figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
yaani Bongo ni vituko sana, na umasikini woote huu bado baraza la mawaziri lefu kama treni
Mbona hueleweki unasema nini au unamaanisha nini acha akili za bawacha bana.Mwafrika na madaraka ni kama fisi na mfupa.watu wanapenda madaraka kupitiliza yan na hii ni dalili ya uzembe na kutopenda kutumia uwezo binafsi kujikwamua kimaisha
Mbona hueleweki unasema nini au unamaanisha nini acha akili za bawacha bana.
Kwahiyo anataka fupi kama bajaji? Anaonaje akiunda lake ambalo litakuwa anavyotaka yeye.Ni mchango tu kuna jamaa alisema Tanzania ni masikini lakini bado baraza la mawaziri kama tren so nikaongeza mchango wangu hapo umenipata?kama hujaelewa bas akili yako haiwez kunisahihisha akili yangu maana itakuwa IQ yako ndogo sana kutafsiri haya
Akili yako kama ya pauline gekuu.
Hii picha sina imani nayo naona kama ni ile ya mwaka jana sidhani kama ni ya leo kweli.
Hii picha sina imani nayo naona kama ni ile ya mwaka jana sidhani kama ni ya leo kweli.
Nimeshukulu we mwizi mwenzao umeiona coment yangu peleka salam kwao waambie ukumu yao October
Vitambi vitawashuka