Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

Halafu ukikutana na hawa wazee hawaishi kulalamika ohhh kwa nini hamtaki kazi serikali etc

as if hatujaona yaiyowakuta wazee wetu ambao walikuwa loyal to the grave

I always thought wanazo consulates in LA, ATL, HOUSTON

Kaka sisi tunazo options...jaribu kuwafikiria vijana ambao wako mwaka wa 2 pale chuo cha diplomasia ambao wana ambitions za kulitumikia taifa lao kama wakipata change of guard

wafikirie waliokaa pale kwenye benchi foreign for all these years ambao ideas zao hazifanyiwi kazi zaidi ya kuwa printed na kutupwa kwenye makabrasha

wafkirie mabalozi ambao hawaelewani na waziri wao ambaye hapokei hata simu zao kiasi cha wengine kukataa hata hizo kazi yenyewe

Inshort kuna systematic demoralization kwenye kila sekta na wanaofaidi na ma per diem ndio hao hao kila kukicha

I will take this up straight to Membe na nitamwambia mheshimiwa waziri kuwa wao wenyewe ndio wanaorudisha nyuma taifa

then wanalalamika ohhh you guys are bussy to criticize on sidelines...lakini hakuna mtu aliyefkria kukutanisha vichwa vya humu na kuwa kitu kimoja on issues ambazo watu wanakubaliana

Ikulu nako ndio usiskie....siege mentality kila sehem

and you think we had it all bad....


saa zingine una depress sana watu na mambo unayoyasema

ni ukweli ambao hakuna ambaye anayetaka kuusema

we are living in interesting times...each to his own
 
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kuwa, muda mfupi kuanzia sasa, kutakuwa na mabalozi vijana ambao wataiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani, baada ya waliokuwapo kustaafu. Membe alitoa kauli hiyo, alipokuwa anagawa vyeti kwa maofisa wa wizara yake wanaofanya kazi hapa nchini na kwenye balozi mbalimbali nje ya nchi, baada ya kuhitimu mafunzo ya wiki tatu waliyoyapata katika Chuo cha Diplomasia, Dar es Salaam.



Alisema kuanzia mwaka ujao kuna mabalozi mbalimbali wanaotarajiwa kustaafu, hivyo nafasi zao zitachukuliwa na maofisa vijana wanaofanya kazi ubalozini kwa kuwa wanazo sifa zinazotakiwa. Aliongeza kuwa mafunzo hayo ya wiki tatu waliyoyapata watumishi hao wa wizara yake, ni ya promosheni ya kuwatoa hapo walipo na kuwapandisha daraja jingine. Pia alisema mafunzo hayo yaliyotolewa ni muhimu kwa kuwa yanawawezesha wanadiplomasia hao kuielewa nchi yao na mambo yanayoendelea ulimwenguni hivi sasa.

Membe: Tutachagua mabalozi vijana
basically credibility ya waziri Membe iko on the line and this will go into record
 
I hate to say this in public lakini it was not on our

1. NATIONAL INTEREST

2. PUBLIC INTEREST

3. COMMERCIAL INTEREST

4. FUTURE INTEREST

kumpeleka this OLD GUARD China. Are we really serious about cultivating our relationship with the this superpower or not?

Membe anahusika kwenye hili kwani JK kabla haja go public na hili lazima alipewa ushauri na waziri wake wa Mambo ya Nje kama huyu mtu anafaa kupelekwa China au la.

In short ni kuwa kuna uwezekano Mheshimiwa membe alisahau kumwambia JK kuwa China is THE great economic success story of the past 30 years. Na imeweza kuondoka kwenye umaskini watu zaidi ya milioni 600 toka kwenye umaskini na hawakufanya kwa kuwa na "OLD DINOSAURS" mithili ya Philip Marmo ambao hawana kipya kimawazo na kiakili


Wana JF ambao mshafika Guangzhou nadhani you all know well wa China walivyo wekeza kwenye manufacturing: Maybe Membe should have mentioned kama vile:


1. China is the largest global producer of toys, textiles, washing machines, cameras and computers (among hundreds of other products).

2. It is also the world’s largest consumer of iron, steel, coal and cement, and China’s hunger for raw materials continues. Over a million enterprises have flourished, and nearly 40 Chinese companies have entered the global Fortune 500 list.


3. Je Kwa nini hawakufikiria kufungua balozi ndogo Guanzshou, Shanghai au Hongkong?

4. Je Philip Marmo anazungumza Cantonese au Mandarin?

5. Je Marmo ameshakwenda China mara ngapi na ame cultivate business ngapi kule na zina net worth how much kwa Taifa?



Either way looks like decision makers wetu ambao wengi wao ni BABYBOOMERS na wako OUT OF TOUCH with 70% of the population (ambao ni under 30) kuwa hizi si zama za GEO POLITICS bali ni zama za GEO ECONOMICS and the old guards za akina Marmo & Co itakuwa ndio wale wale ambao watakaa pale Beijing na kazi kupokea wanasiasa badala ya ku broker major deals

Ushauri wa bure kwa mlio foreign. Nashauri muanze kuangalia Plan B kwani these old men are not ready to lleave anytime soon. Nashauri muangalie options zenu kwenye private sector na sio kukaa hapo mnaandika ma papers tuuu.

This is a sad day kwa kila kijana mwenye mwamko foreign lakini nawashauri uzalendo wenu ubaki pale pale japo si vibaya kuangalia options zilizopo
Unayo hiyo paper ya Economic diplomacy yetu?

Lete tuisome kisha tujue sirikali yetu ina mipango gani

You never know Marmo inawezekana ni fluent in Chinese
 
Ubalozi una maana kwa nchi zenye makoloni na ubepari uliobobea, wanawatumia kulinda interests zao, na siyo sisi ambao ndo makoloni yenyewe...

Una maana kwa kuwa ni kodi zetu zinawapeleka huko kuwa mabalozi.
 
sliding roof
  • JK ni mzoefu pale MOFA so wa exprince yake anajua vizuri katika current situaition nachina ni mtu gani anahitajika china
  • JK kwa taaluma ni mchumi so anajua sucess sotry ya chiina in theory from econmic point view kuliko membe.
Kumuhusisha membe kwa uteuzi wa marmo ni kufumbia macho ukweli halisi. Kama unmakosoa mkosoe JK sio Membe . Membe is the second person. na vipi kuhusu OR. Ngoma hapo ni ya JK na OR.

Hayo maelezo yote uliyotoa ni mazuri lakini ni matatizo ya kufanya kazi kwa mazoea .
Utasikia tuna mwambata wa kijeshi china , USA, south afrika. Wana kazi gani?? . Mbonas ijawai kusikia inaudwa positin maalumzinazohitaji karne hii balozini za wambata wa uchumi, utalii wala tekolojia. Why?
Mkuu tunaomba utufafanulie zaidi huyo OR ni nani?
 
kwa sababu webiste ya Ikulu ingeoa profiles za walioteuliwa, accomplishments zao in both private na public life na wangeelezea Marmo ataongeza nini huko China aendakoTazama balozi mpya wa USA to china...anampeleka mwanae shule asubuhi huku kapitia stabucks kupata coffee na analipa mwenyewe
Photo-of-new-US-ambassador-charms-China-BTA2VP5-x-large.jpg
Candid photo of new U.S. ambassador charms China - USATODAY.com




btw...ambassador aliyeondoka John Hunstman alikuwa na baiskeli yake

Huntsman Rides A Bike In Beijing - Photo 69 | ThirdAge
huntsman-rides-bike-beijing-80.jpg
sahau kama mabalozi wetu watakuwa kama hawa....tatizo nyie you are looking into these things too much

JK alisema sasa ni zamu ya vijana

Membe naye alisema the same thing

lakini ukweli nadhani mmeuona
 
Huwezi kumpeleka Old Guard kwenye Super Growing Economy huyu alitakiwa aende Zimbabwe I mean China wewe kaangalie web ya US State Dept uone CV za watu wao China. Au labda ana ugonjwa unatakiwa kutibiwa China otherwise huyu alitakiwa Zimbabwe sio China.
 
I hate to say this in public lakini it was not on our

1. NATIONAL INTEREST

2. PUBLIC INTEREST

3. COMMERCIAL INTEREST

4. FUTURE INTEREST

kumpeleka this OLD GUARD China. Are we really serious about cultivating our relationship with the this superpower or not?

Membe anahusika kwenye hili kwani JK kabla haja go public na hili lazima alipewa ushauri na waziri wake wa Mambo ya Nje kama huyu mtu anafaa kupelekwa China au la.

In short ni kuwa kuna uwezekano Mheshimiwa membe alisahau kumwambia JK kuwa China is THE great economic success story of the past 30 years. Na imeweza kuondoka kwenye umaskini watu zaidi ya milioni 600 toka kwenye umaskini na hawakufanya kwa kuwa na "OLD DINOSAURS" mithili ya Philip Marmo ambao hawana kipya kimawazo na kiakili


Wana JF ambao mshafika Guangzhou nadhani you all know well wa China walivyo wekeza kwenye manufacturing: Maybe Membe should have mentioned kama vile:


1. China is the largest global producer of toys, textiles, washing machines, cameras and computers (among hundreds of other products).

2. It is also the world's largest consumer of iron, steel, coal and cement, and China's hunger for raw materials continues. Over a million enterprises have flourished, and nearly 40 Chinese companies have entered the global Fortune 500 list.


3. Je Kwa nini hawakufikiria kufungua balozi ndogo Guanzshou, Shanghai au Hongkong?

4. Je Philip Marmo anazungumza Cantonese au Mandarin?

5. Je Marmo ameshakwenda China mara ngapi na ame cultivate business ngapi kule na zina net worth how much kwa Taifa?



Either way looks like decision makers wetu ambao wengi wao ni BABYBOOMERS na wako OUT OF TOUCH with 70% of the population (ambao ni under 30) kuwa hizi si zama za GEO POLITICS bali ni zama za GEO ECONOMICS and the old guards za akina Marmo & Co itakuwa ndio wale wale ambao watakaa pale Beijing na kazi kupokea wanasiasa badala ya ku broker major deals

Ushauri wa bure kwa mlio foreign. Nashauri muanze kuangalia Plan B kwani these old men are not ready to lleave anytime soon. Nashauri muangalie options zenu kwenye private sector na sio kukaa hapo mnaandika ma papers tuuu.

This is a sad day kwa kila kijana mwenye mwamko foreign lakini nawashauri uzalendo wenu ubaki pale pale japo si vibaya kuangalia options zilizopo
sasa hao vijana unao wataka wewe wako wapi?
 
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kuwa, muda mfupi kuanzia sasa, kutakuwa na mabalozi vijana ambao wataiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani, baada ya waliokuwapo kustaafu. Membe alitoa kauli hiyo, alipokuwa anagawa vyeti kwa maofisa wa wizara yake wanaofanya kazi hapa nchini na kwenye balozi mbalimbali nje ya nchi, baada ya kuhitimu mafunzo ya wiki tatu waliyoyapata katika Chuo cha Diplomasia, Dar es Salaam.

Alisema kuanzia mwaka ujao kuna mabalozi mbalimbali wanaotarajiwa kustaafu, hivyo nafasi zao zitachukuliwa na maofisa vijana wanaofanya kazi ubalozini kwa kuwa wanazo sifa zinazotakiwa. Aliongeza kuwa mafunzo hayo ya wiki tatu waliyoyapata watumishi hao wa wizara yake, ni ya promosheni ya kuwatoa hapo walipo na kuwapandisha daraja jingine. Pia alisema mafunzo hayo yaliyotolewa ni muhimu kwa kuwa yanawawezesha wanadiplomasia hao kuielewa nchi yao na mambo yanayoendelea ulimwenguni hivi sasa.

Membe: Tutachagua mabalozi vijana
Kwani mchagua mabalozi ni Membe au Rais?
 
sliding roof
  • JK ni mzoefu pale MOFA so wa exprince yake anajua vizuri katika current situaition nachina ni mtu gani anahitajika china
  • JK kwa taaluma ni mchumi so anajua sucess sotry ya chiina in theory from econmic point view kuliko membe.
Kumuhusisha membe kwa uteuzi wa marmo ni kufumbia macho ukweli halisi. Kama unmakosoa mkosoe JK sio Membe . Membe is the second person. na vipi kuhusu OR. Ngoma hapo ni ya JK na OR.

Hayo maelezo yote uliyotoa ni mazuri lakini ni matatizo ya kufanya kazi kwa mazoea .
Utasikia tuna mwambata wa kijeshi china , USA, south afrika. Wana kazi gani?? . Mbonas ijawai kusikia inaudwa positin maalumzinazohitaji karne hii balozini za wambata wa uchumi, utalii wala tekolojia. Why?
Kalaghe anaonekana kijana kiasi au?
 
kwa sababu webiste ya Ikulu ingeoa profiles za walioteuliwa, accomplishments zao in both private na public life na wangeelezea Marmo ataongeza nini huko China aendakoTazama balozi mpya wa USA to china...anampeleka mwanae shule asubuhi huku kapitia stabucks kupata coffee na analipa mwenyewe
Photo-of-new-US-ambassador-charms-China-BTA2VP5-x-large.jpg
Candid photo of new U.S. ambassador charms China - USATODAY.com




btw...ambassador aliyeondoka John Hunstman alikuwa na baiskeli yake

Huntsman Rides A Bike In Beijing - Photo 69 | ThirdAge
huntsman-rides-bike-beijing-80.jpg
mhhh hawaogopi kutekwa?
 
saa zingine una depress sana watu na mambo unayoyasema

ni ukweli ambao hakuna ambaye anayetaka kuusema

we are living in interesting times...each to his own
ukweli usemwe hata kama unauma
unless you are buying the nonsense kuwa vijana ni taifa la kesho
 
Huwezi kumpeleka Old Guard kwenye Super Growing Economy huyu alitakiwa aende Zimbabwe I mean China wewe kaangalie web ya US State Dept uone CV za watu wao China. Au labda ana ugonjwa unatakiwa kutibiwa China otherwise huyu alitakiwa Zimbabwe sio China.
Mkuu ndo maana nikasema balozi ana maana zaidi kwa mataifa yenye makoloni, ama superpowers wenye interests kwenye makoloni yao, hata mabalozi wengine ie nchi za kiarabu unakuta ni wamarekani wenye asili za huko wanakopelekwa, mafano yule wa Iraki, China nk, na hiyo si kwa bahati mbaya.

Kwa mataifa ya kibepari mabalozi wana maana zaidi kuliko sisi watembeza bakuli.

Angalia tu rais tuliyenaye kabla hujaanza kusema kuhusu balozi mkuu...

Sisi balozi kwetu ni kama celebratory tu, kwasababu sioni uhusiano wowote kati uchumi wa China na ulazima wa balozi wetu kuwa mchumi...

How is that really going to help us?
 
The guy cannot even speak mandarin let alone Cantonese


I'm sure he doesnt even know where GuangZhou is located

this was wrong in every way

na waziri alituahidi less than 3 months ago tutapata mabalozi vijana

Kama Marmo ni kijana mbele ya Membe then namvulia kofia

I doubt kama kuna diplomat wa Tanzania kashawahi kutia mguu Guanzhou unless kaenda kununua fenicha na vifaa vyake vya ujenzi
 
Back
Top Bottom