Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Mkuu, kwani akiongea anakutekenya? Au unakwaruzika? As long as yupo hai muache aongee. Wajibu wako wewe ni kusikiliza anachokiongea kwa umakini utajifunza na kujua mengi.
Dogo, kwani nikiandika nakutekenya? Au unakwaruzika? As long as nipo hai niache niandike. Wajibu wako wewr nii kusoma nachoandika kwa umakini utajifunza na kujua mengi.
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwa nini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Hivi unadhani mchakato wa kujenga SGR umechukua mwaka mmoja au miwili? Ni sahihi alivyosema kuwa mchakato ulianza tangu enzi ya Mkapa. Pengine ingewezekana labda ujenzi ungeanza mapema zaidi lakini nina hakika yale ma'feasibility studies' na ma'costing' siyo kitu cha kutengeneza mwaka mmoja au miwili, wachilia mbali kutengeneza hayo matenda husika.

Rapid Transit yenyewe ilichukuwa zaidi ya miaka kumi kukamilika itakuwa SGR?

Musichukulie kila kitu kuwa negative jamani mengine ni historia tu.
 
Zama zao elimu ilikuwa privilege ya watu wachache.

Kwenye kichwa chake anadhani mpaka leo watanzania hatujui hatua za miradi.

Eti mpaka naondoka niliacha vifusi sijui wapi (bila ya kuwa na mkandarasi) ulie sign nae PID.

Hakuna ubaya kusema aliacha wazo la mradi kwa JPM, na lilikuwa kwenye ilani ya CCM waliyomkabidhi Magufuli.

Lakini kusema mradi ulianza kwakwe ni kielelezo cha kudhani akili zetu kama jamii ni sawa na kipindi hiko anapata shahada.

It’s just nonsense, hawezi kuwa na input kwenye huo mradi kama mpaka anaondoka PID aijasainiwa.

Ni hadithi zilizo kwenye kichwa chake tu
 
Anataka aonekane na yeye kama amejenga wakati ukweli hakuna alichokifanya zaidi ya kusafiri kwenda ulaya kubembea na mke wake kwenye nursery school za marekani na kuenda kufanya upasuaji wa tezi dume.kwenye sgr kikwete hakuwa na mpango huo Bali yeye alipendekeza ijengwe gari Moshi la kizamani la diseli na akashindwa kutekeleza hata nusu kilomita zaidi ya maneno tupu.Na kituko kingine alichopendekeza eti kununua mabasi ya kutembea kwenye maji sijui wangepanda watu wa wapi na kwenda wapi!Ni Bora anyamaze maana kipindi chake Nchi aliifisadi sana kama Yale ya sakata la IPTL,meremeta,gesi ya mtwara kuwa na mkataba tata,n.k
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Anakupeni taarifa nyinyi mnaoamini mwamba wa chato alikua na maono,maana mmejazwa propaganda na hamjui mambo ya nchi,jakaya alikubaliana na wachina kujenga sgr,kipindi Kenya wanajenga yao kwa pesa za wachina,alishaongea na wabrazil kujenga bwawa la umeme
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Achana nae huyo. anatamani aitwe majina kwenye kila project.
 
Back
Top Bottom