Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa tunasali nae parokia moja,kila mtu atapongeza uteuzi huu,
Nchi hii kwa Udini sasa uarabu umeigiaje,mfumo kristo mbaya sana.nyinyi endeleeni kutubeep beep tu.tusipoangalia Nchi nzuri tutaiharibu hii.
Nchi hii kwa Udini sasa uarabu umeigiaje,mfumo kristo mbaya sana.nyinyi endeleeni kutubeep beep tu.tusipoangalia Nchi nzuri tutaiharibu hii.
Una uelewa mdogo sana,huo ni ukoloni wa fikra,sasa dini na lugha vinakutanaje wewe,kwenye post unayolalamikia umeona dini yoyote imetajwa?
Munageuzageuza maneno sawa nakusema KUKU na YAI nini ya kwanza.Kiarabu ndo uislam?
Nchi hii kwa Udini sasa uarabu umeigiaje,mfumo kristo mbaya sana.nyinyi endeleeni kutubeep beep tu.tusipoangalia Nchi nzuri tutaiharibu hii.
anajua sana anafaa katika kazi hongera sana bwana biswaloHana "MENO" sijui atang'ataje
mkuu naona unabadilika siku hizi. hukuwa hivyo siku za nyuma. taratibu tutafika huko tuendako. hongera.Kwa kuwa tunasali nae parokia moja,kila mtu atapongeza uteuzi huu,
Munageuzageuza maneno sawa nakusema KUKU na YAI nini ya kwanza.