Rais Kikwete amethibitisha kuwa ni kigeugeu na ndumilakuwili

Lizabon wewe ndio mpuuz wa mwisho!!! Unayoyasema ni utashi na kutetea io hongo yako wanayo kuhonga hao sisiemu!
Ulipo kosea ni kusema kua chama cha CUF wanataka nchi ya Pemba?! Jambo ambalo hata kwenye historia hakuna, inaonesha hata histry hujui, huna tafaut na wazir wako wa elimu aliposema Tanzania ni muungano wa pemba na.....
JIANGALIE USIFUATE KUNDI TU!!


Said
 
hivi huyu Kiwete si ndo alisema hamjui yule sheikh wa Richmond wala hana uhusiano naye halafu yule sheikh akaja akaenda ikulu kiwete akamkimbia au nimekosea? Usishangae hayo ndo mambo ya kuwa na rais mswahili!!!!!!!! anaongea halafu anasahau ameongea nini!
 
Lizaboni kama wewe siyo Kikwete basi utakuwa na matatizo ya kusifia hata yasiyo na sifa
 
Wapo watu humu wazembe kusoma, pia wazembe kufikiri. Mtoa mada hajataja Chadema w Dr. Slaa maana hawa hawako kwenye chama kinachoongoza wala serikali. Ila inaonekana ni watu mwiba sana kwa watawala. Leteni hoja kama mnazo si kutaja ambao hawajatajwa kwenye mada. Hapo mbakimbia mada.
 

Ila wakati mwingine tunamchanganya na sisi wenyewe, hasa pale inapofikia"za kwake achanganye na za kwetu" Sisi tupo million 45, yeye yupo peke yake!
 


Msikwepe ukweli kwa hoja za kitoto za kinana eti mabaraza ya kata!! Mabaraza mliyoyajaza wanaccm ulitegemea kuwa ndio reference ya wananchi wa Tanzania!!. Ukweli ni kuwa Zanzibar wana katiba yao ambayo ina baraka za Rais wa Jamuhuri sasa unataka TAnganyika tufanyeje!

Hata hivyo kwa uelewa wenu mdogo ulifikiri nchi hii ni mali ya CCM??? Usitegemee watanzania ni wabovu wa kufikiri na kuwa kinana ndio yuko sahihi !! Anatwanga maji kwenye kinu tu!!
 
Jibu kwa hoja mkuu. Si kulalamika tu. by the way, nchi hii ni mali ya CCM. wengine ni wadandiaji tu
 
Lizaboni anakwambia wao ndiyo vijana wa Lumumba a.k.a vijana wa Muhindi Shiv.ji.
Sera yao ni Chama kwanza Taifa baadae
Anakutemea alicholishwa na chama, ila nataka kukujuza tu siku hizi usemi wa wengi wape hau-apply.
Siku hizi wachache wanasikilizwa na maoni yao yanapita
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna kosa ambalo hatupaswi kulirudia ni kumpa madaraka ya urais mtu aliyekulia tui la nazi kama huyu Kiwete.
 
dr slaa ndio kigeugeu namba moja afrika

Jibu hoja kwa hoja, si ndo wan ccm mnasemaga hivyo!! Hapo dr slaa ametokea wapi? Dadadvua kama mleta hoja alivyofanya, leta ushahidi na mengineyo kupinga kama si kweli! Haya mengine ni ya kawaida tu, au unaweza kuwa uko kwenye list ya buku saba eeh?
 

Sina hakika kama Warioba alienda kuwahoji watu maana hapo ingemlazimu kuwa na maswali kwaajili ya kuwahoji hao wananchi. Lakini ninachojua ni kwamba alienda kukusanya maoni kwa wananchi waliokuwa tayari kueleza chochote wanachoona inafaa kuingizwa kwenye Katiba mpya. Hii inamaana kwamba watu walikuwa na uwanja mpana wa kueleza mambo yao kwa muda mfupi. Pia kumbuka kwamba kutotoa maoni juu ya muungano uliopo haimaanishi kwamba wewe huridhiki au unaridhika juu ya muungano huo. Huenda wengine hawakutoa maoni juu ya muungano kwasababu waliona wenzao waliokuwepo kwenye huo mkutano tayari walikwisha toa maoni juu ya muungano. Lakini ili kukata mzizi wa fitina basi iitishwe kura ya maoni juu ya aina ya muungano tuutakao.

Kuhusu idadi ya watu waliotoa maoni juu ya muungano, Warioba anatoa mfano unaofanana na huu; Tanzania ina idadi ya watu 25mil wanaostahili kupiga kura ya kumchagua Rais wa JMT. Watu waliojiandikisha kupiga kura walikuwa 20mil, Watu waliopiga kura walikuwa 8.5mil, kati ya hao watu 6mil walimchagua JK kuwa Rais wa JMT. Je, utasema huyo Rais aliyechaguliwa si Rais halali wa JMT kwasababu tu amechaguliwa na watu 6mil tu kati ya watu 20mil waliojiandikisha kupiga kura?

Tuache kuwapotosha watu kwa maslahi binafsi, Warioba ametolea ufafanuzi mzuri wa takwimu zilivyokokotolewa, na mimi sitaki kuamini kwamba wewe huelewi alichokiongea Warioba.
 

wewe ndo m.pu.mb.a.v.u na .wa.j.i.n.g.a wenzako ccm unaowatetea
 
Hapo penye rangi nyekundu, huyo ndiyo nani?

bantulile,

Huyo ni Kinena Katibu Mkuu wa Chama Twawala CCM almaarufu kama KINANA na mtaalamu wa KUUA NA KUUZA MENO YATEMBO(PEMBE ZA NDOVU) NJE NA NDANI YA TANZANIA!
 
Kwani Jk sio Mtanzania?
 
Mkuu, usihangaike na huyo jamaa. Amedhamiria kuandika hivyo. Anastahili kupigwa ban ya maisha ili iwe fundisho wa wengine

Lizaboni,

Usitake kuminya uhuru wa watu wengine kujieleza kwa namna ambayo wanaona inafaa ili kufikisha ujumbe uliokusudiwa.Unaposema nipigwe ban, kwa kosa lipi hapo? Kutamka Kinena badala ya Kinana kuna tatizo gani mkuu? Kila mtu lazima awe na kitu inaitagwa, ''nickname'' au kwa lugha ingine''a.k.a''.

Nickname siyo tusi baali ni jina mbadala wanaloweza watu kukuita kutokana na tabia,hulka au mwenendo wako katika jamii. Sioni tatizo la kumwita Kinana kuwa Kinena au Kikwete kuwa Kiwete. Kama Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere watu walimwita 'Mchonga' au 'Haambiliki' kuna ajabu gani ya kuwaita hawa vigogo wa CCM kwa majina haya ya utani???

Jenga hoja acha umbeya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…