Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Rais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
View: https://youtu.be/CAe_1eN8VAM?si=V_nFyEigpZq3r2_u
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
View: https://youtu.be/CAe_1eN8VAM?si=V_nFyEigpZq3r2_u
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!