kumbe yote hayo hayakufanmyika? Sasa walipataje thamani ya mradi? Na waliwezaje kutengeneza mpango kazi?
Kwa nini isitekelezeke, na nia ipo.
Salary Slip,
..wakati Raisi Kikwete anatangaza "nia" ya kujenga reli, Raisi Uhuru Kenyatta atakuwa na ground breaking ceremony ya ujenzi wa reli toka Mombasa kuelekea Uganda na Rwanda kesho.
cc Koba, Ritz, Mchambuzi, Kubwajinga
Nami nakuwa na wasiwasi na tamko la JK maana kuna mipango mingi ya reli imekuwa ikiendelea lakini huu umekuja ghafla mno. Isije ikawa alivyosikia majirani zetu wanaanza utekelezaji kaamua kutufariji japo na maneno tu.Building of Sh1.2trn railway starts on Thursday
Plans to build a new standard gauge railway line from Mombasa will enter a decisive stage
Plans to build a new standard gauge railway line from Mombasa will enter a decisive stage on Thursday with the ground-breaking ceremony for the countrys largest infrastructure project in many years.
Kenya is keen to strengthen its positions as the logistics hub in East Africa.
Supporters of the railway project have said that the cost of transporting cargo will go down by 60 per cent.
Expected to be completed in 2016, its sponsors have said that it will take a passenger train four hours to travel between Nairobi and Mombasa and a passenger will pay Sh800 as fare.
Freight trains will move at 80 kilometres per hour, reducing the journey to eight hours from the current 36.
...alafu tatizo utasikia viongozi wetu wanaongelea kujenga reli kuiunganisha Burundi na Congo DRC huku wenzetu wanajenga ili ziwasaidie wenyewe kwanza. Tuna kasoro kubwa na tusipoangalia tutaendelea kuadhirika.sasa tutaisoma namba, wakati mukulu wetu anatembeza bakuli kubwa huku na kule ughaibuni, "kagame, kaguta, kiiza na kenyatta", wameitumia kama fursa na kuanzisha reli mpya kutoka mombasa kwenda kwenye nchi zao! hii kwa mukulu ni kukumbuka shuka asubuhi kweupe!
Salary Slip,
..wakati Raisi Kikwete anatangaza "nia" ya kujenga reli, Raisi Uhuru Kenyatta atakuwa na ground breaking ceremony ya ujenzi wa reli toka Mombasa kuelekea Uganda na Rwanda kesho.
cc Koba, Ritz, Mchambuzi, Kubwajinga
Nami nakuwa na wasiwasi na tamko la JK maana kuna mipango mingi ya reli imekuwa ikiendelea lakini huu umekuja ghafla mno. Isije ikawa alivyosikia majirani zetu wanaanza utekelezaji kaamua kutufariji japo na maneno tu.
Je, ametoa action plan na time frame?
Rais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!
Faiza link uliyoiweka haina mwanga wa kiufundi wala technical conclution ni kama maoni ya mhariri tu.
Kabla sijaifungua nilidhani ndani yake ina upembuzi yakinifu wa miradi ya reli kwa jinsi ulivyo insist.
Rais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!
ingekuwa kauli ya Magufuli ningeamini, lakini huyu aaahh wapi, blah blah tupu
Absolutely ----! ...Rais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa.....
Rais lazima atangaze nia ndiyo ujenzi uanze bandari tayari wameishaingia mkataba na makampuni ya China wanajenga Bagamoyo.
Tanzania wanajenga airport Dar es Salaam Third Terminal kampuni mbili za Uingereza na Ujerumani wameishaingia mikataba.
Reli hiyo inajengwa mradi unaanza wakati wowote kuanzia sasa.
Leo tarehe 28:11:2013 ujenzi wa reli mpya kati ya MOMBASA, SOUTH SUDAN
, KAMPALA HADI KIGALI unazinduliwa rasmi.
Tanzani bado top leader anaendeleza promises kama ilivyo kawaida yake na chama chake cha CCM.
Wewe wacha porojo, kabla ya kushika uongozi Kikwete hata kwenda Mwanza kutokea Dar ilikuwa mpaka tupiptie Kenya. barabara nyang'a nyang'a toka wakati wa Nyerere. Leo unakwenda huku unakunywa gahwa ndani ya gari, hulijui hilo?
Miradi ya barabara Tanzania wakati huu ni mingi kuliko nchi yoyote ya Afrika chini ya Sahara.
Bandari usifikiri ni lelemama ile, usaini mkataba leo kesho uanze kujenga, kuna watu wa kuwahamisha, kuna miundo mbinu ya kutayarishwa, kuna logistics za kutayarishwa, kuna vifaa vya kukusanywa nje na ndani ya nchi, kuna upimaji wa kina cha maji, kuna upimaji wa udongo uliopo nje na na baharini kuna kila namna ya matayarisho (mobilization), na kwa mradi mkubwa haya matayarisho pekee huchukuwa si chini ya miaka miwili. Usifikiri kuna kucheza mdako pale.
Hivi hizo shule mlienda kufutwa ujinga au kujazwa ujinga?
Upembuzi yakinifu reli ya mtwara-mbamba bay utaisha lini?FaizaFoxy,
..kwa uelewa wako, hiyo link yako inasema mradi uko ktk hatua gani?
..vipi kuhusu mapendekezo ya Wajapani kwamba reli ibaki at a current gauge mpaka labda mwaka 2030?
..je, tukikubaliana na ushauri wa wa-Japani, kipande cha Isaka to Kigali, na Keza to Musongati vitajengwa kwa gauge ipi?
cc Nguruvi3, Ritz, Kubwajinga
Nami nakuwa na wasiwasi na tamko la JK maana kuna mipango mingi ya reli imekuwa ikiendelea lakini huu umekuja ghafla mno. Isije ikawa alivyosikia majirani zetu wanaanza utekelezaji kaamua kutufariji japo na maneno tu.
Je, ametoa action plan na time frame?
Au ya LOWASAingekuwa kauli ya Magufuli ningeamini, lakini huyu aaahh wapi, blah blah tupu
Correction; Leo Kenyatta anazindua ujenzi wa reli mpya kutoka Mombasa mpaka Malaba.