DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 144
Hapa ndipo ule utaratibu uliopendekezwa na Tume ya Warioba ulipopaswa kufanya kazi kabla ya kuingia ofisini. Kulitakiwa kuwe na chombo kingine kama Bunge ambalo sasa lingeingia kazini kumfanyia usaili mteule huyu kujua uwezo wake na kama anastahili kweli kushika wadhifa huu au lah. Hii ingeepusha utaratibu wa Rais kuteua washkaji au watu wa kulinda maslahi binafsi. Lakini masikini wabunge wa CCM wameukataa utaratibu huu na kuendelea kumrundikia Rais madaraka mazito!!!!
haitoshi kulalama humu peke yake. Chukua hatua za kizalendo dhidi ya mfumo usiofaa. Nipo njiani kuingia msituni ... full mass in order!