Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Mkuu siyo kibiashara bali ni kichama.
I hope by saa 6 mchana waziri membe atakuja humu kutuweka sawa.
Isije onekana kuwa tunamwonea wivu mzee Marmo & Co
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu siyo kibiashara bali ni kichama.
- Mh. JK anastahili pongezi sana kwa uteuzi wa hawa Mabalozi wawili, Le Mutuz Big Show ninakubali kwamba huu ulikuwa ni uteuzi makini sana. Hawa wawili ni Seasoned Diplomats waliobobea sana na pia inatia moyo kwa maofisa wengine huko foreign kwamba hard work pays.
- HOWEVER: I have a big problem na uteuzi wa Balozi mpya China, I mean kweli kwenye Super Economy tunapeleka Old Guard ambaye hana record yoyote on Economy yetu hapa Tanzania? Wala hata jimboni kwake?
- I mean ishu kama hizi ndio hasa the case ya why tunahitaji kuwa makini na Katiba mpya on Checks and Balance to the Executive Powers.
William @..NYC,USA: Mutuz Big Show!
....Taarifa za muda mfupi ulipita ni kuwa Jk kateua mabalozi wa kutuwakilisha na wakimwemo B.Buriani aliyepigwa chini na Lema na Philip Marmo.....
jk akikujua kulala njaa hakuna tena wapi Lau Masha jamani
KWANI UPUUUZI NI TUSI HIYO NI SIFA KUBWA YA jk JAMANIMods haya si matusi kwa mkuu wa nchi?
indeed aseeRais wetu ni mwema sana...
Rais wetu ni mwema sana...
Naupongeza uteuzi wa Mabalozi wapya uliofanywa na Rais Kikwete na kira gazes TBC1 hivi punde.
--------
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wafuatao kuwa Mabalozi:-
i) Mhe. Phillip MARMO, ameteuliwa kuwa Balozi nchini CHINA. Kabla ya hapo Mhe. Marmo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge.
ii) Dkt. Deodorus B. KAMALA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini BELGIUM. Kabla ya hapo Mhe. Kamala alikuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
iii) Dkt. Batilda S. BURIAN, ameteuliwa kuwa Balozi nchini KENYA. Kabla ya hapo Mhe. Dkt. Burian alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira).
iv) Dkt. Ladislaus C. KOMBA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini UGANDA. Kabla ya hapo Dkt. Komba alikuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii.
v) Bibi Shamim NYANDUGA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MSUMBIJI. Kabla ya hapo Bibi Nyanduga alikuwa Naibu Mkuu wa Itifaki, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
vi) Bibi Grace J.E. MUJUMA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini ZAMBIA. Kabla ya hapo Bibi Mujuma alikuwa Kaimu Mkurugenzi, Ushirikiano wa Kikanda (Regional Co-operation), Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
vii) Bwana Mohamed H. HAMZA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MISRI. Kabla ya hapo Bwana Hamza alikuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, ZANZIBAR, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
viii) Ndugu Ali A. SALEH, ameteuliwa kuwa Balozi nchini OMAN. Kabla ya hapo Bwana Saleh alikuwa Balozi Mdogo (Consul General) nchini Dubai.
2. Uteuzi huu unaanzia tarehe 12 Oktoba, 2011. Wataapishwa tarehe 19 Desemba, 2011 saa 03.00 Asubuhi.