Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona taarifa yenyewe inahusu uraia pacha? Hilo la China na Ridhiwano kaliongelea wapi?
Yupo Marekani?Hivi hizi ziara zote akifika kule anapokelewa na Obama au?Sasa huyo Obama si atachoka?Kila mwezi!Au atakuwa anapokelewa na waziri wa viwanda tu.
Ndallo upo mkuu?Njia ya muongo ni fupi mno!
hakuna mtu yoyote ambaye angeweza kukubali hata kama ni ukweli unaojulikana. amefanya alichotakiwa kufanya KUKATAA.
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....
l[/COLOR said:RockSpider;10242614]Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....
Yale yale! Obama ampe mtaji kwa makubaliano gani au kwa faida ipi? Hivi kwa nini Ridhwani mwenyewe asije hadharani na badala yake anatumia vibaraka kumjibia tuhuma? Ni haki yao watanzania kutafuta ufafanuzi toka kwa kiongozi wao yeyote mwenye tetesi za hujuma.
Hilo la "unga" ni moja, lakini zipo pia tuhuma kibao zinazomhusu kijana huyu, zote mtamjibia?
Sent from my iPhone using JamiiForums
mh..!hii kali wadau nisaidieni,hivi jk ni rais wa Tz au Usa kila cku marekani...?
Hata Juma Kapuya alipata kusema "watoto wetu wanauza unga, nani anawakamata?"Ipo siku kila kitu kitajulikana kiukweli!
Let's wait!!!
andika kwa kiswahili hilo neno ni nakuomba sio nakupmba maana wewe huishi bila kukosoa watu
Wewe mbona unaamini Allah yupo na hujawahi muona wala mtume wenu hajawahi muona. Na kama utachukulia ule msemo wa lisemwalo lipo basi na ya riz yanawezekana yalitokea ila hakuna binadamu wa sasa anayeweza kubali kosa kama alilozushiwa jk. Hata mwamedi angese"ma kwake ni sawa kufanya hivyo na si kwa wengine hoja ingeisha
Hahahahahaha..mdau umenichekesha sana unauliza safari ya ngapi hii..halafu atakaa huko siku tisa can you imagine ukae marekani siku 9 na wewe ni kiongozi wa nchi na gharama zote utakazotumia..duhh