Rais Kikwete alipodondoka jukwaani mwaka 2005 na jinsi itifaki za Kiusalama zilivyobadilika


Hapa ni Kagame kazini:



Hapa ni Museveni akiwajibika:



Beberu naye ni hivyo hivyo. Itoshe kusema kuweka mtu nyuma huko ni ushamba!

Kwa hakika bila kujali ni nani anafanya hivyo.
 
Hapa ni Kagame kazini:

View attachment 2571170

Hapa ni Museveni akiwajibika:

View attachment 2571177

Beberu naye ni hivyo hivyo. Itoshe kusema kuweka mtu nyuma huko ni ushamba!

Kwa hakika bila kujali ni nani anafanya hivyo.
Sio ushamba mkuu, kila taifa lina utaratibu wake katika kutoa ulinzi kwa viongozi wake.

Kwahiyo hapa unataka kusema Rais wa Marekani anavyosafiri kila nchi na magari yake na wakati nchi anazoenda zina magari yanayoweza kumbeba ni ushamba?

Museveni anatembea na choo chake maalumu.
 

Mkuu nimesema kuweka watu nyuma huko ni ushamba kwa sababu hakuna tija.

Zingatia hata viongozi wa upinzani nao wameiga ulinzi huo.

Ushamba unakuja hivi wabongo Ile kuwa kwenye mazingira ya watu fulani ni zinga la kiki. Tumekaa ki kiki zaidi kuliko ulinzi na huo ndiyo ule ushamba sasa.

Kubeba vyoo na magari kunaingia vipi hapo mkuu?
 
Sawa mkuu
 

Museveni ametisha[emoji23][emoji23]
 
Kwanza ujue hakuwa Rais,alikuwa mgombea
Pili lile lilikuwa igizo tu toka lumumba kuwa ajifanye anadondka ili kudraw attention ya wapiga kura nchi nzima na kweli ikawa talk of the town akapata kura za huruma,
Nilikwepo wakati mkakati wa igizo hili ukipangwa
 
Kik
Kikwete kaanguka mara mbili anahutubia Mimi nimeshuhudia nadhani ana pressure ya kushuka ndo inaletaga athari , Kuhusu kura za Huruma uongo Ccm Wana mbinu zao za kuiba kura.
 
Pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…