Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
well, hakuwa na diplomatic passport by then... ila alikuwa na nyenzo (fedha) za kuwaajiri vinaja wengi atakavyo kama kweli alikuwa anajihusisha na hayo madawa ya kulevya! BTW Rais huwa anapewa information nyingi za kujua hatari zinazomkabili yeye na familia yake! Msisahau kuwa Mengi aliwahi kupambana na Maharamia waliokuwa wanamtumia mwanae !!! Kwanini tusiamini kuwa ulikuwa ni mtego wa kumuingiza mwanae kwenye kashfa kama kweli ilitokea bali tunaingia kwenye conclusion kuwa Rizwan anahusika na biashara ya Sembe?... Bado sija shawishika kuwa Rizwan ni Duwanzi kiasi cha kushindwa kupima Risk ya yeye kujihusisha na madawa ya kulevya... I stand to be corrected!!!
Hata mimi naona hivi. Kwa maana mwanzoni nilijua ni uzushi wa kibongo lakini sasa kama swali lilelile limeulizwa Marekani basi huu ni uzushi unaovuka mipaka na inabidi tuuite 'uzushi wa kimataifa'. Naanza kulifuatilia hili swala pia kuanzia sasa.
Ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu sana! Sasa sijui 'rahisi' wetu huwa anapoteza kumbukumbu au hupiga viroba kabla ya kuanza kuongea?
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....
Propaganda za kipuuzi sana hizi
Ulitegemea akubali?
hakuna mtu yoyote ambaye angeweza kukubali hata kama ni ukweli unaojulikana. amefanya alichotakiwa kufanya KUKATAA.
Hii isue ya JK na RIz1 kunasiku itakuwa wazi, n mda tu!
Swali kwanza,alikamatwa nayo au hakukamatwa nayo?
Hahaa huyu mzee huyuuu..haya itafahamika tu..matonya mbona alisema live kuwa mshua ndo aliwaokoa china
naona imekuingia, subiri ipenye
hii nchi sio ya familiya bana
Hapo hadi kufa kwake hawezi kukiri.
Ila wakiwa kwao chalinze wanakumbushia
Hata mimi naona hivi. Kwa maana mwanzoni nilijua ni uzushi wa kibongo lakini sasa kama swali lilelile limeulizwa Marekani basi huu ni uzushi unaovuka mipaka na inabidi tuuite 'uzushi wa kimataifa'. Naanza kulifuatilia hili swala pia kuanzia sasa.
Ulitegemea akubali?
Uliamini ni kweli?
andika kwa kiswahili hilo neno ni nakuomba sio nakupmba maana wewe huishi bila kukosoa watuBy Victor wa happy![]()
![]()
Hapo hadi kufa kwake hawezi kukiri.
Ila wakiwa kwao chalinze wanakumbushia
Victor, nakupmba kama una ushahidi tukutane tumpeleke mahakamani, kama si Tanzania Kimataifa.
Maana sasa kakanusha kuwa huo ni upuuzi, sasa wewe tuhakikishie si upuuzi. Mimi ntagharamia gharama zote za kesi.
Mwaga ushahidi.
na uzushi hauwezi kutokea marekani kuja huku??
ebu kueni jamani, hao DMV ndio maswali ya kijasiri ya kumuuliza rais?? hakuna aliyemuuliza uzushi wa yeye kula wakuu wa wilaya??
hivi nani katuroga?? the guy was real serious to ask such question??
Hivi Rizwan alibeba madawa ya sh ngapi?? na hiyo hela alishindwa kupata kama mtoto wa raisi??
Nonsense!!!
hapa unakoseakuna wengine humu mnataman mngekuwa wanawake muolewe na riz!! huo ni wivu wa kijinga! kila kitu riz riz achen wivu kuna watu tuna mashiko kuliko huyo riz na tunapiga dili za halali tu,karibu geita achen wivu na umbea,riz kama mtt wa rais angeweza kupata mtaj popote na akapiga hela kuliko hayo madawa,thanx mr presdaa hao waliokuuliza ndio walioanzisha huo uzushi,wanajifanya wanajuuua,kwanza wengine wanaona noma kurud bongo kwan wamechokaaa,rudin tu kama mmezoea barua njoon mkaish mafinga kama barafu hata kwenye frij ipo achen wivu