Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wetu ni mwema sana...
- Mh. JK anastahili pongezi sana kwa uteuzi wa hawa Mabalozi wawili, Le Mutuz Big Show ninakubali kwamba huu ulikuwa ni uteuzi makini sana. Hawa wawili ni Seasoned Diplomats waliobobea sana na pia inatia moyo kwa maofisa wengine huko foreign kwamba hard work pays.
- HOWEVER: I have a big problem na uteuzi wa Balozi mpya China, I mean kweli kwenye Super Economy tunapeleka Old Guard ambaye hana record yoyote on Economy yetu hapa Tanzania? Wala hata jimboni kwake?
- I mean ishu kama hizi ndio hasa the case ya why tunahitaji kuwa makini na Katiba mpya on Checks and Balance to the Executive Powers.
William @..NYC,USA: Mutuz Big Show!
Balozi hahusiani na mambo ya kiuchumi, hayo yalikuwa ya kizamani. Acheni kusisitiza mambo ambayo haya make real sense in real life....Mwaha hapo ktk uteuzi wa barozi huyu hapa china kweli ni tatizo na sijui ni nani anaemshauri Raisi ktk michakato kama hii,kwani kuna haja ya kulindana hata ktk nafasi nyeti kama hizi,nchi kama uchina ilihitaji Balozi mwenye uwezo mkubwa ktk issue za kiuchumi,labda Raisi hakuona umuhimu huo tunaouona sisi,
tunapongeza kwa wale wachapakazi waliopata nafasi hizi lakini bado tutaendelea kulaumu kama nafasi hizi zitakuwa ni za kulindani kila wakati
jamani tusione vyaelea,vimeundwa(namaanisha ktk hili)
Soby kabla Balozi hajaenda wenyeji hudai CV yake kwanza na ni hapo na wao huamua kama tupo serious as a Nation! - William
Just a formality, a protocol thing..... most of them are retired top spies na kabla nchi yeyote haijakupa diplomatic immunity, lazima wajue wewe uko vipi. Hata ukitaka kusafiri nje mataifa mengine hukucheck out.Soby kabla Balozi hajaenda wenyeji hudai CV yake kwanza na ni hapo na wao huamua kama tupo serious as a Nation! - William
kiukweli hata mimi nimeshangazwa sana,kwani tunapeana vyeo kwa kuangaliana usoni na wala sio uwezo wa mtu husika? hivi kweli Marmo ataweza kututoa hapa tulipo na kutupeleka pale? nadhani hawajamaa wanakuja china kibiashara zaidi na sio kulisaidia Taifa hii inashangaza sana
ok,ngoja tusubiri tuone
Ubalozi ni kazi ya kwenda kupumzika tu! Mpaka sasa hizo nafasi hazina impact yoyote kwenye uchumi wetu.William hata tumpeleke Magufuli hatuoni faida ya balozi zetu na kibaya zaidi wanashindwa kuhandle hata usalama wa raia wetu waliohuko nje! Uchumi ndio kabisaaa wakijitahidi sana ni makongamano ya kupiga porojo tu!! Naomba Willy unisaidie jina la balozi yeyote ambaye kwa juhudi zake amefanikisha jambo linalooneka huku Tanzania!! nothing! ma secretary tu kwenye balozi zetu nyingi ni Miungu watu,hao Mabalozi ndio kabisaaa tabu tupu!Ndiyo maana wanasema rais ana mamlaka makubwa mtu amekataliwa
anapewa tena kazi ya ubalozi hivi hakuna wenye sifa kuliko hawoo??????????????