekuwa mwanao wa kumzaa ili nione uthabiti wa kauli yako
Anaenda sana marekani kuliko msoga,au ndio anaendaga kubadilisha damu?Rais Kikwete akiwa Marekani ameongea na watanzania na kukanusha madai kuwa alimuokoa mwanae Ridhiwani nchimi China baada ya kukutwa na dawa za kulevya.
Rais amesema huo ni upuuzi na hawezi kuongelea upuuzi wa aina hiyo ambao ni uzushi usio na maana.
JK pia amewaambia watanzania waishio marekani kuwa sio kweli kwamba kusainiwa mikataba 12 kati ya Tanzania na China ilikuwa ni sehemu ya masharti yaliyotolewa na China wakati wa kumuachia Ridhiwani.
![]()
=======================================
Hivi UKAWA chama, NGO, SACCOS, VICOBA, au kitu gani mkuu?Ukawa ukawa ukawa tuko nyuma yenu tutawa suport mpaka kieleweke
Hata wewe?Hivi UKAWA chama, NGO, SACCOS, VICOBA, au kitu gani mkuu?
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....
Swali kwanza,alikamatwa nayo au hakukamatwa nayo?
Juzi amekanusha kwamba hakuzindua Bunge maalum la Katiba, ila alikuwa anatoa maoni yake tu!
Njia ya muongo ni fupi mno!
Mkuu Ndallo, nani ni muongo sasa?