Rais Kikwete kuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo

Rais Kikwete kuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo

Nina hakika yeyeto kati ya Pombe na Ngoyai mmoja wao atakua rais wa Bongo, mradi huo hautaendelezwa. Wataalamu wengi na hata wasafirishaji wa meli walipinga mradi huo so sidhani kama utaendelea. JK mwenyewe kabakiza wiki 2 tu za kukaa Ikulu. Ghrama hizo zingeelekezwa bandari za Tanga na Mtwara hayo yote yanayosemwa kwamba eti ni faida basi huko hizo faida zinge double.
We jamaa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina hakika yeyeto kati ya Pombe na Ngoyai mmoja wao atakua rais wa Bongo, mradi huo hautaendelezwa. Wataalamu wengi na hata wasafirishaji wa meli walipinga mradi huo so sidhani kama utaendelea. JK mwenyewe kabakiza wiki 2 tu za kukaa Ikulu. Ghrama hizo zingeelekezwa bandari za Tanga na Mtwara hayo yote yanayosemwa kwamba eti ni faida basi huko hizo faida zinge double.
Safi sana mkuu!
.
 
Hivi hii bandari si ndio ile wataalamu walishauri isijengwe kwani itaendeshwa kwa hasara badala yake ufanyike upanuzi wa bandari ya Kurasini?
Leo unajionaje unavyomtukana Magu ili kushabikia ujengaji wa hiyo bandari?
 
Lengo bandari ni maslai binafsi ya Msoga team

Inamaa ccm ikija kufa hata miaka 100 ijayo bandari itakuwa chini ya wanamsoga na wajukuu zake
 
Mwambe alisema mkataba haukuwa umesainiwa..ina maana hapa kikwete alienda kuweka jiwe la msingi bila mkataba? Nchi hii tumerogwa..tunadanganywa kweupeee kabisa
 
Nina hakika yeyeto kati ya Pombe na Ngoyai mmoja wao atakua rais wa Bongo, mradi huo hautaendelezwa. Wataalamu wengi na hata wasafirishaji wa meli walipinga mradi huo so sidhani kama utaendelea. JK mwenyewe kabakiza wiki 2 tu za kukaa Ikulu. Ghrama hizo zingeelekezwa bandari za Tanga na Mtwara hayo yote yanayosemwa kwamba eti ni faida basi huko hizo faida zinge double.
Shekhe Yahya 100%. Kongole kwa utabiri huu.
 
Nchi hii kwa nini ugeugeu huu? Kila kiongozi anakuja na kipaumbele chake.
Si ajabu ukaja kusikia mradi wa JNHP au SGR ikasimama
 
hamnashida tunalipa tulichoahidi kwa wajukuu wa MAO,tutafanyaje Sasa upuuz wa mjinga mmoja kutamani Mali za shortcut a.k.a ngada zinatugharimu wote kwa vizazi kadhaa.
 
Back
Top Bottom