GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Wa Dizaini hii wako Wengi ile mbaya.Unakuta msaani anagari zuri ila hana nyumba Wala uwekezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Dizaini hii wako Wengi ile mbaya.Unakuta msaani anagari zuri ila hana nyumba Wala uwekezaji
98% yao.Msaani anaishi kwa fake life
Ooh unataka kumpaka mafutaHahahaha huyu jamaa ni wa kumuombea tu ngoja nimtafutie mafuta ya mwamposa nimpake ili apone
Na Wanabanduliwa na Watabanduliwa mno tu Tigo zao kwa Upuuzi wao, Tamaa zao na Kutosikiliza Ushauri wa Watu.Msaani anaishi kwa Sifa Sifa za video anashindwa kufanya kazi zingine ndio maana wanageuka mashoga
Nitafute tu Mkuu utanipata na nadhani Unanijua vyema kabisa.Ooh unataka kumpaka mafuta
Nitafute tu Mkuu utanipata na nadhani Unanijua vyema kabisa.
wewe huwezi kuthibitisha, ila mm ninathibitsha hpa kwamba kila unapoona komenti ya dr matola unatetemeka vbaya sana, embu tuambie alikufanya nini hapa chini mpaka ukatoweka siku mbili kimya na kufunga uzi wako?Mbona unatumia Nguvu kubwa sana ya Kutufahamisha kuwa hata hiyo nayo ni ID yako? Wenye Akili tuna ID moja tu JF.
wewe acha kutishia watu huna kitu unaweza kufanya, usijaribu kupoteza mada kwanini ututie aibu kama taifa tazama huu utumbo ulioandika halafu baada. Ya kujua kwamba waliokuhadithia wamekudanganya ukaingia chaka baada ya kupigwa spana tazama hapo chini👇Nitafute tu Mkuu utanipata na nadhani Unanijua vyema kabisa.
wewe huwezi kuthibitisha, ila mm ninathibitsha hpa kwamba kila unapoona komenti ya dr matola unatetemeka vbaya sana, embu tuambie alikufanya nini hapa chini mpaka ukatoweka siku mbili kimya na kufunga uzi wako?
😂😂😂 hiyo ndiyo spana GENTAMYCINE alipigwa nayo kichwani na Dr Matola PhD akapotea siku mbili bila kuonekana akaja kuibukia Bunda vijijini huko
Halafu hii spana ni comb😂😂😂 ule uzi ukiuona Dr Matola PhD alikuwa anatoa spana heavy kama hizo akigeuka huku kapigwa akigeuka kule kapigwa akaone isiwe tabu hiki ndo kilochotokea baada ya aibu kubwa kuipata GENTAMYCINE tazama mwenyewe 👇
Wanawekeza kwenye ngono tu 😂 😂 😂 😂 😂"Nawaomba sana hawa Wasanii wa Muziki wa Tanzania kuwa haya Mapato ambayo wanayapata wayatumie hasa katika Kuwekeza ili basi hata Wakistaafu waendelee kuishi vyema kuliko kuja kuishi Kimaskini na kutushangaza Sisi ambao Kutwa walikuwa wanaturingishia Magari yao ya Kifahari, Majumba ya Kifahari na Warembo wao wa kila aina. Hofu yangu Wengi wao kama wasipowekeza sasa huko mbeleni wakija Kuishiwa wataanza kuja Kuuza Magari yao ya Kifahari na Majumba huku wakiyaanza taratibu Maisha mapya ya Kimasikini. Wawaige Wasanii wenzao wakubwa wa huko Ng'ambo ( Ulaya na Marekani ) ambao sasa wamekuwa Wajanja na Wanawekeza mno katika Stock Exchange Market duniani", amesema Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Chanzo: Wasafi Media
Sasa kama Tajiri hadi Kufa Kwake anatushauri hivi Sisi Masikini pate Vihela vyako vya Ngama au vya Kuiba huko Ofisini au vya kula Rushwa halafu Hongea Mademu na fanya Matanuzi yako ya Kishamba kisha huko baadae ukija Kuishiwa / Kufilisika na kuwaona akina GENTAMYCINE na Wenzake wanaojipanga sasa Maisha yao yako kwenye Mstari uanze kusema kuwa Wanauza Unga au Wametoa Kafara au wana Maisha mazuri kwakuwa Wazazi wao tokea enzi na enzi walikuwa katika System ya Nchi hivyo ndiyo maana Wanateleza tu na Maisha hadi Uzeeni.
Najua fika Rais Mstaafu Kikwete huwa Unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums naombe niseme Asante sana.
Mwanaume ukijua Kumkanda Mtu vyema ni lazima tu kila mara utakuwa Kichwani mwake na atapenda Kukutajataja.😂😂😂 hiyo ndiyo spana GENTAMYCINE alipigwa nayo kichwani na Dr Matola PhD akapotea siku mbili bila kuonekana akaja kuibukia Bunda vijijini huko
Mwanaume ukijua Kumkanda Mtu vyema ni lazima tu kila mara utakuwa Kichwani mwake na atapenda Kukutajataja.Halafu hii spana ni comb😂😂😂 ule uzi ukiuona Dr Matola PhD alikuwa anatoa spana heavy kama hizo akigeuka huku kapigwa akigeuka kule kapigwa akaone isiwe tabu hiki ndo kilochotokea baada ya aibu kubwa kuipata GENTAMYCINE tazama mwenyewe 👇
Kwa jinsi ulivyokandwa mpaka kufunga uzi na kupotea siku mbili inabidi ukafanyiwe check up huko kunako🤣🤣👇Mwanaume ukijua Kumkanda Mtu vyema ni lazima tu kila mara utakuwa Kichwani mwake na atapenda Kukutajataja.