Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Anaogopa gogo lake linaweza kutumika kumroga c unajua imani za kiafrika?Museveni ametisha[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaogopa gogo lake linaweza kutumika kumroga c unajua imani za kiafrika?Museveni ametisha[emoji23][emoji23]
Mwaka 2010 kwenye kampeni, alianguka tena kikwete. Sijui shida ilikuwa nini?Hiyo 2005 ni akiwa anagombea. Ninavyokumbuka alianguka tena akiwa rais na sikuona tofauti ya unachoongelea.
Niliwahi kusikia kuwa ulikuwa mpango. Japo sikuamini. Awamu zote ameanguka Wakati wa kampeni.Kwanza ujue hakuwa Rais,alikuwa mgombea
Pili lile lilikuwa igizo tu toka lumumba kuwa ajifanye anadondka ili kudraw attention ya wapiga kura nchi nzima na kweli ikawa talk of the town akapata kura za huruma,
Nilikwepo wakati mkakati wa igizo hili ukipangwa
Usanii tu ule yule mtoto wa mjini ,ilikuwa mbinu ya kutengeneza headlinesNiliwahi kusikia kuwa ulikuwa mpango. Japo sikuamini. Awamu zote ameanguka Wakati wa kampeni.
Anaigopa kupimwa mkojo?Sio ushamba mkuu, kila taifa lina utaratibu wake katika kutoa ulinzi kwa viongozi wake.
Kwahiyo hapa unataka kusema Rais wa Marekani anavyosafiri kila nchi na magari yake na wakati nchi anazoenda zina magari yanayoweza kumbeba ni ushamba?
Museveni anatembea na choo chake maalumu.
Haya mpambe yuko wapi? Kwani hapo anahutubia?
Jamaa alipanda jukwaani akaenda kama kumtekenya Jakaya wa MsogaNa pale MWANZA?
JK alianguka mara ya kwanza kwenye kampeni mwaka 2005 kisha 2010 ila yule wa Mwanza alipanda jukwaani huku JK akiwa kwenye Kigoda akisimikwa uchifu akaenda kama kumsukuma/kumtekenyaMkuu, JK hakuanguka yeye mwenyewe aling'ang'aniwa mguu na njemba Moja moko kutaka kumwangusha . Sijui alitumwa na nani.
Wakati ananguka mara ya kwanza hakuwa Rais, halafu akaanguka mara ya pili akiwa RaisKwanza ujue hakuwa Rais,alikuwa mgombea
Pili lile lilikuwa igizo tu toka lumumba kuwa ajifanye anadondka ili kudraw attention ya wapiga kura nchi nzima na kweli ikawa talk of the town akapata kura za huruma,
Nilikwepo wakati mkakati wa igizo hili ukipangwa
Anaogopa gogo lake linaweza kutumika kumroga c unajua imani za kiafrika?
Mpambe nuksiSasa ndugu mpambe