Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!


nakumbuka niliposema kuhusu membe nikaambiwa niliomba kazi foreign na kunyimwa

basically waziri membe alitoa kauli ya uwongo hapo na ukweli umejidhiri tofauri na ahadi alizozitoa

lakini inaonekana they dont really care much about China

I really feel sorry for young turks waliopo foreign. Sasa ngoja nikatembelee ile thread ya Foreign...nataka nione average age ya head of department na staff wao na achievements zao ni nini

halafu mnasangaa kwa nini Ikulu hawati kuwa na website....!
 
Hii inchi yetu ina mambo ya ajabu sana kutoka kwa watawala. Nakumbuka kuna kipindi fulani Mwalimu J. K. Nyerere alitembelea nchi moja (siikumbuki) akakutana na vijana kwenye ofisi moja ambao ni maofisa wa ngazi za juu, na cha ajabu hao vijana walimtoa jasho namna ambavyo walikuwa wanajenga hoja, wanamuuliza maswali ambayo alikuwa hategemei. Aliporudi ndiyo akawa anahutubia na kugusia hilo suala la vijana. Cha ajabu people zikawa zinacheka tu kumbe maskini people zilikuwa hazimwelewi kabisaaa.

Tuna safari ndefu lakini pia ni fupi ikiwa tutaamua kuwapiga chini hawa wazee 2015 si mbali. Cha msingi ni taifa kwanza, chama baadae.
 
sliding roof
  • JK ni mzoefu pale MOFA so wa exprince yake anajua vizuri katika current situaition nachina ni mtu gani anahitajika china
  • JK kwa taaluma ni mchumi so anajua sucess sotry ya chiina in theory from econmic point view kuliko membe.

Kumuhusisha membe kwa uteuzi wa marmo ni kufumbia macho ukweli halisi. Kama unmakosoa mkosoe JK sio Membe . Membe is the second person. na vipi kuhusu OR. Ngoma hapo ni ya JK na OR.

Hayo maelezo yote uliyotoa ni mazuri lakini ni matatizo ya kufanya kazi kwa mazoea .
Utasikia tuna mwambata wa kijeshi china , USA, south afrika. Wana kazi gani?? . Mbonas ijawai kusikia inaudwa positin maalumzinazohitaji karne hii balozini za wambata wa uchumi, utalii wala tekolojia. Why?
 
Kuwepo kwa website ya ikulu kuna uhusiano gani na uteuzi wa marmo?

IKULU BLOG | Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais

Kwanza mambo ya website ikulu sio mhimu sana . Taasisi zinazotakiwa kuwa na website ni Polisi, PM office na wizara nyingine. Hivi wananchi wanataka kujua nini kuhusu Ikulu.
Ukiona wananchachi wanatafuta taarifa za ikulu kuliko za wziara na idara nyingine ujue kuna problem kubwa ya leaership kuliko TVUTI
 
Batlida kuhusu kesi ya ubunge kagaili?

Kikwete na mambo ya kitaifa yanakuwa kama ya familia tu kadhaa. Wengine pia tunataka kazi damn it.
 
Kama wanamfaa jk basi na sisi wanatufaa. Maana jk anaakili sana. Ni kiona mabali chetu. Katiba inamruhusu kuteua yeyote! Hahitaji kutoa maelezo! Anawapoza akina marmo na batilda maana ilikuwa ni kiama. Marmo alianguka chini kwa pressure
 

....Wale Vingunge wa kule UVCCM walikuwa waule na hivyo kuzikwaa hizo nafasi lakini kutokana na varangati kali linaloendelea ndani ya UVCCM basi imebidi "LAISI" Kikwete ateue "vijana" wenye adabu tele ambao hawana mpango wa kumuasi.
 
Kwann na kwenye nchi za kikristo asipeleke wakristo tu??
 
Kuwepo kwa website ya ikulu kuna uhusiano gani na uteuzi wa marmo?IKULU BLOG | Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais
kwa sababu webiste ya Ikulu ingeoa profiles za walioteuliwa, accomplishments zao in both private na public life na wangeelezea Marmo ataongeza nini huko China aendakoTazama balozi mpya wa USA to china...anampeleka mwanae shule asubuhi huku kapitia stabucks kupata coffee na analipa mwenyewe Candid photo of new U.S. ambassador charms China - USATODAY.com




btw...ambassador aliyeondoka John Hunstman alikuwa na baiskeli yake

Huntsman Rides A Bike In Beijing - Photo 69 | ThirdAge
 
By the way hao wote wamebobea on China kibinafsi na pia kwenye official capacity zao

sifanyi kazi foreign na wala sitegemei lakini not everyone has a choice or options kama sisi

kuna wenzetu vijana wenye uwezo na wazalendo zaidi kuliko the Marmos and haya mazee watakuwa so depressed and I'm really worried kuwa public service itakosa watu wenye vichwa na itabaki na watu ambao uwezo wao ni mdogo out of frustrations na haya mazee

we just play politics kwenye kila kitu
 
SD, i sympathize with your observation. Lakini, niseme hivi - hakuna uwezekano wa kutenganisha CCM na matokeo yake. Wakati umetumia China kama mfano, miye ningeuliza vipi kuhusu US? Tuna uhusiano mzuri sana na Marekani lakini ni kana kwamba hatutaki kutumia nafasi yetu hiyo kuweza kujenga mahusiano yenye manufaa sana kwa taifa. Wachina wameweza kujenga nchi yao kwa kuliingia soko la Marekani na kwa kweli Uchina umesimama sababu ya Marekani; je sisi tunashindwa nini?

Kwanini hatuna hata consular Office kama LA huko au hata Chi-Town?

Binafsi nakubaliana na wewe kabisa kuwa ni lazima tuangalie diplomasia siyo kwa kufuata siasa tu bali pia kwa kuangalia mahusiano ya kiuchumi siyo kama "economic diplomacy" ya Mkapa lakini "geo-economic diplomacy". Lakini haya yote ni matamanio ya njozini tu kwa sababu CCM inakuja na matokeo yake na mojawapo ya matokeo yake ni haya tunayoyaona, ambayo tumewahi kuyaona na ambayo tutaendelea kuyaona.
 
Sasa Membe alipotoa hiyo speech alikuwa anawaongopa au vipi?

this is serious mnajua?
 
Sasa Membe alipotoa hiyo speech alikuwa anawaongopa au vipi?

this is serious mnajua?

You need to get used to our leaders' statements. Katibu wa bunge alisema posho za wabunge hazijaongezwa, spika akasema zimeongezwa. Hata hivyo mtu wa kumlaumu wala sio Membe. Inabidi tujilaumu sisi wenyewe kwa kuozea kuongopewa kila mara.
 

I Like Jon Huntsman...hapa naona enzi akiwa balozi wamarekani nchini china,akikatiza na baiskeli yake jijini shanghai,kiukweli huyu jamaa ndio alifaa kupambambana na mshkaji wake Barrack Obama,lakini nashangaa ma republican eti yeye sasa hivi katika wagombea wote ndio anashika mkia, a smart guy like this anashika mkia halafu Hermain cain anaongoza!!!!!!

Jon Huntsman anaongea chinese fluently,changamoto kwa balozi wetu mpya huko china,si mbaya nae akajichanganya!
 

Halafu ukikutana na hawa wazee hawaishi kulalamika ohhh kwa nini hamtaki kazi serikali etc

as if hatujaona yaiyowakuta wazee wetu ambao walikuwa loyal to the grave

I always thought wanazo consulates in LA, ATL, HOUSTON

Kaka sisi tunazo options...jaribu kuwafikiria vijana ambao wako mwaka wa 2 pale chuo cha diplomasia ambao wana ambitions za kulitumikia taifa lao kama wakipata change of guard

wafikirie waliokaa pale kwenye benchi foreign for all these years ambao ideas zao hazifanyiwi kazi zaidi ya kuwa printed na kutupwa kwenye makabrasha

wafkirie mabalozi ambao hawaelewani na waziri wao ambaye hapokei hata simu zao kiasi cha wengine kukataa hata hizo kazi yenyewe

Inshort kuna systematic demoralization kwenye kila sekta na wanaofaidi na ma per diem ndio hao hao kila kukicha

I will take this up straight to Membe na nitamwambia mheshimiwa waziri kuwa wao wenyewe ndio wanaorudisha nyuma taifa

then wanalalamika ohhh you guys are bussy to criticize on sidelines...lakini hakuna mtu aliyefkria kukutanisha vichwa vya humu na kuwa kitu kimoja on issues ambazo watu wanakubaliana

Ikulu nako ndio usiskie....siege mentality kila sehem

and you think we had it all bad....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…