Rais Kikwete alipodondoka jukwaani mwaka 2005 na jinsi itifaki za Kiusalama zilivyobadilika

Rais Kikwete alipodondoka jukwaani mwaka 2005 na jinsi itifaki za Kiusalama zilivyobadilika

Mwaka 2005 wakati Jakay Mrisho Kikwete akijinadi kuomba kura katika uchaguzi mkuu, siku ya kufunga kampeni alianguka pale Jangwani.

Hii ikaleta mabadiliko makubwa ya kiulinzi katika korido za PSU.

Kabla ya Kikwete, yaani kuanzia Nyerere, Mwinyi hadi Mkapa walikuwa wakisimama jukwaani kuhutibia basi nyuma yao huwa amesimama ADC (Mpambe) tu.

View attachment 2570917

Lakini baada ya tukio lile la mwaka 2005, idara ya Usalama ikaanza kuwawekea Marais waliofata utaratibu wa kuwa na Mpambe (yule mwanajeshi) pembeni yake akiwepo na Mlinzi anayevaa kaunda suti.

View attachment 2570926

Walifanya hivyo ili kuhakikisha kuwa ikitokea dharura basi waweze kusaidiana kama ni kumdaka ili Rais asipate matatizo zaidi.


View attachment 2570938

Ikumbukwe, Rais huwa ana walinzi wengi sana ila sio wote wanakuwa karibu nae zaidi hasa majukwaani. wengine huzunguka jukwaa na maeneo mengine.

View attachment 2570957

Utarativu huu wa Rais kuwa anahutubia huku nyuma akiwa na Mlinzi pamoja na Mpambe unafanywa hapa Tanzania tu kwa nchi za Afrika ya Mashariki.

Ahsanteni kwa kunisoma!!

Hapa ni Kagame kazini:

PAP-SPEECH-768x384.jpg


Hapa ni Museveni akiwajibika:

Screenshot_20230330-161142.jpg


Beberu naye ni hivyo hivyo. Itoshe kusema kuweka mtu nyuma huko ni ushamba!

Kwa hakika bila kujali ni nani anafanya hivyo.
 
Hapa ni Kagame kazini:

View attachment 2571170

Hapa ni Museveni akiwajibika:

View attachment 2571177

Beberu naye ni hivyo hivyo. Itoshe kusema kuweka mtu nyuma huko ni ushamba!

Kwa hakika bila kujali ni nani anafanya hivyo.
Sio ushamba mkuu, kila taifa lina utaratibu wake katika kutoa ulinzi kwa viongozi wake.

Kwahiyo hapa unataka kusema Rais wa Marekani anavyosafiri kila nchi na magari yake na wakati nchi anazoenda zina magari yanayoweza kumbeba ni ushamba?

Museveni anatembea na choo chake maalumu.
 
Sio ushamba mkuu, kila taifa lina utaratibu wake katika kutoa ulinzi kwa viongozi wake.

Kwahiyo hapa unataka kusema Rais wa Marekani anavyosafiri kila nchi na magari yake na wakati nchi anazoenda zina magari yanayoweza kumbeba ni ushamba?

Museveni anatembea na choo chake maalumu.

Mkuu nimesema kuweka watu nyuma huko ni ushamba kwa sababu hakuna tija.

Zingatia hata viongozi wa upinzani nao wameiga ulinzi huo.

Ushamba unakuja hivi wabongo Ile kuwa kwenye mazingira ya watu fulani ni zinga la kiki. Tumekaa ki kiki zaidi kuliko ulinzi na huo ndiyo ule ushamba sasa.

Kubeba vyoo na magari kunaingia vipi hapo mkuu?
 
Mwaka 2005 wakati Jakay Mrisho Kikwete akijinadi kuomba kura katika uchaguzi mkuu, siku ya kufunga kampeni alianguka pale Jangwani.

Hii ikaleta mabadiliko makubwa ya kiulinzi katika korido za PSU.

Kabla ya Kikwete, yaani kuanzia Nyerere, Mwinyi hadi Mkapa walikuwa wakisimama jukwaani kuhutibia basi nyuma yao huwa amesimama ADC (Mpambe) tu.

View attachment 2570917

Lakini baada ya tukio lile la mwaka 2005, idara ya Usalama ikaanza kuwawekea Marais waliofata utaratibu wa kuwa na Mpambe (yule mwanajeshi) pembeni yake akiwepo na Mlinzi anayevaa kaunda suti.

View attachment 2570926

Walifanya hivyo ili kuhakikisha kuwa ikitokea dharura basi waweze kusaidiana kama ni kumdaka ili Rais asipate matatizo zaidi.


View attachment 2570938

Ikumbukwe, Rais huwa ana walinzi wengi sana ila sio wote wanakuwa karibu nae zaidi hasa majukwaani. wengine huzunguka jukwaa na maeneo mengine.

View attachment 2570957

Utarativu huu wa Rais kuwa anahutubia huku nyuma akiwa na Mlinzi pamoja na Mpambe unafanywa hapa Tanzania tu kwa nchi za Afrika ya Mashariki.

Ahsanteni kwa kunisoma!!
Sawa mkuu
 
Sio ushamba mkuu, kila taifa lina utaratibu wake katika kutoa ulinzi kwa viongozi wake.

Kwahiyo hapa unataka kusema Rais wa Marekani anavyosafiri kila nchi na magari yake na wakati nchi anazoenda zina magari yanayoweza kumbeba ni ushamba?

Museveni anatembea na choo chake maalumu.

Museveni ametisha[emoji23][emoji23]
 
Mwaka 2005 wakati Jakay Mrisho Kikwete akijinadi kuomba kura katika uchaguzi mkuu, siku ya kufunga kampeni alianguka pale Jangwani.

Hii ikaleta mabadiliko makubwa ya kiulinzi katika korido za PSU.

Kabla ya Kikwete, yaani kuanzia Nyerere, Mwinyi hadi Mkapa walikuwa wakisimama jukwaani kuhutibia basi nyuma yao huwa amesimama ADC (Mpambe) tu.

View attachment 2570917

Lakini baada ya tukio lile la mwaka 2005, idara ya Usalama ikaanza kuwawekea Marais waliofata utaratibu wa kuwa na Mpambe (yule mwanajeshi) pembeni yake akiwepo na Mlinzi anayevaa kaunda suti.

View attachment 2570926

Walifanya hivyo ili kuhakikisha kuwa ikitokea dharura basi waweze kusaidiana kama ni kumdaka ili Rais asipate matatizo zaidi.


View attachment 2570938

Ikumbukwe, Rais huwa ana walinzi wengi sana ila sio wote wanakuwa karibu nae zaidi hasa majukwaani. wengine huzunguka jukwaa na maeneo mengine.

View attachment 2570957

Utarativu huu wa Rais kuwa anahutubia huku nyuma akiwa na Mlinzi pamoja na Mpambe unafanywa hapa Tanzania tu kwa nchi za Afrika ya Mashariki.

Ahsanteni kwa kunisoma!!
Kwanza ujue hakuwa Rais,alikuwa mgombea
Pili lile lilikuwa igizo tu toka lumumba kuwa ajifanye anadondka ili kudraw attention ya wapiga kura nchi nzima na kweli ikawa talk of the town akapata kura za huruma,
Nilikwepo wakati mkakati wa igizo hili ukipangwa
 
Kik
Kwanza ujue hakuwa Rais,alikuwa mgombea
Pili lile lilikuwa igizo tu toka lumumba kuwa ajifanye anadondka ili judraw attention ya wapiga kura nchi nzima na kweli ikawa talk of the town akapata kura za huruma,
Nilikwepo wakati mkakati wa igizo hili ukipangwa
Kikwete kaanguka mara mbili anahutubia Mimi nimeshuhudia nadhani ana pressure ya kushuka ndo inaletaga athari , Kuhusu kura za Huruma uongo Ccm Wana mbinu zao za kuiba kura.
 
Hii ishu ya kuanguka ghafla haina mwenye hati miliki nayo asee, ikikubamba ndio utajua hujui.
Mimi kuna siku ktk shughuli zangu nilijikuta naamka tu lakini sijui niliangukaje. Halafu nakuta wajumbe wananikodolea tu macho wanga wakubwa wale hamna hata huduma ya kwanza.
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom