Uliona mbali sanaUtakuwa wa maana kama tutakuwa wasemaji kwenye huo mradi ila ikiwa ni kuwapa mbwa chakula cha watoto,nkimaanisha ile mikataba ya miaka 100 bila kulipa kodi.
We jamaa weweNina hakika yeyeto kati ya Pombe na Ngoyai mmoja wao atakua rais wa Bongo, mradi huo hautaendelezwa. Wataalamu wengi na hata wasafirishaji wa meli walipinga mradi huo so sidhani kama utaendelea. JK mwenyewe kabakiza wiki 2 tu za kukaa Ikulu. Ghrama hizo zingeelekezwa bandari za Tanga na Mtwara hayo yote yanayosemwa kwamba eti ni faida basi huko hizo faida zinge double.
Safi sana mkuu!Nina hakika yeyeto kati ya Pombe na Ngoyai mmoja wao atakua rais wa Bongo, mradi huo hautaendelezwa. Wataalamu wengi na hata wasafirishaji wa meli walipinga mradi huo so sidhani kama utaendelea. JK mwenyewe kabakiza wiki 2 tu za kukaa Ikulu. Ghrama hizo zingeelekezwa bandari za Tanga na Mtwara hayo yote yanayosemwa kwamba eti ni faida basi huko hizo faida zinge double.
Sasa hivi uko hapa unademka kushabikia bandari ili umkomoe jiweSioni sababu ya kuwa na bandari tatu kanda moja
Leo unajionaje unavyomtukana Magu ili kushabikia ujengaji wa hiyo bandari?Hivi hii bandari si ndio ile wataalamu walishauri isijengwe kwani itaendeshwa kwa hasara badala yake ufanyike upanuzi wa bandari ya Kurasini?
Vipi msimamo wako bado huu huu?
HaaminiVipi msimamo wako bado huu huu?
Kwenye swala la bandari Magu alikua sahihiSasa hivi uko hapa unademka kushabikia bandari ili umkomoe jiwe
I hope mwendazake anayaona haya huko AliKO DangoteAksante!! CCM mbele kwa mbele
Ndio maana hayati alikuwa anasema tunachezewa sana.Mwambe alisema mkataba haukuwa umesainiwa..ina maana hapa kikwete alienda kuweka jiwe la msingi bila mkataba? Nchi hii tumerogwa..tunadanganywa kweupeee kabisa
Shekhe Yahya 100%. Kongole kwa utabiri huu.Nina hakika yeyeto kati ya Pombe na Ngoyai mmoja wao atakua rais wa Bongo, mradi huo hautaendelezwa. Wataalamu wengi na hata wasafirishaji wa meli walipinga mradi huo so sidhani kama utaendelea. JK mwenyewe kabakiza wiki 2 tu za kukaa Ikulu. Ghrama hizo zingeelekezwa bandari za Tanga na Mtwara hayo yote yanayosemwa kwamba eti ni faida basi huko hizo faida zinge double.
Umewahi kufuatilia hoja zangu zote kuhusu hili?I hope mwendazake anayaona haya huko AliKO Dangote