Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Hapo hadi kufa kwake hawezi kukiri.
Ila wakiwa kwao chalinze wanakumbushia
 
kama ni kweli angemuacha ingekuwa ni funzo kubwa kwa Taifa zima na mfano mzuri kwa kutokomeza biashara husika
 
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....

Yale yale! Obama ampe mtaji kwa makubaliano gani au kwa faida ipi? Hivi kwa nini Ridhwani mwenyewe asije hadharani na badala yake anatumia vibaraka kumjibia tuhuma? Ni haki yao watanzania kutafuta ufafanuzi toka kwa kiongozi wao yeyote mwenye tetesi za hujuma.
Hilo la "unga" ni moja, lakini zipo pia tuhuma kibao zinazomhusu kijana huyu, zote mtamjibia?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kuna wengine humu mnataman mngekuwa wanawake muolewe na riz!! huo ni wivu wa kijinga! kila kitu riz riz achen wivu kuna watu tuna mashiko kuliko huyo riz na tunapiga dili za halali tu,karibu geita achen wivu na umbea,riz kama mtt wa rais angeweza kupata mtaj popote na akapiga hela kuliko hayo madawa,thanx mr presdaa hao waliokuuliza ndio walioanzisha huo uzushi,wanajifanya wanajuuua,kwanza wengine wanaona noma kurud bongo kwan wamechokaaa,rudin tu kama mmezoea barua njoon mkaish mafinga kama barafu hata kwenye frij ipo achen wivu
 
Hard to catch ma breath... Thanks Mkuu!!! Hata kama ni uongo basi utakuwa umekwenda kidato kweli kweli ...
Ilianzia hapa......

http://jasonbournetz.wordpress.com/2012/09/07/rais-jakaya-kikwete-aiweka-nchi-rehani-kumuokoa-mwanae-asinyongwe-china/


 
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....

Lakini mkuu usisahau nafasi hiyo hiyo ya udiplomasia ya kutokaguliwa aweza kuitumia ndivyo sivyo.. yaani kwamba kwake yeye ikawa ni rahisi kupita kidplomasia zaidi na mzigo kuliko punda! 'Just thinking from the other angle'
 
huyu rais amechafuka kwa kashfa kuliko rais yoyote!kumbe yuko marekani!safari ya ngapi hii wadau?
Nyabhingi, mimi nilikwisha waambia humu JF kuwa ukimuona anafanya ziara za mikoani ujue anazuga kwani anakuwa amekwisha tayarisha safari ya kwenda majuu!! Juzi alikuwa huko Ruvuma na baada ya kutoka huko huyoooo U.S.A. ziara ya kiakzi ya siku !!!!
 
Hii isue ya JK na RIz1 kunasiku itakuwa wazi, n mda tu!

mpaka anatia huruma sana juzi tena dogo ritz amekamatwa manyara dawa,, ishu imezimwa kimya kimya kwa gharama kubwa,,,njia ya muongo ni fupi sna, time wil tell
 
Rais hana muda wa kuzungumzia mambo ya kipuuzi Kwahiyo Dr Slaa ni mpuuzi teh teh teh dah! ngoja nipite tu.
 
Last edited by a moderator:
huyu rais amechafuka kwa kashfa kuliko rais yoyote!kumbe yuko marekani!safari ya ngapi hii wadau?

mkuu ata mimi nimeshangaa sana kuhusu hilo,nikajiuliza ameshatoka kwenye semina ya mama na mtoto Canada sasa hivi yuko Marekani kikazi kwa siku 9,hivi ni mambo gani anayofuatilia huko marekani ambayo hayaishi?
 
Juzi amekanusha kwamba hakuzindua Bunge maalum la Katiba, ila alikuwa anatoa maoni yake tu!

Hahaa huyu mzee huyuuu..haya itafahamika tu..matonya mbona alisema live kuwa mshua ndo aliwaokoa china
 
Hahahaha dogo ana majina mengiii... Hapa tu kila mchangiaji kaandika jina kivyake tofauti na mwengine daaah!!! Kweli raia mna hasira na nchi yenu!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
well, hakuwa na diplomatic passport by then... ila alikuwa na nyenzo (fedha) za kuwaajiri vinaja wengi atakavyo kama kweli alikuwa anajihusisha na hayo madawa ya kulevya! BTW Rais huwa anapewa information nyingi za kujua hatari zinazomkabili yeye na familia yake! Msisahau kuwa Mengi aliwahi kupambana na Maharamia waliokuwa wanamtumia mwanae !!! Kwanini tusiamini kuwa ulikuwa ni mtego wa kumuingiza mwanae kwenye kashfa kama kweli ilitokea bali tunaingia kwenye conclusion kuwa Rizwan anahusika na biashara ya Sembe?... Bado sija shawishika kuwa Rizwan ni Duwanzi kiasi cha kushindwa kupima Risk ya yeye kujihusisha na madawa ya kulevya... I stand to be corrected!!!
Lakini mkuu usisahau nafasi hiyo hiyo ya udiplomasia ya kutokaguliwa aweza kuitumia ndivyo sivyo.. yaani kwamba kwake yeye ikawa ni rahisi kupita kidplomasia zaidi na mzigo kuliko punda! 'Just thinking from the other angle'
 
Back
Top Bottom