Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwahiyo leo mimi nikitangaza nitajenga daraja la kutoka Magogo mpaka Zanzibar nakuwa namaanisha au ni usanii?
Mipango ya nchi siyo sawa na kupika ubwabwa wa shughuli. Ni process yenye hatua nyingi