Anataka aonekane na yeye kama amejenga wakati ukweli hakuna alichokifanya zaidi ya kusafiri kwenda ulaya kubembea na mke wake kwenye nursery school za marekani na kuenda kufanya upasuaji wa tezi dume.kwenye sgr kikwete hakuwa na mpango huo Bali yeye alipendekeza ijengwe gari Moshi la kizamani la diseli na akashindwa kutekeleza hata nusu kilomita zaidi ya maneno tupu.Na kituko kingine alichopendekeza eti kununua mabasi ya kutembea kwenye maji sijui wangepanda watu wa wapi na kwenda wapi!Ni Bora anyamaze maana kipindi chake Nchi aliifisadi sana kama Yale ya sakata la IPTL,meremeta,gesi ya mtwara kuwa na mkataba tata,n.k