Rais Kikwete amteua Prof. Mussa Assad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

Mteule akiwa mwiba mchungu kwa watawala Nchini basi haongezewi hata sekunde 5 ofisini.
Kila la kheri Assad.
 

Hii ndo ikulu inaandika hivi?
 
Nilisikia CAG huwa hawastaafu, ina maana utaratibu huo umebadilishwa au?
 

Serikali haiendeshwi kwa dhana.
 

Huyu Rweyemamu boga kabisa..headed paper ya kiingereza content ya kiswahili..huyu kasoma wapi pimbi huyu?
 
mbali na cv yake kuwa nzuri laki profesa tez kazidi udini mpeni pole maana kiala anaeteua sasa kwa asilimia kubwa swala tano yangu macho sasa
 
ukweli unauma ndo maana unatukana, mimi sina mda wa kubishana na wewe fanya utafiti wa wakuu wa mikoa wapya walioteuliwa na aliowaacha utakubaliana na mimi ukizingatia wakristo ni wengi kuliko waislam
 
mnaoponda maprofesa....semeni mlikuwa mnataka uteuzi wa

Hawa Ghasia au Assumpta Mshana au Silinde????

mkuu jaribu kuwa makini na majina ya watu kuna lusinde (ccm) na silinde (chadema) ni watu wawili tofauti
 
mbali na cv yake kuwa nzuri laki profesa tez kazidi udini mpeni pole maana kiala anaeteua sasa kwa asilimia kubwa swala tano yangu macho sasa
Kuna tatizo mtu akiwa ni swala tano? so unataka atuteulie walevi na wezi uridhike
 
ukweli unauma ndo maana unatukana, mimi sina mda wa kubishana na wewe fanya utafiti wa wakuu wa mikoa wapya walioteuliwa na aliowaacha utakubaliana na mimi ukizingatia wakristo ni wengi kuliko waislam
Wakristo wanajichotea pesa za umma kama zao,mda umefika nao wakafanye biashara wajue ugumu wa kuzipata hela.
 
liwekeni hilo vichwani mwenu siku hazigandi na mtalopoka sana
 
ukweli unauma ndo maana unatukana, mimi sina mda wa kubishana na wewe fanya utafiti wa wakuu wa mikoa wapya walioteuliwa na aliowaacha utakubaliana na mimi ukizingatia wakristo ni wengi kuliko waislam
 
Wewe unasumbuliwa na chuki na roho ya husda tu.

Tatizo la makafiri wengi ukichaguliwa sehem nzuri kama hizo lazima wakuundie Zengwe halafu kama ukishakuwa mtu wa msimamo kama prof Assad ndio kabisaaaa
 
Sio kweli ,ASSAD ni ACPA, huwezi kuwa ACPA bila ya kupractice,ndio maana una jaza logbooks kazi ulizofanya ili uweze kuwa associate, pia ASSAD ana audit firm, NBAA hakuna CPA ya heshima, huwezi kuwa na audit firm kama sio ACPA-PPS (External auditor) na kuendelea mfanO FCPA-PPS
 
NI Makosa ya kibinaadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…