Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Kutia nia yeyote tu anaweza,credits kwa waiothubutu kufanya

Kutaka recognition kisa ulitia nia kwa miaka kumi madarakani ni ukichaa
 
Acha porojo hizo,tulioko site tumeona mradi ukianza sifuri from wapi ipite etc
 
Alishindwa nini kutekeleza chekachecka wa Lugoba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…